Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Yote ulioongea nakubaliana na wewe, ila kwenye hii kauli hapo juu. No sitaiga mababu zangu kutegemea mizimu! Ni sawa na kusema "unamkimbia polisi anakuonea namfuata magereza" Wakati vyote ni under the same roof.
Tuijue kweli nayo kweli itatuweka huru.
Tuko hapa kukupa maana, ya ukweli
 
Asante, kwa mchango wako, lakini kuelewa ni kitu kimoja,kuipata maana ni kingine kabisa, wa baguzi sio sisi, bali wabaguliwa ,unadhani uvivu wako wa kuhoji, na kutafiti unaweza kubatilisha takwimu??? Ama mafundisho ya dini bandia,kuepuka uhakiki?, Ni saa ya matanuri yawakayo moto, ni ukweli tu, ndio utapita salama, kuhusu kufanikiwa tunafanikiwa sana, sana move yetu sio ya kisiasa, na wala hatuhitaji kujithibitisha kwako, na mwisho wa siku Tunajua hata milango yote yagereza ikivunjwa, bado kunawatu, wataamua kubakia humo gerezani....
Vyovyote ni sawa Tu kama mizimu ilishindwa kuwa macho mpaka tunatekwa

Yaani mpaka leo bado tu imelala mimi ndio niwamshe alafu ndio nitegemee..!

Heri yake anayebaki gerezani.
 
Hivi kweli kuna haja ya kuamsha mizimu iliyolala ili ipate kutusaidia?
Yaani tumeshindwa kujisaidia mpaka tunaomba msaada kwa visivyojiweza! Ama kweli tumesoma lakini hatujaelimika, sisi wenyewe hatujui nini tunataka, hatujui nini tatizo letu, hatujui nini suluhisho la matatizo yetu, hatuthamini uwezo wetu tuliyokuwa nao, hatujiamini kabisa na hatujui nini lengo na kusudio la maendeleo yetu. Na hakuna wa kutusaidia isipokuwa ni sisi wenyewe. Imani ya dini haihusiani na maendeleo, kwani wahindi wanaabudu ng'ombe lakini wamepiga hatua kimaendeleo, wachina wanaabudu miungu yao nao wamepiga hatua, wazungu nao wengi wakristo nao wamepiga hatua, wayahudi nao wana imani zao nao wamepiga hatua, waarabu nao wengi ni waislamu wamepiga hatua, sisi waafrika ndiyo wenye matatizo, ikiwa hatuwezi kupiga hatua katika maendeleo ya uchumi na viwanda basi japokuwa tuweze kujitosheleza kwa chakula kutokana na ardhi kubwa na yenye rutuba tuliyonayo, hata hivyo utasikia baadhi ya nchi za Afrika zina ukame.
Na hivi bado kuna watu wanaofikiria mizimu kwenye karne hii sayansi na teknolojia?
 
Nyabingi Asante
karibu..ongezea na hivi kutoka kwa GRAND MASTER,DR.BEN YOSEF JOCHANNAN...my mentor
culturalgenocide__99514.1498160587.190.250.jpg


chronology001__84961.1498584200.190.250.jpg


africamother__63242.1498159753.190.250.jpg


blackmanofthenile__73278.1498160587.190.250.jpg


blackmansnorthandeast001__92773.1498233526.190.250.jpg


needforablackbible__45836.1498223263.190.250.jpg


wetheblackjews__21256.1498224568.190.250.jpg
 
Wewe huna imani na NENO la MUNGU ndiyo maana unaona kwa mstari huo YESU alidanganya. Sasa kwa taarifa yako YESU KRISTO hakudanganya wala hakusema uongo. Hii dunia ina mambo mengi sana usiyoyajua wewe. Hivi hebu nikuulize, unawajua watu wote wanaoishi katika hii dunia na historia zao?

Jibu ni rahisi sana hujui. Sasa fahamu kwamba NENO la MUNGU ni kweli na siyo uongo, hao watu aliosema BWANA YESU kuwa hawataonja mauti kamwe mpaka watakapomwona akija katika Ufalme wake ni kweli kabisa wapo na wanaishi. Amini usiamini. Kutokuwajua hao watu na kuwaona kwa macho haina maana kwamba hawapo. Mimi naamini hao watu wapo na wataendelea kuwepo mpaka ile siku MESSIAH atakapokuja kwenye Ufalme wake.
angalia mafundisho ya wazungu yalivyoharibu ubongo wako
wako wapi hao watu wenye miaka 2000...
wazungu wabaya sana
 
Labda nikueleze tu kile ninachofahamu kuhusu kitu kinaitwa mali_'kuwa nacho'

ivyo labda itakufanya ujue kwa nini niliuliza Vile

Mosi_hamna mwenye chake, ila tu kuna wajinga fulani wanaojichosha kukusanya wasivyoweza kutumia(hata kwetu wapo)

Labda hao ndio mnaowaita vyama vya siri_na mwisho wa kila kitu sidhani kama unaufahamu nao.

Pili_Ubwana na utumwa/uungwana na utwana_haujaanza leo na hautakwisha

Lofa lazima atawaliwe na Majanja_na si vibaya ni afya ya utaratibu wa mfumo wa maisha ya dunia.

Hata race yenu ikipata inachohitaji bado naamini kila kitu kitakuwa vile vile Tu.

Swali..Na nyie mnapata wapi iyo akili ya kuita wenzenu weupe na nyie weusi..!?

Mi nadhani nyie ni wabaguzi kuliko wao na dalili za ubaguzi mkali mnazionesha mapema sana_ Na ndio maana hamfanikiwi.
Sawa mzungu tumekuelewa
 
You have a point, najitahidi kufuatilia uzi wako kwa jicho la ziada...
 
Hao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.

YESU KRISTO pekee ndiyo jina tulilopewa na BWANA MUNGU ili tulitumainie na kutuokoa. Hata wewe nakuomba kuanzia leo anza kumtumainia YESU KRISTO na utaupokea uzima wa milele na hao "mapepo" unaowaita "mizimu" watakukimbia na utakuwa huru, tena utakuwa huru kweli kweli.
Wewe hebu fuatilia hata huyo Yesu ni black, sijui unaamini Yesu yupi?
Yule wa movie au wa roma?
 
Back
Top Bottom