Tuache masihara, daladala ni usafiri wa watu duni hapa Dar es salaam

Tuache masihara, daladala ni usafiri wa watu duni hapa Dar es salaam

Ni hizi shida tu, ilà usafiri wa umma hapa jijini ni zaidi ya umasikini tu, iwe daladala za Mbezi-Temeke au mwendokasi wa Kimara-Kivukoni. Kama unakopesheka basi hata vitz inatosha kukupa kiyoyozi, usisubiri kupata hela ya SUV.
Hapa umeongea bonge LA point!!

Ndo maana me mtu akinisema na kababy walker,nabaki tu namwangalia halafu nasema hiiiiiiii(in jiwe's voice)
 
Daladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.

Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.

Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.

Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
Upo sahihi mkuu
 
Vijana wa Dar mnatabu sana...kisa kununua huto tu baby walker....gari za kuendea sokoni mnaanza kunyanyapalia wenzenu....tena wengine mnaendesha za mashemeji zenu, dada, kaka, baba au mama..Acheni hizo kila kitu na wakati wake..kila mtu apambane na hali yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni tafsiri yako but ukweli utabaki palepale kuwa hizi daladala tunapanda si kwaajili ya kupenda bali hali ngumu
 
Nimekushusha vyeo ndugu. Yaani unaiweka India kama mfano wa mbele? Serious?? India ni ushuzi tu ndiyo maana hata anayeenda kusoma kule huwa nawashangaa.


Mkuu kwa Technolojia wako njema njema njema sana !acha kabisa
 
Daladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.

Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.

Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.

Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
Sawa
ngoja tuone
 
Kuna umuhimu wa serikali kukataza kusimamisha watu kwenye daladala, na pia kuanzisha mfumo wa daladala kwa daraja la kati (semi luxury) nauli 2000/- naamini wakirasimisha watu wengi wa magari private watayaingiza barabarani na serikali kupata kodi pia. Mahitaji ni makubwa ya usafiri huo.
 
Daladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.

Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.

Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.

Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani

Kwa heri ndugu.Tuache na usafiri wetu unaotukutanisha na jamaa zetu tuliopotezana tangu enzi ya mkoloni.
 
Back
Top Bottom