dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #81
Acha utapeli wewNdio wachaga sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utapeli wewNdio wachaga sasa
Sanaa lzm kwa siku nimuuzie mchaga kituWana mfumo wa kuungushana hakika umeupiga mwingi
Shuleee babaaaa shuleee WAZAZI awakukoseaaaSijui ilikuwaje kikwete akawajaza wachaga tra yaani tra Arusha Kuna kipindi wanaongea kilugha ofc
Nimekutapeli niniAcha utapeli wew
Unadanya watuNimekutapeli nini
Acha kuongea vitu vya ajabu mkuu, eti ataishia 50-60.Ni wewe tu mjinga usiyejua uchumi ni suala la kiroho Kabla ya kuwa la kimwili. Wenzako wanatoa kafara kila kukicha bila huruma. Au unadhani wanachoenda kufanya kule Decemba NI kunywa mbege Sio? Pole wewe mgalatia uliyelogwa.
Unataka pesa amua Utafutie ukiwa Kwa Yesu au Kwa Shetani. Hakuna Neutral.
Nenda Kibosho utaonyeshwa watoto walipokuwa wanachinjiwa zamani(butcher)
Kibosho hiyo hiyo wanazika wapendwa wao ndani ya nyumba. Hapo hapo Mzee alipokuwa analala Wakati anaumwa Akifa Ni kitanda tu kinaondolewa anachimbiwa kaburi hapo hapo.
Lingine. Baada ya mtu kufa Wana muda maalumu Wanakaa Wanafukua viungo vyake ndani especially fuvu la kichwa Kwa ajili ya ibada na wanaishi na hilo fuvu ndani Ni kawaida kabisa.
Kuna mengine mengi. Sasa wewe Unataka upate hela kirahisi.
Ufalme wowote ni Lazima upate atakayekutambulisha huko Huingii tu
Angalia saa ya kisasi Wanavyokufa
Ndio kabila linaloongoza kufa Tanzania
Hakuna siku unakosa Maiti si chini ya Kumi Kwa siku zinatoka mikoani zinaenda zikwa
Kama pale njia panda ya Himo ufunge Hesabu Kwa masaa 24 Ndio utaelewa
Kila kitu kina gharama yake. Na wanaokufa ni wale walioanza kufanikiwa au waliofanikiwa. Akishafanikiwa asahau kufika uzeeni
Ataishia hapa 50-60 na wengi ujanani
Ni utajiri Kwa kuzimu Anautoa Lucifer mwenyewe. Kwa Ibada za Matambiko tu. Anakupa alafu baada ya muda anakunyonga iwe ni ajali, iwe ni cancer vyovyote vile Anakuwa na uhalali Kwa sababu umejiunganisha Kwa Ibada Akakubariki ukala vyake Anakuzunguka kukuua. Maandiko wanasema Mwivi haji Ila Aibe , Achinje , Aharibu
Acha mambo yako.Kuna ka'ID nimekaona humu kanafanana na ID yangu, ebu ngoja nianze kukafuatilia polepole tuone...😋
Mimi wifi yako ila wa Rombo...najua vitu vichache vichache...Umeelewa sasa...
Wewe unakimanya cha wapi Beshte yangu?
Moshi kila mchaga anaongea kichaga cha pande yake...mmarangu,mkibosho,mrombo,mmachame..n.k haviingilianiKumbe wachaga wa rombo hawaongei kichaga Cha Huku Moshi mjini
kabisa mchaga anatafuta hela na kuzitumia pia anajuaMchaga anafanya kazi na anatumia hela mkinga anatafyta hela alafu anaishi kama fukara
Dini za wazungu na waarabu zimekuharibu akiliMchaga unayeenda Kanisani jumapili na unafanya Mila na matambiko ya ukoo na Mizimu Ili kulinda pesa na utajiri,
Sahau kuhusu mbingu,
Usipobomoa madhabahu hizo na kujitenga nazo, huna tofauti na waovu wengine,
Mlango na njia ya Mbinguni ni mwembamba sana.
Amen
Mambo gani...🤔Acha mambo yako.
Kyasaka watondo Sana Nilo kitewe wairiyo shindo shitutu kuryoHicho naore Barbershop na handu ko' sanja Makari?
Aliliiiiiiiii.....Mimi wifi yako ila wa Rombo...najua vitu vichache vichache...
Na waichi rera cha mbe' ikundi feee[emoji1]Kyasaka watondo Sana Nilo kitewe wairiyo shindo shitutu kuryo
Haviingiliani ila tunasikilizana Beshte yangu....Moshi kila mchaga anaongea kichaga cha pande yake...mmarangu,mkibosho,mrombo,mmachame..n.k haviingiliani
Aaah nawapenda sanaAliliiiiiiiii.....
Karibu My Wiiiii....
Wachagga hatuna shida na mtu...labda uianzishe hiyo shida[emoji1787]
Karibu mno Uchaggani...Aaah nawapenda sana