Tuweke ya Tundu Lisu na Lema!
Naunga mkono hoja, kuna majina mengi tu ya Watanzania wanaopigania HAKI za Binadamu Tundu Lissu, Sheikh Ponda,Askofu Mwamakula,Mashekhe wa Uamsho ni Watanzania waliojitolea sana na Huu ni wakati muafaka kuwaenzi.
Maria Sarungi Tsehai
Daraja la Mfugale lingeitwa Daraja la Mashekhe wa Uamsho au hata Maria Sarungi Tsehai Bridge
Hakuna haja ya kubadilisha.ila jengeni mengine myaite na majina yenu .kinawauma nini .au Engineer, eti walilipwa mshahara. Vip Baba wa taifa JNK Hakuwa ana liwa.pumbu izo jengeni mengine vibaraka nyinyi
Hapa kwetu Majukum ya serikali yanachukuliwa Kama ridhaa au mapenz ya mtu binafsi na ukoo wake,,,,full Stop!
Kama siyo productive unafikiri kwanini mnaye mwabudu alikurupuka kutoa majina? Secondly angalia hoja imepata likes ngapi na imechangiwa posts ngapi?Kama hii hoja ni great thinking basi Tanzania ina long way to go, discussing unproductive issues personally na kama nchi na ujiite great thinker ni aibu
Wewe ulijaaliwa akili ya kuvukia barabara. Haya nenda kawapikie waajiri wakoUkiacha Utoto na kukua hata miaka 2 tu. Ufike 18. utapata mada za maana. Afu ndo mnalalamika bundle huko Tz kwa upuuzi kama huu. Sasa hapa TZ Itaendeleaje kwa watu wajinga kama wewe. Majina hayo wewe yatakusaidia ninl. Do you have their files. Unawajua kwa undani.
Wachapa kazi wanalipwa mshahara ndiyo haki yaoWewe unaita Siri Wenzako walikuwa wachapa Kazi na sio wanafiki. Jenga choo mtaani kwako. Utachagua jina lako. Zaa mwanao umpe jina lako. Nunua bajaji nyuma andika LISSU
Hao si viongozi wa kitaifa ni watumishi serikalini.Viongozi wa kitaifa majina yao yakiitwa kwenye miradi mikubwa mnanung'unika. Ila hayo majina ya kiingereza ya 'interchange' sijui overhead ndio mnayoyataka!! Hivi wenzetu ni maharage gani mnatumia? Mbona mnaonekana ni wazito wa akili?
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Mbona hili JPM aliishalimaliza hilo? Alisema kwamba, yeye ameyaita hivyo kwa mamlaka aliyokuwa nayo. Ikitokea Rais mwingine akaja na akaamua kuyabadilisha, sawa. Kwahiyo, wewe endeleza ushawishi, JPM aliishamaliza mwendo wake!Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Hakukuwa na sababu ya kutoa majina hayo kwenye vitu vya umma ambavyo wao walikuwa watumishi tu ule ulikuwa ni ulimbukeni tu na ushamba wa magufuli hao hawakuwa na hadhi yeyote ya majina yao kutumika huko.Kwa nini unawachukia hivyo, wamekukosea nini?
Basi hata Tanzania iitwe NyerereKwa kweli yabadilishwe tu majina. Tuna mashujaa wengi tu wa nchi, ingekuwa busara tuwaenzi hao kuliko hawa marafiki wa bwana fulani.