Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Kwahiyo nikienda mchezoni na lile kopo kubwa la lita 1.5 la Kilimanjaro litanisaidia sana!!

Vipi yawe baridi au yakawaida hayo maji mkuu??
Mi natumia 1.5 ya kawaida sio ya baridi.
 
Nikweli kabisa mkuu mimi nadhani watu hawafikirii adha na kejeli tunazokutana nazo kwa hawa wake zetu..
Just imagine umeoa then tangu uoe mwanamke hajawahi kufurahia mchezo unafikiri aibu gani unapata..

Mimi tayari nishapewa notifications yani nakiri kweli mke wangu ni mvumilivu lakini hata mimi naona kabisa amechoka yani ninapoelekea bora niwe mfuasi wa hii kitu tu..

dah! tuwe tunapeana update za mapambano na hili janga mkuu
 
mkuu unapaka kwa kiwango gani?
Unabeba hivo tu mara moja[emoji116]
JPEG_20200513_121802_923322763.jpg




"Not everything is for everybody"
 
Ndugu hapo ndo kila siku nawaza mpaka nalia nakosea au nakwama wapi mimi.. Yan najitahidi kuwa normal ninapokua faragha lakini wapi sijui nina nini mzee wangu..
Wewe huna tatizo lolote...tatizo lipo akilini kwako
 
Kama weight squat ni ile ya kuchuchumaa na kuinuka, basi nimefanya sana ndugu yangu yani lakini hakuna matokeo mazuri..

Hiyo front squat ungenambia ikoje na hiyo lunge labda huenda zikawa na msaada..

Ila hali ni mbaya ndugu yangu muda wowote nakimbiwa..

Mkuu mim pia natatizo kama lako nanimempata daktar flani yuko dar nkaongea nae kwakirefu na kumuonyesha vipimo nlikopita ila akanambiia misuli yngu itakua haipitishi damu vizur na itakua imesinyaa ambako hiki kitu nikama namm nimekihisi itakua kweli

maana kote nlikopita kwa madaktar hakuna aliewahi nambia hiko kitu zaid yakunipima nakunambia niko sawa ila huyu daktar nliempata sasa hivi naona kama yuko tofauti nawengne yaye naona kagundua kitu nachokihisi nakanambia itabid nifunge safar hadi Dar yeye mwenyewe anipeme kila kitu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetumia vumbi mara ya kwanza mwaka huu. Nilitoka zangu ghetto jamaa akanipa niimalizie baada ya kujua naenda kukutana na manzi. Nikatumia lakini sikuambulia utamu wowote wala sikumwaga, nikajilaumu tu.

Niliporudi nikamwambia akadai nimekosea, nikapewa siku nyingine nikatumie kule nikakutana na dada mmoja anayajua kinoma.

Hapo nilitumia kidogo sana lakini bado sensitivity ya kichwa cha uume inafifia, bila sensitivity kamili utamu unapungua. Lakini alinipa bj ndo ilikuwa ya viwango vya SGR. Pia sikumwaga.

Hata hivyo tatizo la kuchelewa kumwaga ni la muda, hata kabla sijalijua vumbi.
Mapenzi si vita hayo mavumbi situmii tena.
tangazo lako ni zuri wasubiri wana kuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya utafiti juu ya hili vumbi la Congo, utakuta kuwa inawezekana kabisa humo wanachanganya na madawa ya kulevya hasa cocaine!! Huwa hawasemi contents zake hivyo nisingeshauri kulitumia kwani most likely ni addictive; ukishazoea huwezi kacha utakuwa umenasa kama teja!!! Tumia vitu vya asili kama ulivyoshauliwa hapo juu.
 
Hospitali bado, nimekua nikifuata ushauri tu wa mitaani. Ila nahitaji kwenda kwa wazee niwaeleze ukweli naweza kupata msaada kabla kufika huko..

Maana mimi nasimamisha vizuri tu na naweza kumuandaa mke wangu hata masaa mawili mashine inasimama tu..

Ila sasa nikiingiza tu dahh hapo sijui kinatokea nini yani dakika 3 nyingi nishabwaga

Mkuu nami pia ni hivo hivo ila mim nkimmuandaa mke mda mrefu uume inalala nani nikitachelewa au nkiingiza uume nkipampu tu dk3 inalala haisimami tena hadi kesho


Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Bwana Misitu na wewe hapa.
Nadhani vumbi si salama maana nilisikia kama moto unawaka kwenye kichwa cha ***. Nilikaa masaa kadhaa nikiwa sihisi usawa. Pia inasababisha damu isiende sana wakati wa matumizi maana kadri ya unavosisimka ndivyo damu inajaa, kwahiyo kama kuna ganzi hupati msisimko uleule na hivyo utachelewa tu...
Asante sana mkuu, kwa ushauri huo.
 
Kama weight squat ni ile ya kuchuchumaa na kuinuka,basi nimefanya sana ndugu yangu yani lakini hakuna matokeo mazuri..

Hiyo front squat ungenambia ikoje na hiyo lunge labda huenda zikawa na msaada..

Ila hali ni mbaya ndugu yangu muda wowote nakimbiwa..

Zoezi la kuchelewa kukojoa ni milking, unaikamua mboo kama anavyokamuliwa ngombe maziwa!

Kama upo friendly na mkeo awe anakufanyia hilo zoezi kila asubuhi na jioni tumia mafuta ya nyonyo ndiyo mazuri! Awe anaivutavuta kama anataka kuing'oa na anabana damu ijae kwenye kichwa (taratibu siyo mpaka usikie maumivu). Baada ya wiki tu utakuja kunipa report!

Pili, hilo ni tatizo la saikolojia! Mkeo yaelekea anajificha ficha sana! Kabla ya show, muachie uume acheze nao sana, ukizoea kuna muhemko fulani utaondoka na utaona unaweza kukaa dakika kadhaa tendoni!

Ukiwa unapiga show, sababu ya muhemko wako usiangalie dushe linavyochakata uke! Maana akili yako imejiweka kwamba dushe likiingia kwa k kinachofuata ni kukojoa! Angalia kwingine piga show kama kawa, Utagundua unachukua muda zaidi na hapo fikra zitaanza kubadilika kwamba dushe likiingia kwa k kwanza ni kuchakata then kukojoa baadae!
 
Back
Top Bottom