Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,357
Kuna kisa kilinikuta kwenye mwendokasi sitakuja kukisahau.
Nilipanda mwendokasi siku moja nikasimama katikati ya akina mama wawili waneneeeee halafu warefu yaani wale wamama kutokana na msongamano walinibana kwa nguvu sana halafu miguu haikukanyaga chini kabisa mwanzo mpaka mwisho wa safari yaani nilikuwa niko kama napaa hivi ndani ya mwendokasi. Baadae abiria wakaongezeka wakanibana zaidi nikahisi wanakaribia kunivunja kiuno kabisa nikaona nijaribu kuacha kushika bomba nione kama miguu itashuka chini, aisee miguu haikushuka nikabakia nimenasa katikati yao, macho yalinivimba mara 5 zaidi ya Palamagamba. Sitakuja kuwasahau hao wanamama wangeniua siku hio.
Teh..naona umepata mkopo wa kununua vitz, tayari unawaponda wapanda daladala, watu kibao tunamiliki magari private na bado huwa tunapanda daladala, kadri muda unavyoenda utajifunza tu kwamba hata tajiri anaweza kurudi kula tembele na dona..
Vijana wa Dar mnatabu sana...kisa kununua huto tu baby walker....gari za kuendea sokoni mnaanza kunyanyapalia wenzenu....tena wengine mnaendesha za mashemeji zenu, dada, kaka, baba au mama..Acheni hizo kila kitu na wakati wake..kila mtu apambane na hali yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuwa specific, MBELE wapi? Ona hz... hapa ni NEW DELHI na hizo Bus zinamilikiwa na DELHI METRODaladala za mbel ni tofaut na sie mpendwa wenzetu ni level sit sie thubutu
Mbele niliyowahi kuishi hakuna utaratibu wa kujazana hivyo siti zikijaa hakuna anaesimamaMkuu kuwa specific, MBELE wapi? Ona hz... hapa ni NEW DELHI na hizo Bus zinamilikiwa na DELHI METRO View attachment 1391314View attachment 1391320View attachment 1391321View attachment 1391322
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa hapa wanasongamana kwa ajili ya GOLDEN ARROWS, hapa ni Cape TownMbele niliyowahi kuishi hakuna utaratibu wa kujazana hivyo siti zikijaa hakuna anaesimama
Ila hawagombanoi kupanda wala kupita dirishaniMkuu hata nchi zilizoendelea wanatumia daladala fikiria umeamka asubuhi gari imezingua je hautapanda daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂wallah slim umetumwa alokwambia nimeishi Cape Town ni naniHawa hapa wanasongamana kwa ajili ya GOLDEN ARROWS, hapa ni Cape TownView attachment 1391337View attachment 1391338View attachment 1391340
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wallah slim umetumwa alokwambia nimeishi Cape Town ni nani
Mkuu unafeli sana. India haiwezi kuwa mbele.Mkuu kuwa specific, MBELE wapi? Ona hz... hapa ni NEW DELHI na hizo Bus zinamilikiwa na DELHI METRO View attachment 1391314View attachment 1391320View attachment 1391321View attachment 1391322
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya binadamu wengi,wanadhaniazingira wanayoishi /yanayowazunguka..wanafikiri wote wanaishi hivyo,Siku ukiondoka kwa shemeji hapo ulipoolewa na dada yako utaelewa namna maisha yanavyo evolve, watu kama nyie ndo huwa mnatoa mapovu jamaa kaninyima buku tano wakati anamiliki gari.
Mkuu umeongea kinyonge sana,Vijana wa Dar mnatabu sana...kisa kununua huto tu baby walker....gari za kuendea sokoni mnaanza kunyanyapalia wenzenu....tena wengine mnaendesha za mashemeji zenu, dada, kaka, baba au mama..Acheni hizo kila kitu na wakati wake..kila mtu apambane na hali yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu baada ya kununua hicho ki vitz chako cha mkopo umeamua kuja kutufungulia uzi sisi wapanda daladala? Poa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wakware walibambia hilo tako vya kutosha[emoji97][emoji97]Mwendokasi ya kariakoo to kimara siwezi isahau jamani..! Vurugu tupu kupata kipenyo uingie