Tuache utani Startimes ndio king'amuzi bora sana

Tuache utani Startimes ndio king'amuzi bora sana

Azam utaidharau kama hujaitumia,ila sku ikitokea umeenda kwa ndugu yako ambae ana azam ukaona utamu wake lazima uhame startimes
 
Sijawahi kutumia kwa familia yangu na siwezi kumshauri mwanafamilia kuna jirani yangu amekuwa akililalamika inamaudhui yasiyoendana na imani yake anunue
Hivi Kingamuzi kuwa na baadhi ya channel ambazo huzipendelei kuna shida gani? mbona vingamuzi vyote viko hivyo?
Kwani hicho kingamuzi kinajiendesha chenjewe au ni hadi uchague???
Nenda Arusha ufungulie radio FM, karibia nusu au zaidi ya channel ni za dini tofauti tofauti? inamaana utaacha kukunua radio yenye channel ya FM? kuweni basi na tabia ya kuchakata mambo la sivyo tuendako itabidi ushauri ndugu na familia yako wasimiliki TV, simu wala Computer kwani ni zaidi sana ya unachokwepa
 
Ukitoa Ligi ya mpira wa Bongo azam ni useless.
Sasa unatoaje wakati ndio wanayo hiyo ligi? basi kwa sasa sema tu azam ni useful mpaka hapo watakapoitoa hiyo ligi ya bongo
 
This is a shit joke.

Startimes ilianza kabla ya Azam lakini mpaka leo hakuna cha maana.
Kama azam alikuja 2013 na amekuja kumpita startimes hapohapo basi usitegemee mabadiliko yoyote kutoka kwao.

Nina king'amuzi cha startimes na azam lakini startimes imenishinda kwa maudhui mabovu na quality mbovu na wakati natumia Smart tv na hdmi lakini bado hakuna kitu.
Na uwezi kuongelea ubora wa kitu kwa kitu kimoja tu kama mpira huu ni ujinga.
Mimi huwezi kuniweka kwenye tv niangalie mpria bali kuna wapenda movies, music , documentaries, science na maudhui ya kidini considering azam ina maudhui ya dini zote unless wewe ni religious ignorant.

Hii mada imekaa kwenye chuki dhaifu na kijinga za dini, I know what I'm talking about.
Sio kweli kwamba Azam kampita Startimes...so far kwa mujibu wa TCRA kisimbuzi kinara ni Startimes tena kamuacha Azam mbali sana, cheki grafu hapo chini.
Screenshot_20220113-093807_Office.jpg
 
Nina king'amuzi cha dstv na star times ila star sijawahi kulipia toka 2018.

Mimi sio shabiki wa mpira so kwenye mpira wowote huwezi kunikuta, nilipenda dstv sababu ya programu zao.

Azam ni king'amuzi cha hovyo kuanzia bei hadi huduma. Juzi hapa nimewanunulia home azam eti 210k, nikauliza sababu, eti unalazimishwa ulipie vifurushi vya miezi 3 vya 35k bila kupenda.

Kile king'amuzi kimejaa maudhui ya dini ya kiislamu mwanzo mwisho. Bora wakiite Azam islamic media group.
Rubbish...
 
Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana

Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA

Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu

Local channels bure kabisa

Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Ahsante sana utah jazz

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Kwa upande wa football, ukitoa DSTV king'amuzi kinachofuata kwa kuonyesha mashindano mengi ya Football ni Startimes Tena kwa HD ya ubora, wanaonyesha Bundasiliga, Laliga, Chinese super league, Copa Italia, Copa delay, Mashindano ya Euro, Word cup qualify for Europe, Word cup qualify for Asian , Word cup, kwa upande wa Africa wanaonyesha ligi ya Kenya na Uganda Na pia wametangaza kwamba wataonyesha AFCON mechi zote 52, Mimi sipo kwenye udini nipo ki uharisia, mimi ni mtumiaji mzuri wa Startimes, nilitaka kununua king'amuzi cha azam family yangu imegoma kabisa, Ligi kuu Tanzania bara nimeamua niwe naangalia vibanda umiza
Ahsante

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
King’amuzi bei gani aise? Nataka niwanunulie wazee wangu ila nitakuwa silipii kwa mwezi kwani wao shida yao ni kuangalia taarifa ya habari tu TBC na ITV, hizo ni bure right?
Habari.

Kingamuzi cha dish 79000 na dish lake

Kingamuzi cha antena 65000 na antena yake

Vingamuzi vyote vinamwezi mmoja wa bure. Plz kumbuka usipolipia utaangalia channel zaidi ya 10 bure.

Karibu sana

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Watu bwana kwa kujifariji haya ,bwana happ unatafuta wa kumuuzia ununue AZAMU
 
Back
Top Bottom