dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #41
Swala la kimadhabau lipo wasi banaWewe umethibitisha kuwa hawana madhabahu hizo?
Nikushauri kitu kijana,
Jitahidi kuwa unauliza maswali Ili ueleweshwe ktk mambo usiyoyajua,
Kutaka Elimu Kwa njia ya ubishi na ujuaji wa kijinga ,utachelewa sana.
Ungeuliza swali ningefafanua,
Lakini Kwa kuwa umetumia njia ya kijinga, Baki na Ujinga wako kichwani.
Wewe ni mpumbavu mno.Si Bahati, ni madhabahu zao, ambazo hazitokani na Mungu,
Ingawa Si wachaga wote ni matajiri Kwa njia hizo.
Huko Nako ni kujilisha upepo.
Ingekua kutambika tu ndo kuwa tajiri basi nchi hii kungekua na matajiri wengi sana na maisha yangekua marahisi sanaKuzaliwa baharini si kujua kuogelea/Mahakamani si kujua sheria, usikariri maisha kisa ni mzawa na mkazi wa mahali flani, huwezijua vyote duniani.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ndo maana nimamjibu kama kuambika tu ndo unakua tajiri basi maisha yangekua marahisi sanaWewe ni mpumbavu mno.
Toa maan basUnajua maana ya mammon?
Makari machaa ya maboss tiki😁😁😁😁Hicho naore Barbershop na handu ko' sanja Makari?
Ndio maan yakeIngekua kutambika tu ndo kuwa tajiri basi nchi hii kungekua na matajiri wengi sana na maisha yangekua marahisi sana
Huwa mm wamanita mangi kumbe Wala mmsiyo wao wengejuwa mm Ni kabila langu Ni wa kikuyuHakika wanajua hata huku mtaani wapo
Naona mnaitanaMakari machaa ya maboss tiki😁😁😁😁
Sanaa aNdo maana nimamjibu kama kuambika tu ndo unakua tajiri basi maisha yangekua marahisi sana
Hapa duniani kuwa tajiri Kuna njia mbali mbali za kuupata,Kwamba ukitambika ndo unakua tajiri automatic hizi akili za short cut ni changamoto sana
Maisha sio marahisi hivyo
Wachawi, waenda Kwa Waganga na watoa kafara, lazima mnione hivyo.Wewe ni mpumbavu mno.
We pita humohumo sio mbaya ukiwa mangi aiseeHuwa mm wamanita mangi kumbe Wala mmsiyo wao wengejuwa mm Ni kabila langu Ni wa kikuyu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Haika...Makari machaa ya maboss tiki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Waambie waambieMlilazimishwa kunywa
Na kwa kweli inanilipa sana SAS HV wachanga wanjaa dukaninkwamgu wakijuwa mm mwezaoWe pita humohumo sio mbaya ukiwa mangi aisee
HahahhaahWachawi, waenda Kwa Waganga na watoa kafara, lazima mnione hivyo.
Hkn mchawi bhnaaMchaga unayeenda Kanisani jumapili na unafanya Mila na matambiko ya ukoo na Mizimu Ili kulinda pesa na utajiri,
Sahau kuhusu mbingu,
Usipobomoa madhabahu hizo na kujitenga nazo, huna tofauti na waovu wengine,
Mlango na njia ya Mbinguni ni mwembamba sana.
Amen