T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mi natumia 1.5 ya kawaida sio ya baridi.Kwahiyo nikienda mchezoni na lile kopo kubwa la lita 1.5 la Kilimanjaro litanisaidia sana!!
Vipi yawe baridi au yakawaida hayo maji mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi natumia 1.5 ya kawaida sio ya baridi.Kwahiyo nikienda mchezoni na lile kopo kubwa la lita 1.5 la Kilimanjaro litanisaidia sana!!
Vipi yawe baridi au yakawaida hayo maji mkuu??
Nikweli kabisa mkuu mimi nadhani watu hawafikirii adha na kejeli tunazokutana nazo kwa hawa wake zetu..
Just imagine umeoa then tangu uoe mwanamke hajawahi kufurahia mchezo unafikiri aibu gani unapata..
Mimi tayari nishapewa notifications yani nakiri kweli mke wangu ni mvumilivu lakini hata mimi naona kabisa amechoka yani ninapoelekea bora niwe mfuasi wa hii kitu tu..
Unabeba hivo tu mara moja[emoji116]mkuu unapaka kwa kiwango gani?
Wewe huna tatizo lolote...tatizo lipo akilini kwako
Kama weight squat ni ile ya kuchuchumaa na kuinuka, basi nimefanya sana ndugu yangu yani lakini hakuna matokeo mazuri..
Hiyo front squat ungenambia ikoje na hiyo lunge labda huenda zikawa na msaada..
Ila hali ni mbaya ndugu yangu muda wowote nakimbiwa..
Hakijanikuta nini..?hana tatizo kweli na ni mzima kabisa but tatizo kalitengeneza mwenyewe akilini kwake.Hayajakukuta mkuu
Mwaka wa 4 huu kiongozi.. Wewe je??
Asante kiongozi. Je huwa inatumikaje ni kwa kunywa, kupaka au unajifukiza sheikh wangu..Elfu tatu maduka ya dawa ya asili. Mimi uwa nachukua kariakoo
Ukifika mwambie nataka black cobra.
Ni nzuri View attachment 1448869
Sent using Jamii Forums mobile app
tangazo lako ni zuri wasubiri wana kujaNimetumia vumbi mara ya kwanza mwaka huu. Nilitoka zangu ghetto jamaa akanipa niimalizie baada ya kujua naenda kukutana na manzi. Nikatumia lakini sikuambulia utamu wowote wala sikumwaga, nikajilaumu tu.
Niliporudi nikamwambia akadai nimekosea, nikapewa siku nyingine nikatumie kule nikakutana na dada mmoja anayajua kinoma.
Hapo nilitumia kidogo sana lakini bado sensitivity ya kichwa cha uume inafifia, bila sensitivity kamili utamu unapungua. Lakini alinipa bj ndo ilikuwa ya viwango vya SGR. Pia sikumwaga.
Hata hivyo tatizo la kuchelewa kumwaga ni la muda, hata kabla sijalijua vumbi.
Mapenzi si vita hayo mavumbi situmii tena.
Hospitali bado, nimekua nikifuata ushauri tu wa mitaani. Ila nahitaji kwenda kwa wazee niwaeleze ukweli naweza kupata msaada kabla kufika huko..
Maana mimi nasimamisha vizuri tu na naweza kumuandaa mke wangu hata masaa mawili mashine inasimama tu..
Ila sasa nikiingiza tu dahh hapo sijui kinatokea nini yani dakika 3 nyingi nishabwaga
Asante sana mkuu, kwa ushauri huo.@Bwana Misitu na wewe hapa.
Nadhani vumbi si salama maana nilisikia kama moto unawaka kwenye kichwa cha ***. Nilikaa masaa kadhaa nikiwa sihisi usawa. Pia inasababisha damu isiende sana wakati wa matumizi maana kadri ya unavosisimka ndivyo damu inajaa, kwahiyo kama kuna ganzi hupati msisimko uleule na hivyo utachelewa tu...
Kama weight squat ni ile ya kuchuchumaa na kuinuka,basi nimefanya sana ndugu yangu yani lakini hakuna matokeo mazuri..
Hiyo front squat ungenambia ikoje na hiyo lunge labda huenda zikawa na msaada..
Ila hali ni mbaya ndugu yangu muda wowote nakimbiwa..
Kegel nafahamu, naomba unipe mfano mmoja wa hiyo jegling exerciseKuna mazoezi ya mashine yanaitwa kegel exercise na jegling exercise ni suluhisho la kudumu. Jaribu kuyafanya hayo.
Sent using Fly in any Weather.
Dah pole sana, kwel kuna kuzid na kuzidiana..Mkuu nami pia ni hivo hivo ila mim nkimmuandaa mke mda mrefu uume inalala nani nikitachelewa au nkiingiza uume nkipampu tu dk3 inalala haisimami tena hadi kesho
Sent using Jamii Forums mobile app