Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mie huwa nawashangaa watumishi wanaokatwa huko kwenye vyama vya wafanyakazi,sijui huwa wanatumia kwa kutumia akili.tucta awana meno siku hizi wanakula makato yenu tuu watumishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie huwa nawashangaa watumishi wanaokatwa huko kwenye vyama vya wafanyakazi,sijui huwa wanatumia kwa kutumia akili.tucta awana meno siku hizi wanakula makato yenu tuu watumishi
CHADEMA kosa lao ni nini!!?Chadema aibu yenu hii,Huwa mnakurupuka na kudandia Kila tukio 😁😁
Kuropoka bila kuchunguzaCHADEMA kosa lao ni nini!!?
Siyo kwamba kuropoka kwao ndo kumesaidia?Kuropoka bila kuchunguza
Toa upuuzi wako hapa, Serikali iliahidi kulipa na kwenye Bajeti pesa zipo Sasa Chadema inahusikaje?Siyo kwamba kuropoka kwao ndo kumesaidia?
CHADEMA imeisukuma Serikali kuaahidi na kuishi ahadi yakeToa upuuzi wako hapa, Serikali iliahidi kulipa na kwenye Bajeti pesa zipo Sasa Chadema inahusikaje?
Hizi akili ndo zilimfanya yule kifutu auze bandari kwa DP World!Chadema aibu yenu hii,Huwa mnakurupuka na kudandia Kila tukio 😁😁
Wamesemaje ?Barua ndio hii ngoja tusubiri!
Ingawa naona dalili za mkutano kuahirishwa au ukiwepo hautakuwa na tija..
Tunajua kabisa tucta ndio serikali yenyewe
View attachment 2699429