Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo ni shida kuelewa huwa wanaelewaga siku ya mazishiBadala ya kulia lia wewe toka mjini nenda kijijini kalime
Mrembo wanguAchana na maharage kula mchicha,figiri...mnafu.Chinese,njegere mbichi...viaz...
Ukilima tu, mvua zinanyesha kwa wingi, mazao yanashuka beiNatafuta heka kumi na mimi nianze kulima mahindi,maharage na viazi.
Kwamba tunazaa vibarua...[emoji28][emoji28][emoji2297][emoji2297]Mnapoambiwa mzae kidogo mnaiambia serikali na kutukana mabeberu eti mnatafuta soko la ndani.
Wenye familia ndogo hata hawawaz kuhusu msosi,
Endeleeni kuleta vibarua duniani.
Jana nafika dukani usiku kununua maharage kilo naambiwa 3,800 na kesho huenda tukapandisha kuwa elfu 4 kamili.
Nimeshindwa kuelewa shida ipo wapi maana mwezi wa nne yalikuwa 1,700 yakapanda 2,000 hadi 2,400 sasa huku tunapoenda tutakula tu ugali na kachumbari. Vitu vyote vimekuwa juu mno, kama unaishi kwenu huwezi kulijua hili.
Ukienda sokoni unaweza kuzimia, maana nazi nzuri inaanza 1,400 mihogo ndio usiseme, viazi vitamu ndio usiulize hata bei mana ndoo ndogo ilikuwa elfu 5 hadi 7 sasa hivi ni elfu 12.
Hii nchi tunapoenda tutauana kwa njaa, watu hawashibi ndio maana wana kuwa na stress za hapa na pale.
Note, nadhani wakulima mwaka huu watajenga maghorofa kama madalali sio wanaopandisha bei.
Halafu hiyo 10000 kuipata sasa!!Ukianza kuona 10000 unakwenda nayo Dukani na unarudi na Vitu vi 2 au vi3 Tu na hakuna Chenji na mangi Dukani anakudai hapo lazima kichwa kiwake moto
Nipo CMrembo wangu
Umeshawahi kula wali maharage wewe? Au unaongea tu?Kula kitu kingine mkuu si lazima maharage.
Kwanza ulaji wa mara kwa mara wa hayo mazao makabu kunaleta udumuvu, mengi hiwa na sumu kuvu na madawa ya uhifadhi nafaka.
Jinga ww kwahy wote wakifuata huu ushauri wako hao wajinga wenzako watanunua wap muwe mnatumia akiliUkilima kipindi hiki inakula kwako. Issue ni kuwa na mtaji alafu kununua kidogokidogo kwa wanaolima.
Wengi hawapati kitu kwa kuwa Hali ya hewa sio nzuri.
Sasa hivi kwa ekari kutoa hata gunia 5 tu imekua mtihani.
Mchicha tu hautoshi kwa Afya. Kuleni pia kuku, mayai na maziwa kwa wingi.Watu wanabidi kula mchicha kwa wingi
Maharage sio mazuri zaidi kujamba kwa wingi
TULIENI Kwanza KIKOSI KAZI kinakuja na MAPENDEKEZO ya BEI ya MAHARAGEJana nafika dukani usiku kununua maharage kilo naambiwa 3,800 na kesho huenda tukapandisha kuwa elfu 4 kamili.
Nimeshindwa kuelewa shida ipo wapi maana mwezi wa nne yalikuwa 1,700 yakapanda 2,000 hadi 2,400 sasa huku tunapoenda tutakula tu ugali na kachumbari. Vitu vyote vimekuwa juu mno, kama unaishi kwenu huwezi kulijua hili.
Ukienda sokoni unaweza kuzimia, maana nazi nzuri inaanza 1,400 mihogo ndio usiseme, viazi vitamu ndio usiulize hata bei mana ndoo ndogo ilikuwa elfu 5 hadi 7 sasa hivi ni elfu 12.
Hii nchi tunapoenda tutauana kwa njaa, watu hawashibi ndio maana wana kuwa na stress za hapa na pale.
Note, nadhani wakulima mwaka huu watajenga maghorofa kama madalali sio wanaopandisha bei.