Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Unitag
 
Mj ameniuma sana...nasubiria na mimi
 
Sio 2008 ni 2009 mamaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] MJ hardfanbase
 
Pole, hilo dogo, yako makubwa zaidi ya hayo yanaendelea kufanyika, ushahidi wa kuuliwa kwa michael bado tunaendelea kuuleta
Hamjaukusanya wote bado?...mbona familia yake ilifanya taratibu zote za mazishi?

Death certificate nilisikia haikusainiwa due to maelezo ya doctors kuwa kafa kwa cardiac arrest na matumizi ya profol na endomel pills while madai yao kauliwa !vile vile ishu ya kumpasua ubongo, yaan walimharibu haribu mwili wake hospitalin maza ake kamaind ndo chanzo cha kutosaini...
 
Truth be untold
 
Fake Michael Jackson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…