Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

yaya miss rubii na kuona j5 hyo ukipata mamilion toka biko na kusahau ajira😛😛😛😛😛
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sijawahi kumuona mtangaza biashara kama wewe.
 
Juzi nimekula 40,000 kwa 5000.... nimeijua nguvu ya buku
 
Mnao beti wote ni sawa na wavuta unga tu,maana mwisho wa siku anae tajirika ni yule alokuuzia.
 
Usijidanganye kuwa ni buku tu ndugu ukiona zmebaki nafasi chache nunua kwa mpigo ushindi lazims
 
hongera dada kutoka kilosa- morogoro kujishindia milioni 20 jumatano hii na kwake kuwa jumatamu sasa tunasubiri jumadili litadondokea wap mwanza mwanza....kaeni mkao wa kula....
 
Uspoteze 1000 yako bora ukatoe sadaka kanisani
 
Back
Top Bottom