Tuache utani, wachaga wana bahati na wanajua sana biashara

Acha Ushakunaku, huwa unajikuta Mlokole lakini mpaka hapo umetenda dhambi ya kusema Uongo unless uthibitishe kuwa wana madhabahu isiyotokana na Mungu

Uzushi ni Dhambi pia
Wewe umethibitisha kuwa hawana madhabahu hizo?

Nikushauri kitu kijana,

Jitahidi kuwa unauliza maswali Ili ueleweshwe ktk mambo usiyoyajua,

Kutaka Elimu Kwa njia ya ubishi na ujuaji wa kijinga ,utachelewa sana.

Ungeuliza swali ningefafanua,

Lakini Kwa kuwa umetumia njia ya kijinga, Baki na Ujinga wako kichwani.
 
Ni wewe tu mjinga usiyejua uchumi ni suala la kiroho Kabla ya kuwa la kimwili. Wenzako wanatoa kafara kila kukicha bila huruma. Au unadhani wanachoenda kufanya kule Decemba NI kunywa mbege Sio? Pole wewe mgalatia uliyelogwa.
Unataka pesa amua Utafutie ukiwa Kwa Yesu au Kwa Shetani. Hakuna Neutral.
Nenda Kibosho utaonyeshwa watoto walipokuwa wanachinjiwa zamani(butcher)
Kibosho hiyo hiyo wanazika wapendwa wao ndani ya nyumba. Hapo hapo Mzee alipokuwa analala Wakati anaumwa Akifa Ni kitanda tu kinaondolewa anachimbiwa kaburi hapo hapo.
Lingine. Baada ya mtu kufa Wana muda maalumu Wanakaa Wanafukua viungo vyake ndani especially fuvu la kichwa Kwa ajili ya ibada na wanaishi na hilo fuvu ndani Ni kawaida kabisa.
Kuna mengine mengi. Sasa wewe Unataka upate hela kirahisi.
Ufalme wowote ni Lazima upate atakayekutambulisha huko Huingii tu
Angalia saa ya kisasi Wanavyokufa
Ndio kabila linaloongoza kufa Tanzania
Hakuna siku unakosa Maiti si chini ya Kumi Kwa siku zinatoka mikoani zinaenda zikwa
Kama pale njia panda ya Himo ufunge Hesabu Kwa masaa 24 Ndio utaelewa
Kila kitu kina gharama yake. Na wanaokufa ni wale walioanza kufanikiwa au waliofanikiwa. Akishafanikiwa asahau kufika uzeeni
Ataishia hapa 50-60 na wengi ujanani
Ni utajiri Kwa kuzimu Anautoa Lucifer mwenyewe. Kwa Ibada za Matambiko tu. Anakupa alafu baada ya muda anakunyonga iwe ni ajali, iwe ni cancer vyovyote vile Anakuwa na uhalali Kwa sababu umejiunganisha Kwa Ibada Akakubariki ukala vyake Anakuzunguka kukuua. Maandiko wanasema Mwivi haji Ila Aibe , Achinje , Aharibu
 
Asilimia 90 jamaa kwenye biashara wananunua na kuuza mizigo ya wizi kama sio magendo, na kuroga ndo usiseme.Dar ndo wanaongoza kwa kuwapa vijana ugunjwa wafigo kama sio ini kwa kuwauzia double kick na visungura feki.
 
Mchaga unayeenda Kanisani jumapili na unafanya Mila na matambiko ya ukoo na Mizimu Ili kulinda pesa na utajiri,

Sahau kuhusu mbingu,

Usipobomoa madhabahu hizo na kujitenga nazo, huna tofauti na waovu wengine,

Mlango na njia ya Mbinguni ni mwembamba sana.

Amen
 
Acha uongo mimi nimezaliwa moshi na kukulia japokua sio mchaga kwa miaka zaidi ya 30
Sio kweli wachaga wanatoa kafara ili wafanikiwe huo ni uongo na uzushi

Hakuna kabila lililoacha mambo ya kimila, tamaduni kama wachaga kwa tanzania acha uongo

Maisha sio marahisi hivyo kwamba utambike tu ndo uwe tajiri nani alikudanya kuna watu wametambika sana, loga sana, toa kafara sana ila bado sio matajiri

Utajiri unaendana na bloodline kama hauko kwenye hiyo bloodline ni ngumu sana kuwa tajiri
 
Unajifanyaga umeokoka ila kutwa kushuhudia watu uongo walokole wa sahivi changamoto sana
 
Sio kweli kama ni hivyo sumbawanga au tanga wangekua matajiri sababu ni wachawi sana

Wale Mungu amewapaka mafuta kwenye biashara ni kama watu wa mbeya wakijikita kwenye kuhubiri neno la Mungu wanafanikiwa sana
Wafipa huwa hawaendi kwenye matambiko ya mizimu kila mwisho wa mwaka.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kuzaliwa baharini si kujua kuogelea, usikariri maisha kisa ni mzawa na mkazi wa mahali flani, huwezijua vyote duniani.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…