Mkuu hapo tafuta fundi
Inawezekana dishi kuyumba au lnb mbovu
Poa! Kaka takucheck kwa phone.mpeg 2 mkubwa ila ile ku nimekitoa kile kimfuniko chake cheupe alaf c band nimeitoboa kwa juu baada ya hapo nikaipachika ile ku juu kile kitobo cha c band
Hizo zipo ata kwenye mpeg2 pandisha sigino
Kama una mpeg 4
Zuku weka fk
11105h45000
11605h45000
mkuu unipe matokeo
Mtoa post samahani naomba kujua kama Liverpool tv bado inapatikana kwenye degree 72 E
Toka Burton sat shop.
Mkuu hizo freq za Zuku inafunguka ile ya zuku zone tu ya matangazo.
Sawa! Vipi? Ipo degree gani? Na je? Inaonesha au imefungwaMkuu ni 76.5e imehamiswa
Sawa! Vipi? Ipo degree gani? Na je? Inaonesha au imefungwa
Toka Burton sat shop.
samahani nakuomba uanze mwanzo kusoma
samahani nakuomba uanze mwanzo kusoma
Mkuu hiyo lnb unaiwekea ile dilectric au unaiacha kama ile ya aljeezra
kaka mi kiasi nafaham,utafanyaje hasa pale unapofunga lnb zaid ya nne?maana najua switch ina ports 4 tu kaka
...vipi wadau nilipata kitu hiki toka kwa Rafiki yangu je kitakidhi Haja
Hizo zipo ata kwenye mpeg2 pandisha sigino
Kama una mpeg 4
Zuku weka fk
11105h45000
11605h45000
mkuu unipe matokeo