witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Fake fake fake????[emoji15] [emoji15] [emoji15]Fake Michael Jackson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fake fake fake????[emoji15] [emoji15] [emoji15]Fake Michael Jackson
Prince gani sasa? Prince wako wengi uingereza na waliooa wako wengi!Prince wa uingereza kaoa binti gani?????
Angalia video clips zileNimesoma wote hakuna ulipoelezea zaidi ya "fake" tu
Mergan Markel na prince harryPrince gani sasa? Prince wako wengi uingereza na waliooa wako wengi!
Ok FettyAngalia video clips zile
Uzi nimeusoma vizuri sana fetty
Mkuu nimekufatilia kwa umakini sana na nimekuelewa vema hivi Daniel 11:41-45 hii kitu naomba unisaidie ufafanuzi wake..Karibu mkuu hearly hata wewe itapendeza sana kama utaupoke huu WOKOVU kutoka kwa YESU KRISTO ili ile siku atakapokuja tena duniani hata kama tutakuwa tumekufa, atatufufua na kutukaribisha katika Ufalme wa MUGNU wa milele. Huko tutakula raha ya milele isiyokuwa na mwisho, tutakula raha sana. Fahamu kwamba Ufalme huu utakuwa hapa hapa duniani na makao makuu yake yatakuwa Jerusalem na dunia yote itakuwa kama Paradiso, kama Bustani ya Eden!
Uiiache hii nafasi ikakupita, wakati ni sasa wa wewe kuchukua maamuzi magumu, wengi watakucheka na kukudharau sasa hivi lakini baadaye wewe ndiye utakayecheka na kufurahi(who laughs last, laughs longest). Maisha uliyopewa hapa duniani ni ili ujiandae kwa ajili ya Ufalme wa MUNGU unaokuja. Muda uliopewa ni mdogo sana, jiulize ni wangapi walikuwepo na leo hawapo?? Usiupoteze muda wako kwa vitu viharibikavyo. YESU KRISTO ndiyo jibu, kweli na njia ya uzima wa milele.
Hii kitu nashindwa kuelewa kabisa sijui watu hawana uelewa nayo au sijui ni kupuuza kwa vitu Israel hii ya leo siyo ile wanayoifikiria wao. Ila ndiyo hivyo jamaa wametuwahi tayari.Nenda ukaombewe unapepo mchafu, 1MORAL AND DOGM BY ALBERT PIKE.
2BALFOUR DECLARATION.
Nimekuelewa sanaa mkuu.. Uwa naishia kumshukuru Mungu ukichunguza kwa undani kabisaa hii system imetengenezwa siafiki kama Mungu mkuu ana upendeleo wote tuko Sawa kwakeSometimes hua naangalia hii system ya maisha tunayoishi wanadamu. Naona kuna kitu hakiendi sawa kabisa. Naamini katika Mungu na Yesu kristo lakini naona HUU MUUNDO WA MAISHA TUNAYOISHI WANADAMU WOTE TOKA KUZALIWA HADI KUFA ndio tunatakiwa tuishi hivi? Nadhani kunawatu walikaa chini wakaunda mfumo wotee huu tunaoishi leo kwa manufaa yao binafsi na Sio mpango wa Mungu. Nikifikiria hayo nakua desperated sana sana nawaza kuhusu ulimwengu unavyoendeshwa kwa siri huku adui mkubwa akiwa Black Man. Nabakia tu kumshukuru Mungu kwa kunileta duniani nione Ukuu wake. But real am so Sad kwa yanayoendelea nyuma ya Pazia.
Hii pia wengi hawaifahamu.. MkuuMuhammad kama asinge pewa power na Roma empire angekuwa wakawaida sana. Mud kazi yake yote aliyo fanya ilikuwa ni kwa maslayi ya Roma.
ha hahhaa yaani[emoji23] [emoji23] [emoji23] MJ hardfanbase
so "" umeshaelewa ....kiasi nimeanza kutafuta ukweli katika hilo aisee.. naanza kuhisi kuna namna Fulani Hivi na Janja JanjaUzi nimeusoma vizuri sana fetty
AsanteHii kitu nashindwa kuelewa kabisa sijui watu hawana uelewa nayo au sijui ni kupuuza kwa vitu Israel hii ya leo siyo ile wanayoifikiria wao. Ila ndiyo hivyo jamaa wametuwahi tayari.
Kuna kitu kinaitwa Jesuits mkuu hawa watu ni balaa, nadhani mipango yote ya dunia hii ipo mikononi mwao.Hii pia wengi hawaifahamu.. Mkuu
blackstarline unakuja vizuriKuna kitu kinaitwa Jesuits mkuu hawa watu ni balaa, nadhani mipango yote ya dunia hii ipo mikononi mwao.
Kinachoshangaza zaidi ambacho kinaniweka njia panda kuna baadhi ya vitabu havikujumuishwa katika hiyo biblia na kusemekana havina umuhimu kibaya zaidi tumeaminishwa vya uongo Ila kuna mtume amenukuu hapa huwa napata ukakasi kuna kitu kimefichwaNani kakuambia Biblia imeandikwa na MUNGU?
Biblia haijaandikwa na MUNGU kwa mkono wake, isipokuwa kilichoandikwa ni NENO la MUNGU. MUNGU aliongea na Manabii na akawaagiza waandike na wao wakaandika yale waliyoyasikia kutoka kwa MUNGU. Na vitabu vingine kwenye Biblia ni historia, lakini ni historia yenye kufundisha NENO la MUNGU. Biblia imegawanyika, kuna Unabii, historia, na INJILI.
Mengi yamefichwaKinachoshangaza zaidi ambacho kinaniweka njia panda kuna baadhi ya vitabu havikujumuishwa katika hiyo biblia na kusemekana havina umuhimu kibaya zaidi tumeaminishwa vya uongo Ila kuna mtume amenukuu hapa huwa napata ukakasi kuna kitu kimefichwa