Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Nooo, kushoto kuna idadi bro. Angalia.aisee, Pepsi 9000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nooo, kushoto kuna idadi bro. Angalia.aisee, Pepsi 9000
Tukazane kutafuta hela 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Salome ni jina la cashier!
Kwasabau ya bill ya 86,000/- au ?Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
Duuh umekula mshahara wa mwalimu kwa siku moja!!??Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
Ni mashaka, hasara na masikitiko kwa kweli.Imagine unatafuta pesa ukaagize swaga la diamond🫢🫢.
Ww buku lako mechangia vipi mshahara wa Mbape?Mi mwenyewe nimeangalia kibanda umiza kwa 1000 yani sio poa mpira faida yake inaenda mbali sana imagine Jana tumechangia usajili wa Mbape pale Madrid next season
Kumbe huyu jamaa mwongo kama fisiemu. Pmbav zakeNooo, kushoto kuna idadi bro. Angalia.
aisee, Pepsi 9000
Mkuu ila ww nae n mlafi vyote hivi ulipiga pekeako? Maji 2 + Peps 3 +Red bull 3 + Juice 2. Vimiminika vyote hivi ukapiga within 2 hrs?Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
sio kwamba hapo mcity unakabidhiwa na mtoto mbichi wa UD > buy 1, get 1 freeUchizi tu mwanangu Dronedrake 😂
Sasa hiyo pepsi ukinywa na atakayekunywa kariakoo kwa buku nyote mkifa hamuozi au?
Dstv wamenunua haki ya matangazo nje ya hapo hata channel ten wangeoneshaWw buku lako mechangia vipi mshahara wa Mbape?
Ni kitu gani hii?Imagine unatafuta pesa ukaagize swaga la diamond🫢🫢.
labda nikupe namba ya mchepuko wangu umuulize mwenyewe kwani nikisema mm mtasema najifagilia, halafu unapotaka kufanya matumizi ushikiwi fimbo ni hiari yako, sasa ya nini uanze kutembeza bill mitandaoni? ulilazimishwa, wanaume wa dar wana tabu kubwa sana wallahWewe bills ndogo unazolipiaga ni kiasi gani? Haadi uone 89k ni ndogo