Tufani la Alaqsa kuziangusha Marekani na Israel na kuzipindua nchi zote za kiarabu. Palestina kuwa taifa kubwa mbele ya Urusi na China

Tufani la Alaqsa kuziangusha Marekani na Israel na kuzipindua nchi zote za kiarabu. Palestina kuwa taifa kubwa mbele ya Urusi na China

Sijaelewa kwahiyo Israel anashirikiana na Marekani kupigana vita na wanamganbo wa Hamas?
 
Huenda uko sahihi. Lkn nadhani, vita hizi huenda zikafanya ardhi iliyoahidiwa Kwa :Ibrahim, Isaka na Yakobo(Israel),kuwa mikononi mwa Waistael, ardhi hiyo ni:
Israel, West bank, Gaza, Jordan, Lebanon na sehem ya kusini mwa Syria.
 
Labda karne nyingi zijajazo lakini si kesho, hii ibaki ndoto ya mleta mada anayeota mchana
 
Sijaelewa kwahiyo Israel anashirikiana na Marekani kupigana vita na wanamganbo wa Hamas?
Meli za Marekani zipo karibu na Gaza kutoa vitisho kwa Hizbulah,Syria na Iran na kila siku wanaleta shehena mpya za silaha.Kuna mzigo ulikuwa uende Ukraine ukabadilishwa njia ili uende Israel
 
Labda karne nyingi zijajazo lakini si kesho, hii ibaki ndoto ya mleta mada anayeota mchana
Haiko mbali sana.Inaweza kuwa mimi na wewe tukawa ni marehemu lakini watoto wetu wataleta salamu.
 
Mipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.

1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gaza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.

Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.

Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzuia fukuto lililopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wapinzani wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.
Wao wanapanga hivi na Allah anapanga yake. Mara unasikia tetemeko la ardhi limewaondoa Isreal nusu milioni
 
Mipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.

1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gaza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.

Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.

Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzuia fukuto lililopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wapinzani wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.
Hujijui ulivyo Mpuuzi kwa kuandika utumbo kama huu
 
Vita vilipoanza Afghanistani mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna mtu alifikiria iko siku Marekani atakimbizwa Afghanistan kama mbwa koko au kwamba baada ya kujenga kuta za kutenganisha miji kule Falujja na Baghdad iko siku kuta hizo zitavunjwa na vikosi vya Marekani kurushiwa makombora na kamba zake kusambaratika.
Haikuwa rahisi kufikiri hivyo.Hiki kilichoanza Gaza kutaipeleka Israel huko na hatokuwa na mlinzi tena dhidi ya haki za wapalestina.
Afghan hakuna mafuta son mission ilikua kumuua sheikh bin laden na kuwaachia chaos raia wa afghan
 
Sikusema kila taifa litakalomshinda US litakuwa taifa kubwa lakini kwa Palestina ndivyo itakavyokuwa kwa sababu ni eneo tofauti lenye muhuri wa Uislamu.
Ndio mnavyodanganyana kwy vikundi vya kulia ganja
 
Haiko mbali sana.Inaweza kuwa mimi na wewe tukawa ni marehemu lakini watoto wetu wataleta salamu.
duh! Mungu atakuwa ameamua kuitia israel katika mikono ya maadui zake na marekani itakuwa si hii yenye nguvu itakuwa ya wahamiaji wa miaka hii wasio na nguvu
 
Mtu ana Amini akifa atapewa mabikira 72, unadhani atawaza nini cha maana
 
Afghan hakuna mafuta son mission ilikua kumuua sheikh bin laden na kuwaachia chaos raia wa afghan
Ilisaidia nini.Kuua mtu mmoja unasababisha vifo vya wamarekani mia kadhaa na kuporomosha uchumi mpaka Trump akaona isiwe tabu.
Bin Laden alikwishakufa zake zamani.Ikabidi US itengeneze sinema ili kuua sifa zake.
Kipi kimetokea baada ya kufa bin Laden kuna Yahya Sinwar na Muahmmed Deif na watakuja wengine.Kufanya dhulma kwa viumbe wa Mwenyezi Mungu ni biashara kichaa kabisa.
 
duh! Mungu atakuwa ameamua kuitia israel katika mikono ya maadui zake na marekani itakuwa si hii yenye nguvu itakuwa ya wahamiaji wa miaka hii wasio na nguvu
Ni kaa la moto anatka awaachie UN mara awaachie UAE na Saudia
Hawezi kutoka tena mpaka mwisho wake.
 
Back
Top Bottom