Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

Wakuu kwa muda sasa naona haya matangazo ya bahati nasibu ya BIKO lakini kiukweli naambulia patupu kabisa.sijui hatua za kufuata ili kushiriki,namna droo zinavochezeshwa na jinsi mshindi anavopatikana...gharama zake ziko vipi?? Waliowahi kushiriki au kushinda mrujuze tafadhali
 
Mimi huwa nasikia kile kitangazo chao kwenye radio "Bikoo Bikoo Bikoo." Sijui hata ni nini!
 
Lipa kwa njia ya mtandao kuanzia 1000 kwenda 505050
kumbukumbu no andika 2456
 
Hao ndo wazee wa jumatamu na jumadili.. ebu fikiria kwa umakini hio JUMADILI ina maana gani..


Ukimaindi natuma tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…