Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

acha basiiii"" madame waweza kunipatia proof ya hii kitu ".. maaana ni kama umeuvuruga ubongo wangu Hivi "" wataka kuniambia yule Jamaa aliyekuwa anafanya ma concert Bucharest " hakuwa yeye ""?? mmmhh"" hebu nipe fact zitakazo nifanya niweze kukusogelea kifikira
Unitag
 
ndio kituvambacho mimi nakisubiri kwa hamu kubwa"".. tukianza na hili swala la Michael Jackson aliyekufa 2009 siye yeye halisi "" wakati tumeona kina Janet na ndugu zake wote "" na ma celeb wa ulimwengu mzima wakimlilia na kufanya shughuli yake ya muago wa mwili wake "" ....ningumu mnooo kuamini hayo maneno yake "" kama ambavyo ilivyo kuwa ni vigumu ngamia kupita kwenye tundu LA sindano
Mj ameniuma sana...nasubiria na mimi
 
Ukomae kimawazo hearly, proof unaitoa wapi, wauaji ndio watawala wa dunia,tunakupa clues, utaamua mwenyewe kama ni ukweli ama la, ma dokta walikataa kusaini death certificate ya Michael Jackson huyo mlizika2008. Baada ya vipimo kufanyika na limits siye yeye
Sio 2008 ni 2009 mamaa
 
Mkuu Nipo pamoja sana na hzi movements zenu "" pia nataka uelewe kwamba "" na mimi nitakuwa miongoni mwa wale wanaolisubiri jumba lenu litakalo jengwa hapa Tanzania kama kweli mnampango huo "" najua wazi kuhusu " uharamia na ujangili aliofanyiwa na anaoendelea kufanyiwa MTU mweusi ""... lakini kuhusu hilo la MJ kwamba alikuwa siye MJ halisi aliyekufa " 2009 ..kwakweli nitakuwa mtu wa mwisho duniani kuliamini hilo "".. hata hivyo hilp haliwezi kuwa sababu ya kunifanya niivue imani yangu kwenu ""... nitahesabu tu kwamba mliteleza ...maana hakuna ambaye nimkamilifu ""...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] MJ hardfanbase
 
Pole, hilo dogo, yako makubwa zaidi ya hayo yanaendelea kufanyika, ushahidi wa kuuliwa kwa michael bado tunaendelea kuuleta
Hamjaukusanya wote bado?...mbona familia yake ilifanya taratibu zote za mazishi?

Death certificate nilisikia haikusainiwa due to maelezo ya doctors kuwa kafa kwa cardiac arrest na matumizi ya profol na endomel pills while madai yao kauliwa !vile vile ishu ya kumpasua ubongo, yaan walimharibu haribu mwili wake hospitalin maza ake kamaind ndo chanzo cha kutosaini...
 
Mizimu,
ya Kiafrika ilishindwa kuhimili nguvu ya utandawazi na kupelekea kupotea siku hadi siku.
Mizimu
ilishindwa kuweka mamna ya ibada zao kwenye rekodi ya kimaandishi au sauti au picha ili kizazi kinachofuata kiweze kwenda nayo.
Ibada za mizimu
zilikuwa za kujifichaficha.
Ni watu wacheche walio chaguliwa kwenye jamii ndio walikuwa wanaenda polini peke yao kufanya ibada wengine walikuwa watazamaji wa matokeo tu.
Vijana na watoto walikuwa wakitengwa kwenye ibada za mizimu.
Mizimu
ilijitambulisha kwa kuogofya hivyo kupelekea wengine kuogopa kujihusisha nayo.
Baadhi ya maeneo mizimu ilikuwa ikitolewa sadaka za watu hivyo watu wengine waliamua kutoroka nyumbani kwao ili wasije wakaifikia zamu ya kutolewa kafala.
Mizimu
ilichangia sana katika kuifanya jamii zinazo iabudu kuwa masikini sana, sehemu nyigi kulikofanywa ibada za mizimu ziliambatana na umasikini uliokithiri.
Mizimu
ya kiafrika ilionekana haina nguvu ilipopambanishwa na mfano, na Mungu aliyeabudiwa na Wakristo.
Wamisionari kila walipoweka kambi palikuwa na msukumo mkubwa wa maendeleo matokeo tunayaona hadi hii leo.
Wamisionari walipoulizwa siri ya kufanya maendeleo walisema Mungu wanayemwabudu ndiye anaye wapa akili na nguvu ya kuendeo, na ananguvu kuliko mizimu yetu.
Baadhi ya wamisionari walibomoa vilinge vya kuabudia mizimu na mizimu haikuwadhuru tofauti na tulivyo aminishwa na waabudu mizimu kuwa ikibomoa kilinge chao utadhurika.
Mizimu
ilishindwa kujitetea iliposhambuliwa na wamisionari wa kigeni.
Ilikuja julikana pia kuwa wachawi waliroga watu wakisingizia ni adhabu za mizimu.
Mizimu ilikuwa inawahangaisha sana wanaoiabudu lakini ilileta matokeo hasi.
Wangoni na wahehe waliiomba sana mizimu ili iwasaidie vita dhidi ya wajerumani, ikawadanga kuwa watashida,
Kinjeketile Ngwale akadanganywa kuwa risasi ya mjerumani itageuka maji. Risasi haikugeuka maji, Jeshi la Wangoni likaangamia kizembe kabisa kwenye Vita ya Majimaji, mizimu akakaa kimya.
Mifano iko mingi sana ya udhahifu wa mizimu ya kiafrika.
hii ilipelekea Waafrika kiitupilia mbali mizimu ya mababu zao na kurithi ibada za Wageni.
Hit
Mizimu ya Kiafrika imejiangusha yenyewe baada ya kuonesha udhaifu mkubwa kwenye jamii zilizoiabudu.
Mizimu ikawa ndio chanzo cha matatizo mengi tu kwenye jimii za kiafrika.
Ndio maana jamii hizo zikaamua kuitupilia mbali.
Tumeitupilia mbali.
Truth be untold
 
Hamjaukusanya wote bado?...mbona familia yake ilifanya taratibu zote za mazishi?

Death certificate nilisikia haikusainiwa due to maelezo ya doctors kuwa kafa kwa cardiac arrest na matumizi ya profol na endomel pills while madai yao kauliwa !vile vile ishu ya kumpasua ubongo, yaan walimharibu haribu mwili wake hospitalin maza ake kamaind ndo chanzo cha kutosaini...
Fake Michael Jackson
 
Back
Top Bottom