chenjichenji
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,773
- 3,529
Hapa sasa ndio 'nimekuelewa'!.Labda itabakia baraza la maulidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sasa ndio 'nimekuelewa'!.Labda itabakia baraza la maulidi
Hapana,kuna changamoto ilinitokea ila nilivyojibiwa silipii tena,yan sina hata hamu ya kulipiaWako vizuri kaka
Utaanzaje kupoteza muda Kwa kuangalia Mtibwa sugar vs Jkt Tanzania au Geita gold vs Kagera sugarLigi ya bongo ndio upoteze muda?
Duuh, Customer care wanazingua.Wa na majibu yanayo udhi na kufanya mtu akasirike au kukereka.Kwenye customer care wajirekebishe aisee...Wako vizuri kaka
Nakazia hapa🔥🔥CANAL+
Kama ni mpenzi WA NBC Labda.Azam utaidharau kama hujaitumia,ila sku ikitokea umeenda kwa ndugu yako ambae ana azam ukaona utamu wake lazima uhame startimes
Hivi Kingamuzi kuwa na baadhi ya channel ambazo huzipendelei kuna shida gani? mbona vingamuzi vyote viko hivyo?Sijawahi kutumia kwa familia yangu na siwezi kumshauri mwanafamilia kuna jirani yangu amekuwa akililalamika inamaudhui yasiyoendana na imani yake anunue
Sasa unatoaje wakati ndio wanayo hiyo ligi? basi kwa sasa sema tu azam ni useful mpaka hapo watakapoitoa hiyo ligi ya bongoUkitoa Ligi ya mpira wa Bongo azam ni useless.
Sio kweli kwamba Azam kampita Startimes...so far kwa mujibu wa TCRA kisimbuzi kinara ni Startimes tena kamuacha Azam mbali sana, cheki grafu hapo chini.This is a shit joke.
Startimes ilianza kabla ya Azam lakini mpaka leo hakuna cha maana.
Kama azam alikuja 2013 na amekuja kumpita startimes hapohapo basi usitegemee mabadiliko yoyote kutoka kwao.
Nina king'amuzi cha startimes na azam lakini startimes imenishinda kwa maudhui mabovu na quality mbovu na wakati natumia Smart tv na hdmi lakini bado hakuna kitu.
Na uwezi kuongelea ubora wa kitu kwa kitu kimoja tu kama mpira huu ni ujinga.
Mimi huwezi kuniweka kwenye tv niangalie mpria bali kuna wapenda movies, music , documentaries, science na maudhui ya kidini considering azam ina maudhui ya dini zote unless wewe ni religious ignorant.
Hii mada imekaa kwenye chuki dhaifu na kijinga za dini, I know what I'm talking about.
Rubbish...Nina king'amuzi cha dstv na star times ila star sijawahi kulipia toka 2018.
Mimi sio shabiki wa mpira so kwenye mpira wowote huwezi kunikuta, nilipenda dstv sababu ya programu zao.
Azam ni king'amuzi cha hovyo kuanzia bei hadi huduma. Juzi hapa nimewanunulia home azam eti 210k, nikauliza sababu, eti unalazimishwa ulipie vifurushi vya miezi 3 vya 35k bila kupenda.
Kile king'amuzi kimejaa maudhui ya dini ya kiislamu mwanzo mwisho. Bora wakiite Azam islamic media group.
Ahsante sana utah jazzWengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA
Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu
Local channels bure kabisa
Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Karibu ufurahie huduma na vipindi bombaMi natumiaga dishi la Startimes ila king'amuzi cha Zuku. Ntalipia Startimes nione tofauti maana nao hawana maudhui ya mashariki ya kati kama wale jamaa ambao kila mtu anajifanya mwarabu
AhsanteKwa upande wa football, ukitoa DSTV king'amuzi kinachofuata kwa kuonyesha mashindano mengi ya Football ni Startimes Tena kwa HD ya ubora, wanaonyesha Bundasiliga, Laliga, Chinese super league, Copa Italia, Copa delay, Mashindano ya Euro, Word cup qualify for Europe, Word cup qualify for Asian , Word cup, kwa upande wa Africa wanaonyesha ligi ya Kenya na Uganda Na pia wametangaza kwamba wataonyesha AFCON mechi zote 52, Mimi sipo kwenye udini nipo ki uharisia, mimi ni mtumiaji mzuri wa Startimes, nilitaka kununua king'amuzi cha azam family yangu imegoma kabisa, Ligi kuu Tanzania bara nimeamua niwe naangalia vibanda umiza
Sasa kama unafanya promo si useme tuu??Wako vizuri kaka
tena naona ameongozana na anaowafanyia promo .Sasa kama unafanya promo si useme tuu??
Startimes amempita Azam kwenye wingi lakini sio kwenye Ubora.Sio kweli kwamba Azam kampita Startimes...so far kwa mujibu wa TCRA kisimbuzi kinara ni Startimes tena kamuacha Azam mbali sana, cheki grafu hapo chini. View attachment 2079068
Habari.King’amuzi bei gani aise? Nataka niwanunulie wazee wangu ila nitakuwa silipii kwa mwezi kwani wao shida yao ni kuangalia taarifa ya habari tu TBC na ITV, hizo ni bure right?