Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Lwajabe aliyeuwawa kwa kutaka kuzuia wizi wa Doto, kwa fedha za misaada, ninyi ndo mlihusika nini?
 
Vile vile alimbambika kesi ya uhujumu mzee Shamte aliyefia gerezani.
Mo alitekwa kwa siku kadhaa akiwa madarakani.
Liliundwa genge la wasiojulikana na nafikiri likiongozwa na yeye mwenyewe maana hakuwahi kulitilea maelezo.
Aliteua watu wa kabila lake hasa toka Chato, Geita katika nafasi zote muhimu, upendeleo.
Nanyi mnao mtetea mko kundi hiloholo.
Aliwaambia wananchi wake wakae na mavi yao nyumbani, badala ya kujibu kero.
Miradi mingi ya maendeleo aliilundika kwao Chato, ikiwamo kiwanja cha ndege kilichojengwa bila upembuzi.
Kuna upoteaji wa watu kama Ben Saanane ambao wanahisiwa kuwa wameuwawa kwa amri yake.

Maamuzi ya mihemuko inayotokana na hisia ya kuwa na fsili Mirembe......!
Mkuu tuendelee?
 
Magufuli alikuwa kiongozi wa taifa! ninachoshindwa kuelewa kutokana na hizi allegation zanu ni kushindwa kulielewa hilo!! Roma sijui Ben sanane na wengine walikuwa vipi threat kwa kiongozi wa taifa to such extent ya kutaka kuwatoa uhai? nadhani sio busara na hivyo ni matumizi ya ovyo kabisa ya rasilimali ubongo kuzalisha fikra za hivyo
Ebu tujaribu kuionyesha chuki yetu kwa magufuli na awamu yake ya tano aliyoiacha njiani kwa kuangalia madhara ya utawala huo katika mifumo, sera, taasisi na dira ya nchi kwa mfano katika utawala wake tumeona mihimili mingine ya serikali ikikandamizwa kutokana na nguvu aliyopewa kama Raisi(Mhimili wa Dola) kitu ambacho chanzo na lawama zipelekwe kwenye katiba yetu, chuki hizo na lawama mkizipeleka kwa Magufuli as a Person au kwa utawala wake mtakuwa (au tutakuwa) tunalenga kivuli na kumuacha swala ebu inukeni na tuanzishe movement bora ya kudai hii kitu guys katiba yetu HAITUFAI!
 
Alicopy na kupaste kwa yule
1) aliyembambikia kesi babu sea na wanawe kesi ya ubakaji

2) aliyejenga kasri na barabara ya lami kwa

3) aliyeteua watu wa dini moja enzi zake

4)aliyekuwa na kikundi cha watu wanalioteka madaktari na kuwang'oa meno

5)
 
Magufuli alikuwa anamiliki kikundi cha WASIOJULIKANA ambacho kiongozi wake alikuwa Paul Makonda na Richard Musalika Makungu kabla hajahamishiwa Tabora kuwa RAS. Hawa ndiyo wamehusika na matukio yote ya mauaji na utekaji including wa Nape Nnauye, Zakaria wa Tarime, Diwani wa CDM wa Hananasif
 
Zle fix tu,yule alijipa uaminifu na utukufu asiokuwa nao
Kitu kimoja mimi kilikuwa kinanishangaza, kama alikuwa anafanya mazuri, kwa nini alikuwa anataka kuyafanyia gizani? Kwa nini uzime bunge, uminye vyombo vya habari na uzuie wapinzani?

Unaogopa nini ili hali unafanya mazuri?
 
Hahaaaa!!!!Hakika wajane mtaendelea kutanga tanga maisha yenu yote
bibi yako na babu yko ndio mnajua hayo sisi tunachojua ametufumbua macho na wahuni kama nyie na kutuletea maendeleo yanayoonekana hata na kipofu sio mbwembwe za maneno tupu na kuzurura hovyo na kukopa kopa hvyo
 
Tutaamini tuhuma zako ukienda mahakamani na kutoa ushahidi na hao watu kufungwa. Nje hapo ni majungu tu
 
Angepotezwa ndugu yako wala ucngekuja kuropoka hapa
Ili nchi isimame lazma wachache waumie .......... Lazma tuwaondoe wanaozuia jitihada

Magu alipiga kazi sanaaaa......hao waliopotea walikuwa wapinga maendeleo
 
Bila kupepesa macho Magu hakuwa timamu kiakili.
Wenzetu wangesema alikuwa na mental disorder or insanity.

Hili kosa halitakiwi kujirudia tena katika maisha ya Watanzania.

Kama raia wema hatuna budi kumsamehe.
Hilo Mungu alishalirekebisha na hatuna cha kuongeza wa sasa, naye atatuongoza kutojirudia kwa yaliyotokea 2016-2021.
 
Hahaaaa!!!Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu
Alicopy na kupaste kwa yule
1) aliyembambikia kesi babu sea na wanawe kesi ya ubakaji

2) aliyejenga kasri na barabara ya lami kwa

3) aliyeteua watu wa dini moja enzi zake

4)aliyekuwa na kikundi cha watu wanalioteka madaktari na kuwang'oa meno

5)
 
Hilo Mungu alishalirekebisha na hatuna cha kuongeza wa sasa, naye atatuongoza kutojirudia kwa yaliyotokea 2016-2021.
Naomba tusidhalilishe syetem yetu ya nchi mpaka mtu anapewa madaraka lazima afanyiwe vetting. Ikiwemo na afya ya akili.sasa nyie akina nani? Mpaka mjione bora zaidi ya system acheni kujipa majukumu ambayo sio yenu
 
Mimi ni chawa tu kama wewe ulivochawa
Sipo kwenye system na wala hawanitambui hilo swali labda tukawaulize wahusika kama unawafahamu
Usikwepe.
Aisifuye mvua, imemnyeshea.

Nyie ndo wasiijulikana, na Task Force iliyopora mali za wananchi na Bureu de Change.
Sasa mko juan, mnajidai kumsifu JPM kumbe mnasikitika kukosa uporaji.
Mliyaona madudu lakini mnajidai kusifia JPM maana mlifaidika nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…