Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.

Mnafiki wa hali ya juu sana wewe mtoa mada. Kila mtu Ana namna zake za kuishi. Wewe mjinga ndo umeshindwa kumwelewa. Uwezo wake wa akili ulikuwa mkubwa sana kukuzidi. Aliishi kupitia mtandao. Aliwajua watanzania wengi na tabia zao. Hiyo ndo akili Sasa ya kusoma na kuzaliwa. Angalia watu wenye followers Tz mnakoishi. Wengi wajinga na hawana maisha lakini wanajua watz wanataka nini. Mange ni Millionea . Unamwona Kama mtu wa ajabu lakini kawajua vizuri watanzania. Hiyo ndo application ya Elimu ya darasani. Je umesoma maandiko ya Lemutuz Yale ya msingi na nenda kaangalie comments. Afu Rudi soma akichonbeza mambo ya udaku na picha za mitoko. Ona comments za wabongo. Wewe ndo umefeli sana.


Mtu aliyeishi na kufanya kazi majini Kama baharia wewe utasema nini. Kwanza hujulikani wewe Kama Sisi tu hatujulikana na hatuna haja ya kujulikana. Maisha yangu hayataniongezea euro kwa kujidanganya. Je wewe Unaficha mangapi? Are you a virgin. Unaweza simama hapa na kusema Kama a woman umekuwa na dume moja Tu, oder Kama mwanamume umekuwa na jike moja Tu. Sio rahisi mana unaoneka una ghubu na wivu.

Unajua Kwanini tuna wazee wa miaka 80 huku ulaya wanaendesha magari na kuishi peke yao waume au wake zao wakiwa wametangulia. Unajua Kwanini watoto kwa wakubwa wanaitana Tu majina ya kwanza. Maisha ni wewe utakavyoamua kuyaendesha. Angekuwa mwalimu au mchungaji, Hapo mtihani mwingine na ulipaswa kwenda kuongea naye mana naye atakutazama usoni aone unafiki wako.

Mkuu nenda katibiwe. Hii ni alama una Shida kubwa ndani yako na familia yako. Contented man oder Frau hawezi kuandika uharo Kama wako na Tena kuhusu marehemu. Know thyself.
 
Utetezi mwingine hauna maana kabisa, tuchukulie mtu kaamua kuwa shoga, ukichukia itakuwa kuingilia life style yake?

Wewe ndo akili fupi. Unatoa Tu mfano kwa ajili ya kujiridhisha. Jaribu kujiuliza kazi yake ya kumwingizia kipato ilikuwa ipo? Instagram nk. Unajua watanzania wanapenda nini ? Ukikua utajua maisha. Sasa Tulia na unafiki wako.
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Acha uongo!
Boma Yee alikua hanywi pombe Wala kutumia kilevi chochote.
 
Mleta post tupe link ya blog/social media yako tukasome busara zako na kuona picha zako ulizopiga kwenye ibada na sehemu zenye heshima. Tunataka tuige mfano wako.
Kama Huna ni sawa tu, hata mimi sina. Ila sasa ulikua unatafuta nini kwenye media za mtu wa hovyo maana yaelekea unamwelewa sana kupitia huko. Huwa unasoma upuuzi?
 
Alikuwa wa ovyo Kwa vigezo vya nani?
Kwa vigezo vyako binafsi?
Au Kwa imani yako ?


Why tunapenda Ku judge watu Kwa kupitia vigezo vyetu ambavyo sio universal??

Umalaya unaweza thibitisha?au picha za Instagram na warembo ndo uthibitisho?
Pombe?lini ulimuona akinywa? Au picha Akiwa wavuvi ndo ushahidi wako??


Why mnapenda kuishi kinafiki?kujifanya watu wema Kwa nje huku mna madhambi ya kutisha Kwa Siri huku mnahukumu watu Kwa picha za mitandaoni?
Hii nchi ina watu wengi wenye chuki siku pakitokea civil war,ile Genocide ya Rwanda itakuwa cha mtoto
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Mboni nasikiaga eti mtu akishakufwa hasemwi vibaya eti inatakiwa muwe mnamsifwia tu na kumfwagilia kama ilivyo kwa marehemu mzee baba
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Masahihisho - Le Mutuzi hakuwa kijana

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndo akili fupi. Unatoa Tu mfano kwa ajili ya kujiridhisha. Jaribu kujiuliza kazi yake ya kumwingizia kipato ilikuwa ipo? Instagram nk. Unajua watanzania wanapenda nini ? Ukikua utajua maisha. Sasa Tulia na unafiki wako.
Baharia wa Nchi kavi km Professor Muhogo Mchungu au baharia yupi ? Sikuwahi kumsikia akijigamba kua yeye ni Seaman, hata siku moja
 
Kulikuwa na tetesi kwamba Le Mutuz alishiriki baadhi ya misheni za kina Makonda, Muro, etc. za wasiojulikana za kudhuru baadhi ya wapinzani na “wabishi” fulani fulani hivi.

Kulikuwa na ukweli wowote kwenye hili au ni ule uswahiba na ukaribu wake na hao jamaa ndio uliofanya watu wa-connect the dots?

Nitashukuru kwa mwenye kujua akisawazisha hizi tuhuma.
 
Mboni nasikiaga eti mtu akishakufwa hasemwi vibaya eti inatakiwa muwe mnamsifwia tu na kumfwagilia kama ilivyo kwa marehemu mzee baba
Nani kasema ? Hajaona kilichotokea kwa Membe au unajisahaulisha ? Watu wanakupa unachostahiri haijarishi upo hai au umekufa
 
Sijapendezewa kabisa na uzi wa kumdhalilisha Le Mutuz.
1. Lini ulimsaidia chakula na mavazi?
2. Lini ulisomesha watoto wake?
3. Lini ulimtawaza?

Naamini ktk watu wa ovyo wewe unaongoza.
Mods upuuzi huu mnaubariki kweli?
Namba 2, hakuwa na Watoto
 
Back
Top Bottom