ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Haha, Wangari Maathai atakataa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani wakware walibambia hilo tako vya kutosha[emoji97][emoji97]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha, Wangari Maathai atakataa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani wakware walibambia hilo tako vya kutosha[emoji97][emoji97]
Hawezi kukataaa huyo anavyopenda ngono kuliko hata pombeHaha, Wangari Maathai atakataa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa umeongea bonge LA point!!Ni hizi shida tu, ilà usafiri wa umma hapa jijini ni zaidi ya umasikini tu, iwe daladala za Mbezi-Temeke au mwendokasi wa Kimara-Kivukoni. Kama unakopesheka basi hata vitz inatosha kukupa kiyoyozi, usisubiri kupata hela ya SUV.
Enjoy maisha, achana na hao wanaoishi kuwapangia watu jinsi ya kuishi mkuu.Hapa umeongea bonge LA point!!
Ndo maana me mtu akinisema na kababy walker,nabaki tu namwangalia halafu nasema hiiiiiiii(in jiwe's voice)
Upo sahihi mkuuDaladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.
Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.
Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.
Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
Makonda yupo na Magufuli yupo.Mwendokasi ya kariakoo to kimara siwezi isahau jamani..! Vurugu tupu kupata kipenyo uingie
Hiyo ni tafsiri yako but ukweli utabaki palepale kuwa hizi daladala tunapanda si kwaajili ya kupenda bali hali ngumuVijana wa Dar mnatabu sana...kisa kununua huto tu baby walker....gari za kuendea sokoni mnaanza kunyanyapalia wenzenu....tena wengine mnaendesha za mashemeji zenu, dada, kaka, baba au mama..Acheni hizo kila kitu na wakati wake..kila mtu apambane na hali yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wakware walibambia hilo tako vya kutosha[emoji97][emoji97]
Hapana mtumishi! Usilisikilize hilo jitu lina corona kichwani ...pia lina autsim!Haha, Wangari Maathai atakataa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani wakware walibambia hilo tako vya kutosha[emoji97][emoji97]
Nimekushusha vyeo ndugu. Yaani unaiweka India kama mfano wa mbele? Serious?? India ni ushuzi tu ndiyo maana hata anayeenda kusoma kule huwa nawashangaa.Mkuu kuwa specific, MBELE wapi? Ona hz... hapa ni NEW DELHI na hizo Bus zinamilikiwa na DELHI METRO View attachment 1391314View attachment 1391320View attachment 1391321View attachment 1391322
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekushusha vyeo ndugu. Yaani unaiweka India kama mfano wa mbele? Serious?? India ni ushuzi tu ndiyo maana hata anayeenda kusoma kule huwa nawashangaa.
Mkuu, nchi zilizoendelea hawatumii daladala. Wanatumia public transport!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa teknolojia ni kweli wapo njema mno. Ila nazungumzia ile social life atmosphere ni mbovu sana kwa mwanafunzi kwenda kusoma kule. Kuna mambo ya ajabu ajabu sana kule.Mkuu kwa Technolojia wako njema njema njema sana !acha kabisa
Mkuu kuwa specific, MBELE wapi? Ona hz... hapa ni NEW DELHI na hizo Bus zinamilikiwa na DELHI METRO View attachment 1391314View attachment 1391320View attachment 1391321View attachment 1391322
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaDaladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.
Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.
Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.
Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
Public transport ni nini ?Mkuu, nchi zilizoendelea hawatumii daladala. Wanatumia public transport!
Sent using Jamii Forums mobile app
Daladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.
Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.
Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.
Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani