Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani gwanda lina shida?Huyu si kuna muda alikuwa anavaa gwanda? Wakati yupo Kisarawe
Mavazi sio kichwa, acha mtoto mzuri apendeze, huna bint, au dada mzuri nn mkuu?sasahuyo sehem yenyeshida ataitambua kweli au macho juujuutu anatia Saini anasepa.
mana naona ubishoo mwingi hapo
hapana.wee unae mkuu😋Mavazi sio kichwa, acha mtoto mzuri apendeze, huna bint, au dada mzuri nn mkuu?
Jokate ana uvaaji gani mbaya, mkuu tofautisha uvaaji mbaya na kupendeza, huyo mtoto hajawai vaa vibaya huwa anapendeza tu, kama shida yako ni kupendeza hapo sawa.Umefuatulia uvaaji wake kwenye baadhi ya events?
Inawezekana hiyo mbonaSoon utasikia mwijakuau baba levo ameteuliwa kuwa msemaji wa serikali
hapana.wee unae mkuu
namkubali mlimbwende ila hakuwa mgumu kiasi cha kumsifia pricebreaker, kwanza ashukuru mtu kutangulia wala hasingempata.Sijali kuhusu mambo yenu ya Kisiasa ila wacha tumpe hongera Mr PriceBreaker.
Kwa kweli ametuheshimisha kumu-win huyo mlimbwende
Mzee punguza kukagua watu. Tunahtaji watu Smart sio wavaaji Smart
Kumbe alikuwa maharage ya Mbeyanamkubali mlimbwende ila hakuwa mgumu kiasi cha kumsifia pricebreaker, kwanza ashukuru mtu kutangulia wala hasingempata.
wengi tu ndo maana nikasema hakuwa mgumu kiasi cha pricebreaker kusifiwa. hata domo alishakula.Kumbe alikuwa maharage ya Mbeya
Unadhani hakuna waliyofanikiwa kumkula kabla ya Mzee kutangulia?
nchi hii imefedheheshwa sana!
Watoto wa vigogo wanakula Nchi
Hahahaa.... eti Price- disintegratorwengi tu ndo maana nikasema hakuwa mgumu kiasi cha pricebreaker kusifiwa. hata domo alishakula.
unadhani asingetangulia pricebreaker angethubutu kutia mguu kwa mlimbwende? thubutu, angepotezwa mazima.