Tuache utani, wachaga wana bahati na wanajua sana biashara

Tuache utani, wachaga wana bahati na wanajua sana biashara

Acha uongo mimi nimezaliwa moshi na kukulia japokua sio mchaga kwa miaka zaidi ya 30
Sio kweli wachaga wanatoa kafara ili wafanikiwe huo ni uongo na uzushi

Hakuna kabila lililoacha mambo ya kimila, tamaduni kama wachaga kwa tanzania acha uongo

Maisha sio marahisi hivyo kwamba utambike tu ndo uwe tajiri nani alikudanya kuna watu wametambika sana, loga sana, toa kafara sana ila bado sio matajiri

Utajiri unaendana na bloodline kama hauko kwenye hiyo bloodline ni ngumu sana kuwa tajiri
Wewe hujui chochote. Uko tayari nikuhoji?
Mimi nimeoa huko I know everything
Niligombana Nao Sana Walivyotaka Mtoto mara ya kwanza kunyolewa nywele akanyolewe uchagani
Unaelewa maana yake wewe?
 
Siyo mzaha jamaa kwa biashara wako vzr sna Kuna mtaa naishi hapa dodoma Basi kulifunguliwa vi car wash Kama mbili tatu hv na baadae mchaga mmoja ambae Ni Dr wa Benjamin mkapa nae akaja kuanzisha yake pmj na kufungua min market na barbershop kwenye jengo moja ,,, yaani ndni ya barbar shop Hakuna nafsi na min market nayo inakimbiza balaa

SAS alifungua kwa kusua sua kwa wateja ila Sasa hivi ukienda haswa week end unakosa pa kupaki gari ili lioshwe Ni Kwamba magari ni mengi San yanakuwepo na magari yenyewe ni Yale ya Bei kubwa kubwa kwa kifupi Dr ambae Ni jirani angu amepatia sna hiyo biashara

Jana nilikwenda kuosha guta langu nilikosa huduma baada ya vijana kuwa busy sna kuosha maTx nikaona wacha nielekea car wash iliyo mtaani karibu mita na chache na ya Dr niliwakuta vijan hawana Kaz kabsa wakt kwa Dr Hakuna pa kupaki gari Wala guta hawaoshi

Jmn biashara is not for everybody wengine tujikite na kilimo na ukipata nguvu jenga nyumba za kupangisha vingevyo utakula loss.
WAMESOMAAA BAHATULINWANAZO WAHAYA WEWEEE
 
Wewe hujui chochote. Uko tayari nikuhoji?
Mimi nimeoa huko I know everything
Niligombana Nao Sana Walivyotaka Mtoto mara ya kwanza kunyolewa nywele akanyolewe uchagani
Unaelewa maana yake wewe?
Sasa hiyo kunyolewa nywele ina-husiano gani wa kuwa tajiri

Jamii zote za kiafrika zina mambo ya kishirikina sio tu wachaga tuacheni double standard
Nitajie kabila ambalo halina mambo ya kishirikina hapa Tanzania
 
Siyo mzaha jamaa kwa biashara wako vzr sna Kuna mtaa naishi hapa dodoma Basi kulifunguliwa vi car wash Kama mbili tatu hv na baadae mchaga mmoja ambae Ni Dr wa Benjamin mkapa nae akaja kuanzisha yake pmj na kufungua min market na barbershop kwenye jengo moja ,,, yaani ndni ya barbar shop Hakuna nafsi na min market nayo inakimbiza balaa

SAS alifungua kwa kusua sua kwa wateja ila Sasa hivi ukienda haswa week end unakosa pa kupaki gari ili lioshwe Ni Kwamba magari ni mengi San yanakuwepo na magari yenyewe ni Yale ya Bei kubwa kubwa kwa kifupi Dr ambae Ni jirani angu amepatia sna hiyo biashara

Jana nilikwenda kuosha guta langu nilikosa huduma baada ya vijana kuwa busy sna kuosha maTx nikaona wacha nielekea car wash iliyo mtaani karibu mita na chache na ya Dr niliwakuta vijan hawana Kaz kabsa wakt kwa Dr Hakuna pa kupaki gari Wala guta hawaoshi

Jmn biashara is not for everybody wengine tujikite na kilimo na ukipata nguvu jenga nyumba za kupangisha vingevyo utakula loss.

Jitahidi uoelewe na mmoja mimi sema nimeshaoa. Mdogo wangu anatafuta mke. Kama vile nikuunganishe naye.
 
Back
Top Bottom