Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Kipalapala mkubwa, litembo likubwa, kigilagila mkubwa, kwa limboa lumo kabisa,panda ndege uende chato kufanya utalii wa Punda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipalapala mkubwa, litembo likubwa, kigilagila mkubwa, kwa limboa lumo kabisa,panda ndege uende chato kufanya utalii wa Punda.
andika kiswahili, mimi sielewi kisukuma.Kipalapala mkubwa, litembo likubwa, kigilagila mkubwa, kwa limboa lumo kabisa,
Libichwa lako kubwa mkuuandika kiswahili, mimi sielewi kisukuma.
Ilikua Kwa ajiri ya Uchaguzi Mkuu!!December mwaka jana kuna treni ilikuwa promoted sana na tukaambiwa itaendelea na route za Moshi, hii ipo mwaka huu?
Je ukipanda ndege kuja JNIA huwa unasema unakuja Wilaya ya Ilala, Ukonga, Kipawa, Gongolamboto, Sinza au unakuja Dar?! Maana mtu anapouliza unakwenda Chato au Geita , haileti mantiki. Viwanja vya ndege vina catchment areas zake. Arusha Kia karibia kilomita 80, Musoma Mwanza 256, Kuala Lumpa mjini mpaka Airport karibia 200 kilomita. Hakuna issue hapo.Chato ni mji mdogo uko kilomita 110 (110Km) kutoka Geita mjini.
Hata ikiwa bombadia poa ilimradi ufikeNi direct flight? au linapita KIA, MWANZA then CHATO??
Usikute likageuzia KIA, wengine mkahamishiwa kwenye ki-glider 🙂 🙂 kiwafikishe CHATO
Ni NDEGE GANI Isijekua Bombadear
Karibu busele sele mkuu..Ningejua mapema na mimi ningekwenda Burigi
Sijui Huyu mjinga mleta post Kama atakuelewa,Hizo ni hadithi tu.
Practically kusema mtu wa Geita mjini ama Katoro atapanda ndege ashukie Chato kisha arudi Geita huo ni uongo wa asubuhi.
Kutoka Mwanza hadi Geita ni 110km, kutoka Chato hadi Geita mjini ni zaidi ya km 150.
Huo uwanja wa ndege ni white elephant project. Na kwa sasa usishangae wote waliojaa humo ni security agents kwa sababu mzee yuko huko.
Tusubiri akitoka huko utuletee taarifa hali itakavyokua.
Pinda alijenga kwao baadae uwanja ukawa wamama wanaanikia mihogo na mahindi, mbuzi 🐐 wakawa wanacheza humo.
Siyo tu kukosa sababu, ni aibu kwa mtanzania mzalendo kuombea mabaya Nchi yake! Mtu anatamani ndege ikose abiria, Nchi ikose misaada nk, uzalendo uko wapi hapo?!
We nimekujua, kilolo mbofu, mkutaunyumba na mtipwatipwa!Kipalapala mkubwa, litembo likubwa, kigilagila mkubwa, kwa limboa lumo kabisa,
Ni direct flight? au linapita KIA, MWANZA then CHATO??
Usikute likageuzia KIA, wengine mkahamishiwa kwenye ki-glider 🙂 🙂 kiwafikishe CHATO
Ni NDEGE GANI Isijekua Bombadear
Huenda linaenda Mwanza,halafu ndio iende Chato!
Mzalendo ni kama daktari anatakiwa aseme ukweli wa matatizo ya nchi yake.Siyo tu kukosa sababu, ni aibu kwa mtanzania mzalendo kuombea mabaya Nchi yake! Mtu anatamani ndege ikose abiria, Nchi ikose misaada nk, uzalendo uko wapi hapo?!
Pinda alijenga kwao baadae uwanja ukawa wamama wanaanikia mihogo na mahindi, mbuzi 🐐 wakawa wanacheza humo
[emoji16][emoji16][emoji16]Sawa, wewe una shilling ngapi hapo mfukoni? Je umekunywa chai? Una majukumu yoyote ya kulipia watoto school fees au ni kula kulala?
Ukijibu maswali haya ndio naweza kuelewa wewe ni category gani then ndio tuendelee na hui ushuzi wako.
Kutoka chato kwenda katoro ni km 75, kutoka mwanza kwenda katoro ni km 166.Kwa kwenda katoro bora ushukie mwanza!
urahisi kulinganisha na niniBabu Geita kubwa kwa sisi tunaoenda Katoro tukishuka Chato airport inakua rahisi
Sisi ni dona kantili misaada ya nini.Siyo tu kukosa sababu, ni aibu kwa mtanzania mzalendo kuombea mabaya Nchi yake! Mtu anatamani ndege ikose abiria, Nchi ikose misaada nk, uzalendo uko wapi hapo?!