Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Haha. Mambo mengine bwana.Hapo anaona kavunja kibubu hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha. Mambo mengine bwana.Hapo anaona kavunja kibubu hatari sana.
Kujitia aibu tuHaha. Mambo mengine bwana.
hiyo pesa ndio maemezi ya sokoni kwa wikiJana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
HIO MLS 500 ya KILIMANJARO huku Tandale kwa Mkunduge unapata kwa Jelo Jelo kwa hio 6000 gawa kwa Jelo unapata chupa ngapi za Maji? 6000 ÷ 500 = 60/5 = 12Anyway tutafute pesa kwa kasi sana
🤣🤣🤣Kwasabau ya bill ya 86,000/- au ?
🤣🤣Pesa ndogo hiyo nayo unaifungulia uzi?
akikuelewa nitag.Watu mna hela! Au nyie ndio dipiwedi? Hela yote hiyo?
Hahaha, uwe na usiku mwema.Watu mna hela! Au nyie ndio dipiwedi? Hela yote hiyo?
Kuku kuku au samaki wana menu zao ndio wamezipa majina ya ajabu ajabu... kama hivyo.hio swaga la diamond ndio nini?
vyote kwenye tumbo moja 😀😀Me naona bei ya kawaida sijui wenzangu. Mfano:
Mango juice 2 kwa elfu 5 kila moja.
Redbull 3 kwa elfu 6 kila moja.
Pepsi 3 kwa elfu 3 kila moja
Maji ya klm nusu lita kwa elfu 3 kila moja
Sema kama ulikua peke yako, ndani ya masaa mawili unakula ivo? We unaumwa
Hayo ni matumizi ya wiki nzima ya chakula ya familia nzima Dar! Vijana mnapoteza fedha nyingi mno kwenye mambo yasiyo na maana. Unapaswa kuwa na kipato cha 1M plus kwa siku ili iwe halali kutumia 90,000 kula mlo mmoja.Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436