Tuendelee kutafuta pesa wakuu

Tuendelee kutafuta pesa wakuu

Unaonekana bado unajitafuta,hakuna kitu cha ajabu hapo ila wewe umeona ni ajabu ndio maana ukaanzisha na uzi,

Anyway ngoja wataalamu wakaangalie CCTV, table number 80 kwenye huo muda ili wakujue wewe ni nani.

😀😀
 
Wewe bills ndogo unazolipiaga ni kiasi gani? Haadi uone 89k ni ndogo
labda nikupe namba ya mchepuko wangu umuulize mwenyewe kwani nikisema mm mtasema najifagilia, halafu unapotaka kufanya matumizi ushikiwi fimbo ni hiari yako, sasa ya nini uanze kutembeza bill mitandaoni? ulilazimishwa, wanaume wa dar wana tabu kubwa sana wallah
 
Back
Top Bottom