Tufanye nini na hizi clip zinazopotosha Historia ya Tanzania?

Kwenye hio picha huonekani kama mdini kabisa ,kweli usijaji kitabu kwa kuangalia kava
 
Nimeogopa sana kusikia imani kubwa Tanzania ni uislamu, Afrika inaangamia kwenye huu uzombi.
 
Kwenye hio picha huonekani kama mdini kabisa ,kweli usijaji kitabu kwa kuangalia kava
Ujoka,
Historia ya TANU imeandikwa na imekuwako miaka yote ikiwa na makosa kwa kuwaacha nje wazalendo wengi sana.

Huu si udini.

Udini ni pale mimi nilipokuja kuandika kitabu cha Abdul Sykes na kusahihisha makosa yaliyokuwapo kwenye hustoria hiyo.
 
Mimi sizungumzii kitabu chako ambacho kwa kweli sina mpango wa kukisoma.

Nazungumzia ulichoandika humu leo katika kurasa za JF.

Amandla....
Fundi...
Kitabu cha maisha ya Abdul Sykes kilishtua mabingwa wa African History katika vyuo vikuu Marekani na Ulaya: John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan.

Wote hawa walifanya book review na reviews zao zilichapwa Cambridge Journal of African History.

Hapa Afrika ya Mashariki The East African walifanya serialisation ya kitabu matoleo matatu.

Nikaalikwa kuzungumza University of Iowa na Northwestern University, Marekani.

Nikaalikwa pia Zentrum Moderner Orient, Berlin.

Tanzania baada ya kukitafsiri kitabu kwa Kiswahili kitabu kikachapwa mara mbili.

Wasomaji wamekipenda.

Kama wewe hutaki kusoma kitabu chenye sifa hizi basi kinachokuzuia ni husda.
 
Yaani Babu yangu mzee Mohammed kwa udini wewe huwezekani na bahati mbaya umeshazeeka hata kushaurika ni ngumu.

Mungu akusaidie utambue thamani ya watu kupitia utu wao na sio dini maana hakuna namna unaweza shauriwa kwa umri wako huo.
 
Kwahiyo Makafr Wameleta Clip Yao Ambayo Imetunyima Usingizi
Wagalatia Acheni Wenzenu Wapumue Vizuri Msiwabane Hawana Raha
 
Yaani Babu yangu mzee Mohammed kwa udini wewe huwezekani na bahati mbaya umeshazeeka hata kushaurika ni ngumu.

Mungu akusaidie utambu thamani ya watu kupitia utu wao na sio dini maana hakuna namna unaweza shauriwa kwa umri wako huo.

Utampa Mzee Pressure Bure Kumbuka Analoliamini Ndiyo Linalompa Tabu
 
Mohamed Said Said anaonekana anajua mengi sana kuhusu Historia ya Tanzania especially ya Dar na Pwani yote, tatizo lazima aingize dini yake ya uislam na kuibadilisha story nzima kuonekana ya udini
 
Udini
Udini
Udini
 
Fundi...
Hapana siwezi kusema hivyo.

Kitabu cha Abdul Sykes nimejitahidi kueleza mengi.

Muhimu hapa ni ikiwa wewe unaona wapo ambao mimi sikuwataja ukachukua fursa hii kuwataja wakajulikana.
Abdul Sykes alikuwa na maandiko yeyote ambayo unaweza kutuwekea hapa jukwaani ili labda tujue fikra zake bila kupitia kwa kalamu na ubongo wa mtu baki?
Maana autobiographers mara nyingine huwa hawaakisi kilicho mawazoni mwa mtu.
 
Kwa nini unadhani hao wazee unaowatetea, wao wenyewe kwa utashi wao wakaona Kambarage ndiye wa kumkabidhi mikoba ya kwenda kushawishi wazungu waipe uhuru Tanganyika?

Kwa nini haikuwa mmoja ya wazee hao ambao umekuwa ukiwataja kwa majina, kwamba wangeteuana mmoja wao na kwenda mbele ya mabaraza ya wazungu?
 
Nina ugomvi na wewe bwana M. Saidi
Ugomvi wangu ni huu... Kwa nini hauandiki kitabu cha historia iliyonyooka ya Tanzania?

Hizi makala ni nzuri sana lakini ipo jamii kubwa ya Watanzania haipo mitandaoni na wanaweza kuvifikia vitabu. Andika vitabu kwa sababu ndiyo hazina pekee ya mwenye hekima anayoweza kuiacha kwa vizazi vijavyo.
Andika historia kwa sababu namna yako ya tafiti na hifadhi ya kumbukumbu hususani namna ya masimulizi ni ya kipekee tofauti na wengine.

Punguza loloki fanya compilation ya makala zako, chapa kitabu sambamba na utoaji elimu kupitia makala

Tutaendeleza ugomvi bila shaka
 
Puna,
Limepita hilo ndugu yangu.
Clip hiyo hapo chini:


Hii clip iko sawa sema wamekosema kwenye language arabic sio language ya tanzania ni swahili na kiingilishi na kisukuma

Pia hii clip inaupotoshaji yani famous people JPM mwendazake hayupo,?
 

We mzee pride itakuua,sometimes nakuonaga kama punguani vile uliyejaa majivuno na ubinafsi kupitia illusion za dini ya waarabu.
 

The winner takes all,jifunze hilo na kamwe hizo historia za wazee wako hazitafundishwa tanzania hii,wafundishe wajukuu zako huko madrasa.
 

Huyo mzee ni wa kupuuza,hana tofauti na hao anaosema wamepotosha,wakati naye anapotosha mengi tu kwa maslahi yake binafsi ni walio mtuma.
 
Hapo kwanza ncheke. Mzee unalalamika kukosewa adabu kuitwa Mudi kifupi cha Mohammed huku wewe ukiwa ni bingwa wa kufupisha majina ya watu humu.

Mfano tu hapo Lukubuzo unayemlalamikia umemwita Luku.. ni ni unatakataa na nini unafanya?
 


Udini tu ndio unamsumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…