Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Miundo mbinu bado, magufuli anakwenda vizuri, reli, Barbara ziongezeke,lakini zaidi sana shule bora na makitaba, pia makazi bora, nyumba Za umma kwa bei nafuu, kuw akwamua walio wengi, badala ya ujenzi holela, city plan,naramani Za miji ni muhimu, angalia makazi mabovu kwa weus i mfano mtogole na kwa mnyamani, lakini weupe, wazungu waarabu na wahindi wanaishi kwenye nyumba bora mbezi beach, msasani ni ubaguzi wa kiwaziwazi, na waswahili, tunachukiana, kudharauliana Sisi kwa sisi na hali ya mswahili iko hivi duniani kote, sio bahati mbaya, ni makusudi

Utaaribu uzi wako kuleta mambo ya jiwe humu. Bora ufungiwe uzi huu
 
Niko nje ya lakini naomba kuchangia japo kidogo....
Nilibahatika kwenda shule na sikuwa na ndoto za kufanya kazi sababu niliona maisha ya kufanya kazi ni utumwa wa kiwango cha juu, nilipomaliza chuo sikurudi nyumbani niliamua kuanza maisha tofauti yasiyoamini katika hii elimu ya mkoloni...
Nikiwa mkoa fulani nilikutana na maajabu ambayo nimekumbuka baada ya kusoma hii mada
Mzungu alikuja na kudhulumu ardhi ya wenyeji wanyantuzu kaka zangu wakaungana na kusema labda sio sisi,, wakakubali kuondoka na wakajiapiza labda sio sisi mzungu akafunga mitambo yake akaja na wataalamu akafunga mitambo yake akaanza kazi kufikia mkanda wa dhahabu badala zitoke dhahabu wakawa wanatoka nyoka wadogo wadogo...
Wale wanyantunzu walienda kulilia mizimu huwezi amini mzungu aliondoka bila kuaga na mitambo aliacha na yule afisa madini alietoa kibali alijinyonga na mpka leo hii ndio sehemu pekee wazawa wanauziana visehemu na huwezi sikia mzungu ananunua eneo hilo....
Naamini mizimu tukiitumia inatusaidia.
Nimeshare tu japo niko nje mada
 
Niko nje ya lakini naomba kuchangia japo kidogo....
Nilibahatika kwenda shule na sikuwa na ndoto za kufanya kazi sababu niliona maisha ya kufanya kazi ni utumwa wa kiwango cha juu, nilipomaliza chuo sikurudi nyumbani niliamua kuanza maisha tofauti yasiyoamini katika hii elimu ya mkoloni...
Nikiwa mkoa fulani nilikutana na maajabu ambayo nimekumbuka baada ya kusoma hii mada
Mzungu alikuja na kudhulumu ardhi ya wenyeji wanyantuzu kaka zangu wakaungana na kusema labda sio sisi,, wakakubali kuondoka na wakajiapiza labda sio sisi mzungu akafunga mitambo yake akaja na wataalamu akafunga mitambo yake akaanza kazi kufikia mkanda wa dhahabu badala zitoke dhahabu wakawa wanatoka nyoka wadogo wadogo...
Wale wanyantunzu walienda kulilia mizimu huwezi amini mzungu aliondoka bila kuaga na mitambo aliacha na yule afisa madini alietoa kibali alijinyonga na mpka leo hii ndio sehemu pekee wazawa wanauziana visehemu na huwezi sikia mzungu ananunua eneo hilo....
Naamini mizimu tukiitumia inatusaidia.
Nimeshare tu japo niko nje mada
Bora ukawe mtabili.
 
Niko nje ya lakini naomba kuchangia japo kidogo....
Nilibahatika kwenda shule na sikuwa na ndoto za kufanya kazi sababu niliona maisha ya kufanya kazi ni utumwa wa kiwango cha juu, nilipomaliza chuo sikurudi nyumbani niliamua kuanza maisha tofauti yasiyoamini katika hii elimu ya mkoloni...
Nikiwa mkoa fulani nilikutana na maajabu ambayo nimekumbuka baada ya kusoma hii mada
Mzungu alikuja na kudhulumu ardhi ya wenyeji wanyantuzu kaka zangu wakaungana na kusema labda sio sisi,, wakakubali kuondoka na wakajiapiza labda sio sisi mzungu akafunga mitambo yake akaja na wataalamu akafunga mitambo yake akaanza kazi kufikia mkanda wa dhahabu badala zitoke dhahabu wakawa wanatoka nyoka wadogo wadogo...
Wale wanyantunzu walienda kulilia mizimu huwezi amini mzungu aliondoka bila kuaga na mitambo aliacha na yule afisa madini alietoa kibali alijinyonga na mpka leo hii ndio sehemu pekee wazawa wanauziana visehemu na huwezi sikia mzungu ananunua eneo hilo....
Naamini mizimu tukiitumia inatusaidia.
Nimeshare tu japo niko nje mada
Asante sana dada
simulizi Za miujiza ziko nyingiiii
 
Africa Migrants Hand World Cup 2018 to France — Football Fans
July 15, 2


— French/African players and their origin.
— African fans are divided over the French player line-up.

The team is made up almost entirely of players of African descent, and fans have made their sentiments clear on social media. On the one hand, those who can be considered Pan-Africanists seem displeased by the fact that African players chose the French national team over their countries of origin.

They believe these players should have brought these talents to their various national squads to improve the quality of African football and maybe give Africans hope of one day lifting the World Cup trophy.


Social media comments like “So France imports everything including players … meaning finally France Na new Africa now,” came from Chunka on Facebook. Others like Wolloman wrote “France is Africa United”.

But many fans are simply happy that “African” compatriots are proving themselves in the world showpiece. “Go les Bleus” was their attitude. Pheliswa Somciza-Zibi on Facebook said, “The French our people”, and Gcobisa Baliso added: “Mabamele icontinent nangoku apho bakhoyo”, translated as they are representing the continent.

Also Read: Latest Football News Content Across Europe


Presnel Kimpembe was born on the August 13, 1995, has a Congolese father and plays as a defender for Paris Saint-Germain and the French national team.

Samuel Umtiti born November 14, 1993 in Yaounde Cameroon plays as a centre-back for Spanish club Barcelona and the French national team.

Paul Pogba was born in Lagny-sur-Marne France to migrant parents from Guinea and plies his trade with English giants Manchester United.

Kylian Mbappé Lottin born on December 20, 1998 in Bondy France of a Cameroonian father and an Algerian mother, plays for Paris Saint-Germain F.C in France and is a forward for the French national team.

Also Read: Olivier Giroud transfer rumours: Arsenal striker rules out Turkey & China -- Agent confirms
Thomas Lemar plays for Monaco and the French national team. Born on the November 12, 1995 in Baie-Mahault, Guadeloupe, of a Nigerian father and a Guadeloupian mother.



Corentin Tolisso born on August 3, 1994 plays for Bayern Munich and the French national team and could have represented the Togolese national team.

N’Golo Kanté is a defensive midfielder for English club Chelsea and the French national team, and is of Malian origin.

Blaise Matuidi plays for Juventus and the French national team as a central midfielder and has a Congolese mother and an Angolan father.

Steven N’Kemboanza Mike Nzonzi plays as a defensive midfielder for Spanish club Sevilla and the French national team and has a Congolese heritage.

Steve Mandanda Mpidi, Marseille and the French national team goalkeeper was born on the March 28, 1985 in Kinshasa, DR Congo.

Also Read: Europa League: Alexis Sanchez equals Kanu Nwankwo’s record at Arsenal
Adil Rami plays as a central defender for French club Marseille and the French national team. He was born on the December 27, 1985 in Bastia, France of Algerian parents and is engaged to actress Pamela Anderson.

Ousmane Dembélé born on May 15, 1997 in Venom France of Senegalese and Mauritanian parents, plays his football at FC Barcelona.

Nabil Fekir plays attacking midfield for French side Lyon and is of Algerian origin.

Djibril Sidibé plays full back for Monaco and the National team. Born on the July 29,1992 Troyes, France, he has Malian roots.

Benjamin Mendy plays as left back for Premier League club Manchester City and the French national team. Born July 17,1994 in Longjumeau, France, he holds Senegalese nationality
 
Mizimu,
ya Kiafrika ilishindwa kuhimili nguvu ya utandawazi na kupelekea kupotea siku hadi siku.
Mizimu
ilishindwa kuweka mamna ya ibada zao kwenye rekodi ya kimaandishi au sauti au picha ili kizazi kinachofuata kiweze kwenda nayo.
Ibada za mizimu
zilikuwa za kujifichaficha.
Ni watu wacheche walio chaguliwa kwenye jamii ndio walikuwa wanaenda polini peke yao kufanya ibada wengine walikuwa watazamaji wa matokeo tu.
Vijana na watoto walikuwa wakitengwa kwenye ibada za mizimu.
Mizimu
ilijitambulisha kwa kuogofya hivyo kupelekea wengine kuogopa kujihusisha nayo.
Baadhi ya maeneo mizimu ilikuwa ikitolewa sadaka za watu hivyo watu wengine waliamua kutoroka nyumbani kwao ili wasije wakaifikia zamu ya kutolewa kafala.
Mizimu
ilichangia sana katika kuifanya jamii zinazo iabudu kuwa masikini sana, sehemu nyigi kulikofanywa ibada za mizimu ziliambatana na umasikini uliokithiri.
Mizimu
ya kiafrika ilionekana haina nguvu ilipopambanishwa na mfano, na Mungu aliyeabudiwa na Wakristo.
Wamisionari kila walipoweka kambi palikuwa na msukumo mkubwa wa maendeleo matokeo tunayaona hadi hii leo.
Wamisionari walipoulizwa siri ya kufanya maendeleo walisema Mungu wanayemwabudu ndiye anaye wapa akili na nguvu ya kuendeo, na ananguvu kuliko mizimu yetu.
Baadhi ya wamisionari walibomoa vilinge vya kuabudia mizimu na mizimu haikuwadhuru tofauti na tulivyo aminishwa na waabudu mizimu kuwa ikibomoa kilinge chao utadhurika.
Mizimu
ilishindwa kujitetea iliposhambuliwa na wamisionari wa kigeni.
Ilikuja julikana pia kuwa wachawi waliroga watu wakisingizia ni adhabu za mizimu.
Mizimu ilikuwa inawahangaisha sana wanaoiabudu lakini ilileta matokeo hasi.
Wangoni na wahehe waliiomba sana mizimu ili iwasaidie vita dhidi ya wajerumani, ikawadanga kuwa watashida,
Kinjeketile Ngwale akadanganywa kuwa risasi ya mjerumani itageuka maji. Risasi haikugeuka maji, Jeshi la Wangoni likaangamia kizembe kabisa kwenye Vita ya Majimaji, mizimu akakaa kimya.
Mifano iko mingi sana ya udhahifu wa mizimu ya kiafrika.
hii ilipelekea Waafrika kiitupilia mbali mizimu ya mababu zao na kurithi ibada za Wageni.
Hit
Mizimu ya Kiafrika imejiangusha yenyewe baada ya kuonesha udhaifu mkubwa kwenye jamii zilizoiabudu.
Mizimu ikawa ndio chanzo cha matatizo mengi tu kwenye jimii za kiafrika.
Ndio maana jamii hizo zikaamua kuitupilia mbali.
Tumeitupilia mbali.
 
Back
Top Bottom