Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

Muda wake umeisha Duniani,tumwache apumzike.....tusihukumu maana wengi humu tunafanya mambo ya ajabu ila kwasababu hatuna umaarufu wowote hatuonekani........ usihukumu kwa kuangalia tu
 
Mlo wako wa tabu unashindana kumshauri aliyekuzidi maarifa na maendeleo..
"Shame"
Kufa kunoga, wote tutailamba Ardhi haijarishi ni mlo wa tabu au mlo wa kusaza, kunywa bia wakaze sana wanawake fanya kila ufirauni Ila kuna siku utanasa unaambiwa kijana tulikupa muda ukaufanyia ulichofanya sasa nyanyuka acha hilo limwili lako twende huku ukajieleze, ni km chumba Cha mtihani ukisikia Pens down jua MDA umekwisha acha kuandika
 
Kufa kunoga, wote tutailamba Ardhi haijarishi ni mlo wa tabu au mlo wa kusaza, kunywa bia wakaze sana wanawake fanya kila ufirauni Ila kuna siku utanasa unaambiwa kijana tulikupa muda ukaufanyia ulichofanya sasa nyanyuka acha hilo limwili lako twende huku ukajieleze, ni km chumba Cha mtihani ukisikia Pens down jua MDA umekwisha acha kuandika
Ukajieleze wapi?kwani ulishawahi kufa ukarudi?ama unaleta stories za abunuasi...ukajieleze kwa nani?

Brain washed..endelea kuamini hadithi na vigano vya kusadikika,ila ukiambiwa uthibitishe uwezi.
 
Siku hizi wanakufa vijana wadogo tena wacha Mungu na watoto pia...kutoboa 50 ni ngumu mno....

Afu mpuuzi mmoja anakupangia uishi vipi.
Ila wenye 70/80/90/100 wapo pia mcheck Mzee Malecela baba wa William eeh umri umeenda Ila anaishi aishi anasa anaishi maisha yanayowapendeza Mungu na wanadamu, nilicheck kipindi fulani mwaka Jana km sijakosea kuna Padre ana miaka 103 I think anaitwa Padri Mushi, sasa inawezekana unategemea wewe unaishije maisha yako,
Ukajieleze wapi?kwani ulishawahi kufa ukarudi?ama unaleta stories za abunuasi...ukajieleze kwa nani?

Brain washed..endelea kuamini hadithi na vigano vya kusadikika,ila ukiambiwa uthibitishe uwezi.
Utaenda kujieleza uko mbele ya Safari kumbe wewe hujawahi kufa ukafufuka subiri siku ukifa mazima ndio utaelewa kumbe walipokua wanasema Judgement day walikua wanamaanisha nini, jaribu kufa uone
 
Ila wenye 70/80/90/100 wapo pia mcheck Mzee Malecela baba wa William eeh umri umeenda Ila anaishi aishi anasa anaishi maisha yanayowapendeza Mungu na wanadamu, nilicheck kipindi fulani mwaka Jana km sijakosea kuna Padre ana miaka 103 I think anaitwa Padri Mushi, sasa inawezekana unategemea wewe unaishije maisha yako,
Utaenda kujieleza uko mbele ya Safari kumbe wewe hujawahi kufa ukafufuka subiri siku ukifa mazima ndio utaelewa kumbe walipokua wanasema Judgement day walikua wanamaanisha nini, jaribu kufa uone
Brain washed....
Sina cha kupoteza hata nikifa sasa...
Endelea kuamini vya kurithi kutoka kwa wakoloni...

Mimi lazima nifurahie maisha...hata lemutuz hakukosea ku-enjoy...tunaishi mara moja.

What do you know about universe?

Empty tin, hakuna unachojua.
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Kwa vile unamsikia tu Le Mutuz, ungemjua ungemhurumia!
 
Sina cha kupoteza hata nikifa sasa...
Huna Cha kupoteza sababu ya kudanganywa na Mwili Ila siku ukishaacha Mwili ukawa pembeni na hauwezi tena kuingia kwenye mwili wako utaona umepoteza, ushanielewa umepoteza hatutokuona tena umelalayo, watu wanakuchukua wanakulilia unawaona wao hawakuoni umepoteza, watu wanaanza kukusema msibani kwa matendo yako ya ajabu umepoteza Mzee, judgement imeanza hapo unaona Ila wao hawakuoni umepoteza, umepoteza umepoteza usijisahaulishe
 
Jamaa alikua hanywi pombe mzee rekebisha kumbukumbu

labda Kama alianza kunywa siku za mwisho za uhai wake

hata kama kweli alikua mbaya bas mpe tuhuma za kweli ila usimpe za uongo mzee wa Boma yee, Le Big boss, Akili kubwaz, Boma liwanza, American Spirit, case closed.
 
Huna Cha kupoteza sababu ya kudanganywa na Mwili Ila siku ukishaacha Mwili ukawa pembeni na hauwezi tena kuingia kwenye mwili wako utaona umepoteza, ushanielewa umepoteza hatutokuona tena umelalayo, watu wanakuchukua wanakulilia unawaona wao hawakuoni umepoteza, watu wanaanza kukusema msibani kwa matendo yako ya ajabu umepoteza Mzee, judgement imeanza hapo unaona Ila wao hawakuoni umepoteza, umepoteza umepoteza usijisahaulishe
Maarifa yako madogo,akili yako ni ya kurithi,utaki kutoka nje ya box,sina hoja ya kujadiliana na wewe,
Una vingi vya kujifunza...unanipotezea mda..
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.


Mngemuhujynu skulijuwa hai, sasa hivi hukumu

Mngemuhujynu skulijuwa hai, sasa hivi hukumu zetu hazisaidii kitu, tumwache yeye na Muunba wake, smuwrke popote anapostahiki.

Tufateni yetu tukuwabhai, tujitshidi kufanya yrtu kwa wrma na uadilifu.
Mama leo umekunywa whisky ya wapi?
Huko bar mnafundishana kuandika ujinga?😁
 
Maarifa yako madogo,akili yako ni ya kurithi,utaki kutoka nje ya box,sina hoja ya kujadiliana na wewe,
Una vingi vya kujifunza...unanipotezea mda..
Mimi sina huo uwezo wa kukupotezea muda kwa usichokijua ni kwamba muda haujawahi kupotea muda upo TU haupotei hautopotea na haujawahi kupotea that's time ndio maana ukienda Leo saa 8 usiku utarudi kesho saa 8 usiku Ila hio kesho na leo ni ya kwako kwenye muda hakuna kesho na leo, nimekupa somo Baba yako uwe na nidhamu kijana kula chuma hicho

Na usiseme nna Maarifa madogo maana kwa kukuangalia tu namna ya uandishi wako nimebaini unahitaji msaada wa kiakili hususani afya ya akili na kuhusu kutoka nje ya box nimeshafika nje ya box nikakupa mfano hai kua wewe ukifa Mwili wako unatengana na Roho, Mwili unabaki hapo Roho inakua pembeni inasononeka imeipoteza Mwili, hizo sio hekaya na simulizi za kusadikika hakika ukifa umepoteza, umepoteza vile vyote vinavyouhusu Mwili wako
 
Back
Top Bottom