Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ukiwa muumini wa watu utasema haya. Ukiwa muumini wa taasisi ulichoandika ni upumbavu. Kama ulienda shule utaelewa. Hatuhitaji viongozi ma fascist tunahitaji sheria zenye kutenda kwa kila mtenda! Sheria co mtu.. zipo kidhibiti matendo ya watu kama JPM. KWANN TENDA YA KUJENGA CHATO HAIKUTANGAZWA? MAYANGA CONSTITUTION NI KAMPUNI YA NANI?Kazikwe na mzoga wenu
Asante kwa ufafanuzi mzuri.Tofautisha kati ya Wafuasi wa CCM na Wafuasi wa Marehemu wa Chato! Hao Wafuasi wa Marehemu utiifu wao kwa marehemu haukuwa kwa sababu za kiitikadi bali ukabila. Wengi wao hapo ni Wasukuma. Walivyo na akili finyu wanadhani adui wa JPM alikuwa Membe bila kujua ambacho kilikuwepo kati ya Membe na JPM ni maslahi ya kisisasa.
Ujinga wa kihaiki unakusumbua soma zaidi.Kazikwe na mzoga wenu
Kwani TISS huwa wanastaafu??Mnaofatilia msiba huu wanasoma wasifu wa marehemu.
Membe ni mwana idara wa Usalama wa Taifa. Na amepigana vita vya Kagera kama jasusi na amesimamia uundaji wa serikali mpya ya Uganda baada ya vita.
Msoma wasifu, amesema wazi mwaka ambao Membe ameanza kazi ndani ya Idara ila hajasema kama alistaafu.
Hao wazee wameshindwa kuzuia mwenye wako kudanja, ndo wataweza nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri wazee wa Londo wanacheki ktk VAR sababu za kifo cha mpendwa wao. Subirini pigo jingine huko sukuma gang utasikia uwii ujue wazee wamesha fanya yao.
Si mliona ule Moshi pale Ruangwa jamaa akasema naona mnaleta hadi moshi.
Tusio wana ccm tunafurahi tuu mnapo uana wenyewe kwa wenyewe halafu mnafurahi. Tuliwaambia kuwa siasa za chuki hazina tija lakini mkawa mnakenua meno tuu kufurahia mateso ya wapinzani Magufuli akiyatenda.
Sasa hivi chuki imerudi kwenu mnaitana mizoga na bado. Biblia inasema apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Mlipanda chuki na sasa mnavuna chuki yenu wenyewe.
Maendeleo hayana vyamaa.
Mimi siyo mtaalam wa protokali lakini tukio lolote, akishiriki Rais, tegemea kuiona karibia Serikali yote.Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
Mwaka fulani nilikuwa msibani ambapo baba wa rafiki yangu alifariki.Mimi siyo mtaalam wa protokali lakini tukio lolote, akishiriki Rais, tegemea kuiona karibia Serikali yote.
Hata Mahiga, kama Rais angeshiriki, isingekuwa tofauti kubwa na hii ya leo.
Hapa ufahamu kuwa kuna Rais amehudhuria. Halafu Kikwete ni Rais mstaafu, na sote tunajua kuwa marehemu alikuwa karibu na marehemu, na wengine wanathubutu kusema ni ndugu yake.
Mtu mashuhuri akifariki au mtu wa kawaida asiye na umashuhuri wowote akafariki lakini watu wa karibu na marehemu wakawa ni watu mashuhuri, tegemea mabadiliko katika taratibu.
Kwani kuna tatizo wakiwepo hao wote? Na leo ni jumapili watu wakienda kushiriki kumuaga Kuna shida gani?Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
Kwan nayeye alikua anadai yale mabilioniUkiachana na membe Kuna lemutuz kavuta uko
acha use*ng JK yuko nje ya nchi . atakuwepo Jumanne Rondo Lindi. covid...covid... unatakutuaminishia wewe unafaham maswala ya corona kuliko hao viongozi wote hapo? idiotJK sijamuona hapo. Baada ya tarehe 16 tutashuhudia maanguko ya COVID-19
Au Kirusi cha Covid19 kime mutate?Ukiachana na membe Kuna lemutuz kavuta uko
Kuna Raha Gani mtu anaipata Kwa kutoa uhai wa mtu mwingine tena bila hatia.....Samaki wanakulana wenyewe,baada ya tukio hili usishangae sukuma gang kikawakuta kilio au wafiwa wakafiwa tena. Wanasiasa wanaishi kinafki na kuwindana sana.
Kila kitu wanataka iwe maadaKwani kuna tatizo wakiwepo hao wote? Na leo ni jumapili watu wakienda kushiriki kumuaga Kuna shida gani?
nikweli membe alikuwa Jasusi akiwa nafasi ya juu ktk SerikaliMembe anakofia nyingi!Nadhani ukachero wake ulikuwa wa hadhi ya juu na sio uwaziri tu kaka!
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mkuu vitu vingine sio lazima ushupaze shingoPale uliona viongozi wa idara nyeti za usalama???
Watu wanamlingalisha Membe na mtendaji wa kataMnaonea wivu maiti jamani
Membe alikuwa mtu mkubwa
Mahiga alifariki Rais wa nchi akajificha na ulikuwa wakati CoronaMaybe true:
Membe Vs Mahiga
wote walikuwa makachero, Waziri wa nje. Na Mahiga alifanya mengi