Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Sasa kati ya wewe na Mimi yupi aliyemaanisha siasa??Sijataja siasa nimetaja rangi huo consciousness inakujaje kama tunashindwa kutambua jambo dogo kama hilo
 
i admit that and more wonder those who mastremind that things always wins a lot of followers, feel very curios
 
Ila mzimu wa Mzungu unauabudu, ukiambiwa wa babu yako ugomvi, Yesu ni duni kuliko mzimu, ni sanamu , mdoli na msalaba wake wa mbao mnao abudu
 
Michael Jackson aliuliwa na wayahudi wamiliki wa sonny music company
michael jackson alikuwanga more Step forward than them, thats kwa kuwa walimzid kwa % chache walijuanga atakuja kuwaumbua day one wakamuwahi, ndo mana his death up to now obscure, angekuwa yuko hai tungeona mengi kwa hizi mambo

R.I. P. michael J.
 
Mizimu wapo, kama wako wanaidharau mizimu, Mungu anaiheshimu, tena ana tusikiliza kupitia wao mizimu, ukiitupa mizimu yako, umemtupa Mungu wako
asante kaka Ncha ya Mkukina kwa mchango wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…