Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamekuwa wakisema hivyo miaka yote, na sijabadilika.Kwa sababu hakuna hoja yangu iliyojibiwa kimantiki.Huwa nakuchunguliaa nabaki kusema tu moyoni na leo naweka wazi kuwa wewe hutakufa ila mpaka utakapokuja kucomfirm hapa kuwa umesilimu. Pia kuna wenzako wengine humuhumu nao huwa nikiwazoom naona kabisa hao watakufa vivyohivyo walivyo maana wamepania (wamenuia) kabisa juu ya wanalolifanya... kikubwa uzima na muda tu
(nionavyo mimi binafsi)
Siamini kuna kufa, najua kuna kufa.Mawili haya ni tofauti.Kwani unaamini kuna KUFA?
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo na hizo habari za moto wa Jehanam ni za kweli.Mkuu siku ya mwisho nakusikitikia sana kwa moto wa jehenam utakao kuchoma
Siamini kuna kufa, najua kuna kufa.Mawili haya ni tofauti.
Kwa kuona wanaokufa.Unajua vipi kama kuna kufa?
Kwa kuona wanaokufa.
Kwa kanuni za kisayansi za second law of thermodynamics na entropy.
Wewe unabisha na kusema hakuna kufa?
Kwa kuona wanaokufa.
Kwa kanuni za kisayansi za second law of thermodynamics na entropy.
Wewe unabisha na kusema hakuna kufa?
Kwanza wathibitishe huyo Mungu yupo.
Wasije kumuua Afande Sele kwa hadithi tu.
Kwanza kabisa, thibitisha mwenyezi Mungu yupo na habari za kuwapo kwake si hadithi za watu tu.Mwenyezi mungu anasema kila NAFSI ITAONJA UMAUTI.VIPI HAPO UNABISHA?View attachment 1732615
Unaelewa tofauti ya kuamini na kujua?Mimi naamini kifo kipo na kimepangwa na MUNGU.
Uliniuliza nikuthibitishie nina akili nikashindwa wapi? Weka ushahidi hapa ili tujue hili jambo hujazusha tu.Tulikuuliza wewe utuhibiishie kama unazo Akili ukashindwa moaka leo hujatuthibitisha akili zako
Kwanza kabisa, thibitisha mwenyezi Mungu yupo na habari za kuwapo kwake si hadithi za watu tu.
Inawezekana kabisa Mungu hayupo, watu wameona kila mtu anakufa, wakasema Mwenyezi Mungu kasema kila nafsi itaonja mauti.
Kama Mungu hayupo, ile Sukari kwenye miwa aliweka baba yako?Hata nikiunganishwa, hilo halitathibitisha Mungu yupo.
Thibitisha Mungu yupo.
Logical non sequitur.Kama Mungu hayupo, ile Sukari kwenye miwa aliweka baba yako?
Haijathibitisha Mungu yupo.
Thibitisha Mungu yupo.