britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Membe ni Mshauri mkuu wa serikali wa usalama wa TaifaPascal Mayalla karibu kwa darsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe ni Mshauri mkuu wa serikali wa usalama wa TaifaPascal Mayalla karibu kwa darsa
Wanaandikiwa mbwa wake ndo lengoMtu akishalala hebu tujifunze tu kukaa kimya na kuiombea familia itiwe nguvu na marehemu akapumzike Kwa Amani....hata ukiongea hawezi kujibu hawezi kujibu kurasa zake zinakuwa zimefungwa.
Na nyie hao machiba mnawatoa wapiWale mawaziri wa Jiwe anajua mwenyewe alikokuwa anawapata
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nenda kazikwe naeWema haulipwi kwa ubaya abadani ukiwa mwema wewe ni mwema ukiwa mbaya vivyo hivyo . Tuendelee kujifariji kwa kusoma makala ile ya shiva na kile kitabu cha wahariri " I am the state"
Watu wanamaneno manenoKuna sababu kadhaa,
Ni Waziri mstaafu, kada na mwana mtandao…
90% ya waliopo Serikalini ni watu amefanya nao kazi kwa muda mrefu, wengine walioko kwenye system ni ndugu na rafiki zake.
Pia ukumbuke huu msiba unaigusa Msoga, sasa unapozungumzia msoga si ndo serikali yenyewe?
Jizi kama haya yaliyoko madarakaniJizi hilo hata walipake mafuta namna gani haiwezekani
Sasa Kama Ni mtu mzito,mbona tumeona hapa jf post ikisema atakata Moto,na imekua????Kwani alikuwa Kiongozi mdogo? Huyo ni mtu mzito kwenye wasiojulikana
SawaLeo msoga family mmelowa
Wanakuonyesha live kilicho tokea ili kabla yakutenda utafakari. 🤐Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
[emoji1783][emoji1783]Yote Kwa sababu ya ukaribu wake na Kikwete
Acha kisirani,,sasa kwani ameondoka na hata chembe ya alichokuwanacho kihalali na hivyo ulivyosema wewe na 'nukuu"ni vya uwizi ??na muhusika ukambatiza jina nyongeza ya kwamba ni "nakuu" Jizi!!,,,Una uthibitisho wa hayo uliyoyaandika??au ni mihemko tuu ya fikra mbovu za kusadikika!!Jizi hilo hata walipake mafuta namna gani haiwezekani
Kwani Cha ajabu ni kipi?Sasa Kama Ni mtu mzito,mbona tumeona hapa jf post ikisema atakata Moto,na imekua????
Nilikwazika kwa kauli yake kwa jpm ila naanza kujirudi,acheni kusnich mwendazake
Aiseee, heshimu utu wa mtu!Kazikeni mzoga wenu.
Hakuna cheo kama iko ni uongo bwanaMembe ni Mshauri mkuu wa serikali wa usalama wa Taifa
Nonsense!.Hahaha . Wema utadumu na uovu utafutika mapema! Kwamba kwakuwa unajua kukariri kilomita za barabara ndiyo uue watu? Hiyo siyo sawa!
Endelea kujitoa ufahamu kwa sababu hiyo haitabadilisha ukweli kwamba Mungu Mtu wenu keshaoza, na hatarudi tena duniani!Ila ukumbuke wanasubiriwa kwa hamu usitoe povu lako lote
Siku mbwa hawa wakidondoka daah