Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Kwahiyo nikienda mchezoni na lile kopo kubwa la lita 1.5 la Kilimanjaro litanisaidia sana!!

Vipi yawe baridi au yakawaida hayo maji mkuu??
Mi natumia 1.5 ya kawaida sio ya baridi.
 

dah! tuwe tunapeana update za mapambano na hili janga mkuu
 
Ndugu hapo ndo kila siku nawaza mpaka nalia nakosea au nakwama wapi mimi.. Yan najitahidi kuwa normal ninapokua faragha lakini wapi sijui nina nini mzee wangu..
Wewe huna tatizo lolote...tatizo lipo akilini kwako
 

Mkuu mim pia natatizo kama lako nanimempata daktar flani yuko dar nkaongea nae kwakirefu na kumuonyesha vipimo nlikopita ila akanambiia misuli yngu itakua haipitishi damu vizur na itakua imesinyaa ambako hiki kitu nikama namm nimekihisi itakua kweli

maana kote nlikopita kwa madaktar hakuna aliewahi nambia hiko kitu zaid yakunipima nakunambia niko sawa ila huyu daktar nliempata sasa hivi naona kama yuko tofauti nawengne yaye naona kagundua kitu nachokihisi nakanambia itabid nifunge safar hadi Dar yeye mwenyewe anipeme kila kitu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
tangazo lako ni zuri wasubiri wana kuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya utafiti juu ya hili vumbi la Congo, utakuta kuwa inawezekana kabisa humo wanachanganya na madawa ya kulevya hasa cocaine!! Huwa hawasemi contents zake hivyo nisingeshauri kulitumia kwani most likely ni addictive; ukishazoea huwezi kacha utakuwa umenasa kama teja!!! Tumia vitu vya asili kama ulivyoshauliwa hapo juu.
 

Mkuu nami pia ni hivo hivo ila mim nkimmuandaa mke mda mrefu uume inalala nani nikitachelewa au nkiingiza uume nkipampu tu dk3 inalala haisimami tena hadi kesho


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu, kwa ushauri huo.
 

Zoezi la kuchelewa kukojoa ni milking, unaikamua mboo kama anavyokamuliwa ngombe maziwa!

Kama upo friendly na mkeo awe anakufanyia hilo zoezi kila asubuhi na jioni tumia mafuta ya nyonyo ndiyo mazuri! Awe anaivutavuta kama anataka kuing'oa na anabana damu ijae kwenye kichwa (taratibu siyo mpaka usikie maumivu). Baada ya wiki tu utakuja kunipa report!

Pili, hilo ni tatizo la saikolojia! Mkeo yaelekea anajificha ficha sana! Kabla ya show, muachie uume acheze nao sana, ukizoea kuna muhemko fulani utaondoka na utaona unaweza kukaa dakika kadhaa tendoni!

Ukiwa unapiga show, sababu ya muhemko wako usiangalie dushe linavyochakata uke! Maana akili yako imejiweka kwamba dushe likiingia kwa k kinachofuata ni kukojoa! Angalia kwingine piga show kama kawa, Utagundua unachukua muda zaidi na hapo fikra zitaanza kubadilika kwamba dushe likiingia kwa k kwanza ni kuchakata then kukojoa baadae!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…