We jamaa Una masiri mengi mengi hebu yamwage hapaUsimuhukumu mtu bila kujua,siku nikiweka Siri ya familia ya Mzee malecrla hapa hata wewe ungekuwa zaidi ya lemutuz.
Lemutus alikuwa na msongo wa mawazo,alijua tu atakufa siku si nyingi
Wewe shoga unatetea ushoga kimtindo?Utetezi mwingine hauna maana kabisa, tuchukulie mtu kaamua kuwa shoga, ukichukia itakuwa kuingilia life style yake?
Ushoga ni maradhi ya kuhalibika kwa matumizi halisi ya maumbile ya mwanadamu!Ushoga sio life style
Trump na le mutuz nani mzee zaidi? Mbona hammsemi vibaya Trump pamoja na kufanya mambo ya kihuni?Alikuwa hakubaliani na uzee. Yaani kama kuna kitu kilikuwa kinamfedhehesha kwenye maisha yake, basi ni umri mkubwa aliokuwa nao.
Haya ungemwambia alipokuwa mzima ukiyasema sasa ni sawa na uzandiki tu.Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.
Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);
1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)
Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.
Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.
UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Ona huyu,yaani kweli tuanzishe tuanze kukomaa na trump, sasa anatuhusu nini? Halafu trump ndio Benchmark?Trump na le mutuz nani mzee zaidi? Mbona hammsemi vibaya Trump pamoja na kufanya mambo ya kihuni?
Ongezea nyama hii! Umeweka mchuzi tuNdio,Mzee alizaa watoto wengi Ila wanapukutika Kwa vifo vya mchongo
We mzee acha kupiga mayowe kama hujaelewa kitu unapiga kimya.Ona huyu,yaani kweli tuanzishe tuanze kukomaa na trump, sasa anatuhusu nini? Halafu trump ndio Benchmark?
No facts no commentsKwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.
Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);
1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)
Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.
Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.
UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Kukulia nje sio sababu labda useme maisha ya watoto wa viongozi waliowengi wana maadili mabovu ni wachache sana walionyooka, ndio haohao kama wa Simba ChaweneUnaposema fulani alikuwa mfano mbaya kwa jamii kwa kutumia hivyo vigezo vyako hapo, unamaanisha wengine wote tuliopo hapa ndio mfano mzuri?
Tatizo unafiki umechukua sehemu kubwa sana ya maisha yetu, wengi mnaomponda Lemutuz hapa mnajiona nyie ndio malaika, mfano mzuri kwa jamii zenu, kumbe upo uchafu wenu mwingi tu mnaoufanya sirini.
Kosa pekee la Lemutuz ni kuamua kuwa muwazi kwa maisha yake, kitu ambacho nyie wengine kimewashinda, kwanza unapata wapi "mandate" ya kuhukumu "life style" ya mwingine, mnataka wote tufanane?
Kwanza yule hajakulia huku, maisha ya ughaibuni ndio kwa kiasi kikubwa yalimfanya awe vile, factors kama hii ulitakiwa uiweke kwenye "consideration" kama una upeo, bahati mbaya hamna, tokeni nje ya hilo box mlilojifungia.
"Ukweli usemwe" ... Nonsense!.
Depression, yote hayo alitaka kumprouve mtalaka wake Neema,kwamba yupo bien.Unawezaje kuishi vile ukiwa mzee? Inashangaza
Na ninaamini ni lifestyle yake ndio imemtanguliza mbele ya haki, na sio huyo tu bali ni watoto wengi wa viongozi, wengi wana tabia mbaya na afya mbovu.Marehemu alipenda kusifiwa kama yeye ni mtu wa kuponda starehe kwa kiwango cha SGR, kwa hiyo tukionya jamii isiige maisha ya namna hiyo tutakuwa tumekosea?
Angalia huyu, wivu tuu au ujinga ndio umekujaa kenge weweKukulia nje sio sababu labda useme maisha ya watoto wa viongozi waliowengi wana maadili mabovu ni wachache sana walionyooka, ndio haohao kama wa Simba Chawene
hujuiDepression, yote hayo alitaka kumprouve mtalaka wake Neema,kwamba yupo bien.
Trump ni family man na yupo vizuri na watoto wake.Le mutuz hakujali watoto wake.Trump na le mutuz nani mzee zaidi? Mbona hammsemi vibaya Trump pamoja na kufanya mambo ya kihuni?
Hayo ni mawazo mfu, ingekuwa hivyo jaji/hakimu asingehukumu kesi kisa eti na yeye kwavile toka azaliwe kwani hajawahi kufanya kosa.Dunia hii uishije usikosolewe?
Mleta uzi wewe ni mkamilifu kwa kiwango cha biblia au kuruani. Tuache sisi
Unajua Ujanja Bongo MwingiKwan yule alikua kijana?