Asante sana Nyondoloja,nilipandisha signal nikapata K24 signal zaidi ya asilimia 70,Sayare nimepata ila inascratch sana,WBS sikupata kabisa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Asante sana Nyondoloja,nilipandisha signal nikapata K24 signal zaidi ya asilimia 70,Sayare nimepata ila inascratch sana,WBS sikupata kabisa tatizo linaweza kuwa ni nini?
ndugu kibukila wbs haipo siku nyingi waliitoa.
umetupa darasa la kutosha watu kama ninyi ndo mnaotakiwa msome kwa wingi ili wengi wafaidike na elimu yenu.
mkuu jf imenifaidisha sana ukiijuwa jf uchoyo unaisha
Kaka fundi wakufunga dish naomba unibipu kwa namba hii
+255719080875
Kaka fundi wakufunga dish naomba unibipu kwa namba hii
+255719080875
0658650073
mkuu mimi nipo Tunduma, ninampango wa kufunga dishi ila sijui ninunue ungo na dekoda ya aina gani ambayo naweza kufurahia zaidi.!
Nitafute
mkuu mii nipo tunduma dishi unayoiona ni futi 6 kuhusu charge tunaongea
Mkuu DSTV sio FTA kama unaujanja wa kuchakachuwa ni wewe nimeona watu wengi wanajaza dishi nyumbani kwao mfano ZUKU,DSTV,ITV inatakiwa uwe na dishi3 kwasasa ni dishi1. Fut6
kuhusu disc kunanjia 8 receiver nyingi za kisasa zinasapot MPEG2 zakizamani zinagoma.kamauna
receiver yako haisapot disc ya njia8 weka zanjia4. 2 unatowa waya 2 kwenda ndani kazi
nikuhamisha waya.
picha za FTA zipo 8 kama receiver ni MPEG4 unapata10 za DSTV , ZAP ni zaidi ya 300 zinaitaji malipo
Ofisi yako ipo maeneo gani mkuu.!