Tufanye nini na hizi clip zinazopotosha Historia ya Tanzania?

Tufanye nini na hizi clip zinazopotosha Historia ya Tanzania?

We niwa kupuuzwa. Waislam walikuwa taasisi ipi iliyotaifishwa na serikali? Taasis zilitaifishwa ni za kanisa. Mkapa aliwapa waislamu chuo cha TANESCO Morogoro bure kabisa ndio chuo kikuu pekee cha waislamu. Waislamu hawana uwezo hata wa kujenga chuo chao. Niambie zaidi ya kile chuo kikuu chenu qameongeza nini. Hata kufungua tawi Dsm wameshindwa. Ni watu wavivu, walalamishi, wa kupenda kupendelewa.
Saigi...
Si rahisi kunipuuza.

Ingekuwa wepesi wewe ungefanya hilo.

Hujaweza kufanya hilo uko hapa unajadiliana na Mohamed Said.

Huijui historia ya Waislam na juhudi zao za kutafuta elimu.

Waislam chini ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS) walikuwa wanajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968.

Serikali ikapiga marufuku EAMWS na kumkamata Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na kufukuzwa Tanganyika.

Serikali ikaunda BAKWATA na kuipa mali zote za EAMWS.

Historia ya Waislam katika kujenga taasisi za elimu ni historia ndefu iliyojaa mengi ya kuhuzunisha.

Hapa hapatoshi mimi kukueleza yote ili nifute hiyo fikra uliyonayo kuwa sisi ni wavivu na walalamishi.

Tungekuwa wavivu tusingeweza kunyanyua silaha dhidi ya Wajerumani wala kupigania uhuru wa Tanganyika.

Katika miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Nyerere alikataa kutoa kibali chuo hicho kikajengwa Mbale, Uganda.

Usikimbilie kuwatukana Waislam ilhali wewe huna moja ulijualo katika historia yao.
 
Mudi, nilikupa tu mfano wa makosa makubwa mengi katika hiyo makala. But mi sijaona la kuhangaika nalo. Mi kuna mambo nasema hayana haja ya kuumiza kichwa na kulalamika lalamika kila wakati.
Mtu...
Nitashukuru kama utanitambulisha kwa jina langu sawasawa.
 
Kuna clip inazunguka mitandaoni ikieleza mengi kuhusu Tanganyika.
Kubwa linaloshtua watu wengi ni kusema imani kuu nchini ni Ukristo.
Nimeandika makala hiyo hapo chini kutanabaisha kuhusu historia ya Tanganyika nikijaribu kueleza imekuwaje tumefikia hali hii:

MEETING OF THE MINDS​

Alikuwa Dr James Kwegyir Aggrey, Mwafrika kutoka Ghana ndiye mtu aliyemtia Kleist hamu ya kuingia katika siasa. Dr Aggrey alikuja Tanganyika mwaka 1924.

Dr Aggrey alikuwa katika Phelps-Stokes Commissions iliyokuwa imeundwa kuchunguza elimu ya Waafrika.

Ilikuwa katika kipindi hiki akiwa ndani ya kamisheni hii ndipo alipokuja Tanganyika. Dr Aggrey alikataliwa kupanga New Africa Hotel kwa kuwa alikuwa mtu mweusi.

Ikabidi Gavana Donald Cameron amtafutie chumba Government House ajisitiri kwa malazi.

Wakati huu alipokuwa Dar es Salaam ndipo Dr Agrrey alipokutana na Kleist.
Dr Aggrey alimtunukia Kleist moja ya vitabu vyake na akakitia sahihi yake.

Hakuna hata mtoto mmoja wa Kleist ambae anakumbuka jina la kitabu hiki.

Kleist alikithamini kitabu hiki na kilipamba shubaka lake la vitabu kwa miaka mingi.

Mwaka wa 1929 Kleist na baadhi ya rafiki zake wa karibu kama Mzee bin Sudi, ambaye wazazi wake walikuwa Wamanyema kutoka Belgian Congo, Ibrahim Hamis - Mnubi ambaye baba yake alitoka Daffur nchini Sudan, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima - Mzaramo, Suleiman Majisu, Raikes Kusi, Rawson Watts na Cecil Matola - Myao kutoka Masasi walianzisha African Association, Matola akiwa President na Kleist Secretary.

Historia ya uhuru wa Tanganyika iligeuzwa ikawa historia ya Julius Kambarage Nyerere.

Historia ya TANU ikawa historia ya mtu mmoja.

Hili lilifanikiwa kwa kuwa tulikaa kimya lau kama walikuwapo wazalendo wenyewe walioupigania uhuru kwa hali na mali zao.

Sasa tueleze harakati za uhuru wapi zilianzia.
Tunaweka picha ya Dictionary of African Biography (DAB).

Kinawekwa kipande kifupi kinachomweleza Dr. Kwegyir Aggrey (1875 - 1927) kisha ndani ya Kamusi hilo hilo tunatoa na kumwekea mtazamaji wa clip yetu kipande kifupi cha Kleist Abdallah Sykes (1894 - 1949).

Wazalendo hawa waliotajwa ndani ya Kamusi hilo tunaeleza hawamo katika historia rasmi ya Tanganyika.

Mazungumzo kati ya Waafrika hawa wawili Dar-es-Salaam mwaka wa 1924 ndiyo yalisababisha Kleist kuunda African Association mwaka wa 1929 kisha kuunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) mwaka wa 1933.

Vyama vyote hivi viwili vilitawaliwa na Waislam.

Watafute wazalendo hawa katika historia ya Tanganyika hutowakuta popote.
Jambo la kusikitisha ni kuwa watu waliamini kuwa ile historia iliyokuwa ikisomeshwa ndiyo historia ya kweli.

332955155_3398442657098751_5156298518240527622_n.jpg

Kleist Abdallah Sykes
333027833_3114434315528253_5075425198623726105_n.jpg

Dr. Kwegyir Aggrey

332914989_1164916214133995_6225086038975879163_n.jpg

Dictionary of African Biography
(DAB)​

Picha ya juu ni Kleist Abdallah Sykes, inayofuata ni Dr. Kwegyir Aggrey na chini ni Dictionary of African Biography.

Ninaposomesha historia ya utaifa wa Tanganyika huanza kwa kuwapa wanafunzi wangu rejea katika Dictionary of African Biography (DAB) niwaambia wamsome Dr. Aggrey wakimaliza wamsome Kleist Sykes.

Kipande hiki nimekipa jina: ''Meeting of the Minds.''
Huyu mohamef said mambo yake ni ya udini tu. Mwenyewe ni mdini. Wenyewe watanzania tunajielewa. Mtu alete uchonganishi wake wa kila aina hua tunamsare au ikibidi tunamzima kama koroboi.
 
Saigi...
Si rahisi kunipuuza.

Ingekuwa wepesi wewe ungefanya hilo.

Hujaweza kufanya hilo uko hapa unajadiliana na Mohamed Said.

Huijui historia ya Waislam na juhudi zao za kutafuta elimu.

Waislam chini ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS) walikuwa wanajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968.

Serikali ikapiga marufuku EAMWS na kumkamata Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na kufukuzwa Tanganyika.

Serikali ikaunda BAKWATA na kuipa mali zote za EAMWS.

Historia ya Waislam katika kujenga taasisi za elimu ni historia ndefu iliyojaa mengi ya kuhuzunisha.

Hapa hapatoshi mimi kukueleza yote ili nifute hiyo fikra uliyonayo kuwa sisi ni wavivu na walalamishi.

Tungekuwa wavivu tusingeweza kunyanyua silaha dhidi ya Wajerumani wala kupigania uhuru wa Tanganyika.

Katika miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Nyerere alikataa kutoa kibali chuo hicho kikajengwa Mbale, Uganda.

Usikimbilie kuwatukana Waislam ilhali wewe huna moja ulijualo katika historia yao.
Mohamed, huyu alikuwa ananijibu mimi. Lakini naona kama hamna tofauti maana kila mmoja wenu anavutia shuka upande wake.
Tukianza kuchambua mambo ya EAMWS (ambayo ilianzishwa na ilifadhiliwa kwa kiasi kikubwa na washia ambao masunni wengi wanaona kama makafir) hatutamaliza. Hadithi ya kushindwa kujenga chuo kikuu chenu Chang'ombe hali kadhalika.
Unazungumzia msaada wa ujenzi wa Chuo Kikuu ambao ulikuwa ufanywe na OIC lakini unapata kigugumizi kuzungumzia hatua ya mvatican kukabidhi Chuo cha Tanesco kwa waislamu.
Pamoja na yote haya nakubaliana na wewe kuwa maneno aliyotumia mwandishi kuhusu waislamu hayafai na hayana ukweli.

Amandla...
 
Huyu mohamef said mambo yake ni ya udini tu. Mwenyewe ni mdini. Wenyewe watanzania tunajielewa. Mtu alete uchonganishi wake wa kila aina hua tunamsare au ikibidi tunamzima kama koroboi.
Kmb...
Vitisho huwa hatari zaidi kwa anaetishia kuliko yule anaetishwa.

Zuia ulimi wako.

Singependa kukuonya zaidi kuhusu kunizima kama kibatari.

Umeropoka tu kwa ujinga au ghadhabu.

Ni kosa la jinai kutishia maisha ya mtu.

Mambo yangu si Uislam maana huna ujasiri wa kutamka unajificha nyuma ya neno "udini."

Nimeandika historia ya wazee wangu walivyounda African Association 1929 hadi kufikia kuunda TANU 1954.

Huu si udini.
 
Mohamed, huyu alikuwa ananijibu mimi. Lakini naona kama hamna tofauti maana kila mmoja wenu anavutia shuka upande wake.
Tukianza kuchambua mambo ya EAMWS (ambayo ilianzishwa na ilifadhiliwa kwa kiasi kikubwa na washia ambao masunni wengi wanaona kama makafir) hatutamaliza. Hadithi ya kushindwa kujenga chuo kikuu chenu Chang'ombe hali kadhalika.
Unazungumzia msaada wa ujenzi wa Chuo Kikuu ambao ulikuwa ufanywe na OIC lakini unapata kigugumizi kuzungumzia hatua ya mvatican kukabidhi Chuo cha Tanesco kwa waislamu.
Pamoja na yote haya nakubaliana na wewe kuwa maneno aliyotumia mwandishi kuhusu waislamu hayafai na hayana ukweli.

Amandla...
Fundi,
Watu wawili tu ndiyo waliotafiti historia hiyo.

Katika watafiti hawa wawili wewe si mmoja wao: Dr. Mayanja Kiwanuka (1973) na Mohamed Said (1989).

Paper hizi zipo Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.

Hapa ndipo ilipo tofaiti yangu na wengi.
 
Saigi...
Si rahisi kunipuuza.

Ingekuwa wepesi wewe ungefanya hilo.

Hujaweza kufanya hilo uko hapa unajadiliana na Mohamed Said.

Huijui historia ya Waislam na juhudi zao za kutafuta elimu.

Waislam chini ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS) walikuwa wanajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968.

Serikali ikapiga marufuku EAMWS na kumkamata Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na kufukuzwa Tanganyika.

Serikali ikaunda BAKWATA na kuipa mali zote za EAMWS.

Historia ya Waislam katika kujenga taasisi za elimu ni historia ndefu iliyojaa mengi ya kuhuzunisha.

Hapa hapatoshi mimi kukueleza yote ili nifute hiyo fikra uliyonayo kuwa sisi ni wavivu na walalamishi.

Tungekuwa wavivu tusingeweza kunyanyua silaha dhidi ya Wajerumani wala kupigania uhuru wa Tanganyika.

Katika miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Nyerere alikataa kutoa kibali chuo hicho kikajengwa Mbale, Uganda.

Usikimbilie kuwatukana Waislam ilhali wewe huna moja ulijualo katika historia yao.
Nyerere alitaifisha vyuo na shula za Kikristo. Miaka imepita je nini kilitokea mpaka leo kinachozuia Waislam wasijenge shule na vyuo vyao kama Wakristo? Tuacheni kulia lia na historia ambayo iliathiri wote. Wengine waka move on. Wengine wakabaki wanalalamika mpaka leo. Nchi imekaa miaka 10 na Rais Mwislamu, Miaka 10 tena na Rais Mwislamu. Now miaka mitano itaenda na mingine 10. Tujengeni Vyuo na Shule. Misikiti tumejenga barabara yote kwenda mikoani. Hatukukatazwa. Ila shule hatutaki tunalalamika kila uchwao. Tumekuwa ni WALALAMISHI MIAKA NENDA RUDI. KAMA WAAFRIKA WANAVYOWALAUMU WAARABU NA WAZUNGU KWA BIASHARA YA UTUMWA NA UKOLONI..MIAKA ZAIDI YA 50 WAPO HURU BADO MASKINI.
 
Fundi,
Watu wawili tu ndiyo waliotafiti historia hiyo.

Katika watafiti hawa wawili wewe si mmoja wao: Dr. Mayanja Kiwanuka (1973) na Mohamed Said (1989).

Paper hizi zipo Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.

Hapa ndipo ilipo tofaiti yangu na wengi.
Mohamed, seriously? Wewe na Kiwanuka ndio pekee yenu mliotafiti historia hizi? Na maandiko yote ya historia hizo yanapatikana Chuo Kikuu cha Dar es Salaam peke yake? Mimi sio authority wa historia ya nchi yangu kama ambavyo wewe nawe sio authority wa historia hiyo. Ulichoandika ni historia ya jamaa zako na ambayo sehemu kubwa ni anecdotal ( nilisimuliwa na mjomba wangu, aliniambia fulani, nilimuona kwenye picha, nimepiga picha nae n.k.) na sio factual ( mtu mwingine anaweza kuthibitisha kwa kutumia vyanzo vingine) ndio maana pamoja na umbumbu wangu naweza kuonyesha mapungufu ya simulizi zako. Hapana, Mohamed. Wadanganye wengine sio mimi.

Amandla...
 
Sawa. Imani kubwa hapa nchini ni Uislamu. Waislamu ndio waliongoza mapambano yote ya kudai uhuru. Ukoo wa Sykes ulikuwa na nafasi ya kipekee katika mapambano hayo. Kinachosikitisha ni kuwa Nyerere aliwasahau kabisa baada ya uhuru na maisha yao kama ilivyokuwa kwa waislamu wengi yalikuwa duni.

Kabla ya uhuru waislamu walikuwa na shule na hospitali nyingi ambazo Nyerere alizitaifisha ili kuwapa nafasi wakristu wenzake wafikie kiwango cha elimu na ustaarabu wa waislamu. Hakuishia hapo, alihakikisha kuwa maksi zote za vijana wa kiislamu katika mitihani zilikuwa zinabadilishwa na kupewa wakristu. Nyerere huyo huyo alitaifisha mali za waislamu na kuwapa wakristu.

Hali hiyo iliendelezwa na Mkapa ambae aliondoa mazuri yote yaliyofanywa na Mwinyi. Mkapa alifikia hatua ya kuchukua chuo kikuu cha taasisi ya serikali na kukikabidhi kwa wakristu wenzake. Hali ilikuwa nzuri kidogo wakati wa Jakaya lakini John alipoingia aliharibu tena. Sasa hivi kidogo inaenda vizuri baada ya Mheshimiwa Samia kuwa Rais. Hawa wakristu hasa wakatoliki sio watu wa kuwafanyia masihara kabisa.

Amandla...
Ngawethu
 
Mohamed, seriously? Wewe na Kiwanuka ndio pekee yenu mliotafiti historia hizi? Na maandiko yote ya historia hizo yanapatikana Chuo Kikuu cha Dar es Salaam peke yake? Mimi sio authority wa historia ya nchi yangu kama ambavyo wewe nawe sio authority wa historia hiyo. Ulichoandika ni historia ya jamaa zako na ambayo sehemu kubwa ni anecdotal ( nilisimuliwa na mjomba wangu, aliniambia fulani, nilimuona kwenye picha, nimepiga picha nae n.k.) na sio factual ( mtu mwingine anaweza kuthibitisha kwa kutumia vyanzo vingine) ndio maana pamoja na umbumbu wangu naweza kuonyesha mapungufu ya simulizi zako. Hapana, Mohamed. Wadanganye wengine sio mimi.

Amandla...
Fundi...
Ikiwa yuko mtu mwingine aliyetafiti historia ya BAKWATA tuwekee jina lake hapa tumfahamu.

Kataroge Mayanja Kiwanuka , "The Politics of Islam in Bukoba District," Dissertation University of Dar es Salaam (1973).

Mohamed Said, "Islam and Politics in Tanzania," (1989), Al Haq International Karachi.

Mimi sina haja ya.kusema lolote kuhusu ujuzi wangu katika historia ya Tanzania.

Hayo mengine nabakia kimya wengine wakipenda watazungumza ila ninaloweza kukufahamisha na ni rahisi kwako kuelewa ni kuwa waandishi wa "Nyerere Biography," wameninukuu sana kuhusu Julius Nyerere katika kitabu chao.

Sijui kama umesoma kitabu hicho.

Hapa ndipo ilipo tofauti kubwa sana baina yangu na watu wengi wanaodhani kuwa wanaweza kushindana nami katika historia ya uhuru wa Tanganyika au historia ya Nyerere.

Mimi ndiyo mtafiti pekee ukimtoa John Iliffe katika miaka ya 1960 aliyebahatika kufunuliwa Nyaraka za Sykes.

Nimetumia nyaraka hizi katika miaka ya 1980 kuandika historia ya TANU.

Naamini unatambua kuwa Kleist Sykes yumo ndani ya Dictionary of African Biography (DAB).

Hii ndiyo tofauti baina yako na mimi.

1677581912729.jpeg

Moja ya Nyaraka za Sykes katika Maktaba yangu​

''Ally Sykes ana barua ya mwaka 1954 iliyoandikwa kwa penseli toka kwa Zuberi Mtemvu kwenda kwake akimtaarifu juu ya mazungumzo aliyokuwanayo (Mtemvu) na Nyerere kuhusu yeye na TANU.

Stakabadhi ya hundi ya posta toka kwa Ally Sykes kwenda kwa Japhet Kirilo wakati wa Mgogoro wa Ardhi ya Wameru;

Nakala ya barua isiyokuwa na tarehe kutoka TAA kwenda kwa Malkia Elizabeth iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA: Rais Julius Nyerere, Makamu wa Rais Abdulwahid Sykes, Katibu Mkuu Dome Okochi, Naibu Katibu Dossa Aziz, Mweka Hazina John Rupia, Naibu Mweka Hazina Ally Sykes ikimpongeza Malkia kwa kutawazwa.

Barua ya mwaka 1952 toka kwa Rashid Mfaume Kawawa kutoka Bukoba kwenda kwa Ally Sykes ikimfahamisha juu ya hali ya siasa katika Kanda ya Ziwa.

Barua ya mwaka 1963 toka kwa Lady Judith Listowel, Kenneth Kaunda, Julius Nyerere, Kasela Bantu, Chifu Thomas Marealle ...orodha haina mwisho.''

(Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...(2002) Phoenix Publishers, Nairobi.

1677582689681.jpeg
 
Fundi...
Ikiwa yuko mtu mwingine aliyetafiti historia ya BAKWATA tuwekee jina lake hapa tumfahamu.

Kataroge Mayanja Kiwanuka , "The Politics of Islam in Bukoba District," Dissertation University of Dar es Salaam (1973).

Mohamed Said, "Islam and Politics in Tanzania," (1989), Al Haq International Karachi.

Mimi sina haja ya.kusema lolote kuhusu ujuzi wangu katika historia ya Tanzania.

Hayo mengine nabakia kimya wengine wakipenda watazungumza ila ninaloweza kukufahamisha na ni rahisi kwako kuelewa ni kuwa waandishi wa "Nyerere Biography," wameninukuu sana kuhusu Julius Nyerere katika kitabu chao.

Sijui kama umesoma kitabu hicho.

Hapa ndipo ilipo tofauti kubwa sana baina yangu na watu wengi wanaodhani kuwa wanaweza kushindana nami katika historia ya uhuru wa Tanganyika au historia ya Nyerere.

Mimi ndiyo mtafiti pekee ukimtoa John Iliffe katika miaka ya 1960 aliyebahatika kufunuliwa Nyaraka za Sykes.

Nimetumia nyaraka hizi katika miaka ya 1980 kuandika historia ya TANU.

Naamini unatambua kuwa Kleist Sykes yumo ndani ya Dictionary of African Biography (DAB).

Hii ndiyo tofauti baina yako na mimi.

View attachment 2532583
Moja ya Nyaraka za Sykes katika Maktaba yangu​

''Ally Sykes ana barua ya mwaka 1954 iliyoandikwa kwa penseli toka kwa Zuberi Mtemvu kwenda kwake akimtaarifu juu ya mazungumzo aliyokuwanayo (Mtemvu) na Nyerere kuhusu yeye na TANU.

Stakabadhi ya hundi ya posta toka kwa Ally Sykes kwenda kwa Japhet Kirilo wakati wa Mgogoro wa Ardhi ya Wameru;

Nakala ya barua isiyokuwa na tarehe kutoka TAA kwenda kwa Malkia Elizabeth iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA: Rais Julius Nyerere, Makamu wa Rais Abdulwahid Sykes, Katibu Mkuu Dome Okochi, Naibu Katibu Dossa Aziz, Mweka Hazina John Rupia, Naibu Mweka Hazina Ally Sykes ikimpongeza Malkia kwa kutawazwa.

Barua ya mwaka 1952 toka kwa Rashid Mfaume Kawawa kutoka Bukoba kwenda kwa Ally Sykes ikimfahamisha juu ya hali ya siasa katika Kanda ya Ziwa.

Barua ya mwaka 1963 toka kwa Lady Judith Listowel, Kenneth Kaunda, Julius Nyerere, Kasela Bantu, Chifu Thomas Marealle ...orodha haina mwisho.''

(Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...(2002) Phoenix Publishers, Nairobi.

Mohammed, tunarudia yale yale ya siku zote. Wewe kuwa na nyaraka za Sykes kunakufanya bingwa wa historia yake na sio ya Tanganyika hata ya uislamu. Hali kadhalika, historia ya Bakwata ni sehemu ndogo sana ya historia ya Uislamu wa Tanganyika. Article ya Kleist Sykes katika Dictionary of African Biography uliiandika wewe na haimfanyi kuwa alikuwa na mchango zaidi ya watoto wake katika upatikanaji. Yeye na wakina Matola waliridhika kabisa na TAA kuwa chama cha jamii na sio cha siasa. Wanae ndio walichangia kukibadilisha muelekeo.
Dictionary ni dictionary na mara zote haiendi deep kwenye jambo lolote. Kutajwa Kleist Sykes mle ndani hakumaanishi kuwa yeye ndie alikuwa zaidi ya watu wengine.
Aidha, hizi barua na risiti hazina maana yeyote kama haziunganishwi na tukio muhimu katika historia yetu. Zaidi ya hapo ni kama mtu kuwa na photo album ya picha ulizopiga na mtu maarufu. Tunafurahi kuona sura za wazee wetu na miandiko yao lakini hamna kitu zaidi ya hapo.

Amandla...
 
Mohammed, tunarudia yale yale ya siku zote. Wewe kuwa na nyaraka za Sykes kunakufanya bingwa wa historia yake na sio ya Tanganyika hata ya uislamu. Hali kadhalika, historia ya Bakwata ni sehemu ndogo sana ya historia ya Uislamu wa Tanganyika. Article ya Kleist Sykes katika Dictionary of African Biography uliiandika wewe na haimfanyi kuwa alikuwa na mchango zaidi ya watoto wake katika upatikanaji. Yeye na wakina Matola waliridhika kabisa na TAA kuwa chama cha jamii na sio cha siasa. Wanae ndio walichangia kukibadilisha muelekeo.
Dictionary ni dictionary na mara zote haiendi deep kwenye jambo lolote. Kutajwa Kleist Sykes mle ndani hakumaanishi kuwa yeye ndie alikuwa zaidi ya watu wengine.
Aidha, hizi barua na risiti hazina maana yeyote kama haziunganishwi na tukio muhimu katika historia yetu. Zaidi ya hapo ni kama mtu kuwa na photo album ya picha ulizopiga na mtu maarufu. Tunafurahi kuona sura za wazee wetu na miandiko yao lakini hamna kitu zaidi ya hapo.

Amandla...
Fundi...
Hakuna shida ndugu yangu.

Muhimu ni kuwa historia hii haikuwako kabisa.

Mimi ndiye niliyeirejesha na imepokelewa vyema kabisa kote vyuoni inakosomeshwa African History.

Hayakuishia hapo.

Nikapata kazi nyingi za kuandika historia na vitabu nilivyoandika vikachapwa na Oxford University Press, Nairobi na New York.

Vitabu vingine vimechapwa na wachapaji wa Tanzania na Kenya.

Ikiwa hayo kwako si lolote ndipo nimetanguliza kusema hakuna shida ndugu yangu.

Miaka 25 bado kitabu cha Abdul Sykes kinajadiliwa.

"Nyerere Biography" (2020) umekisikia popote kinajadiliwa?

Mimi ndiye ninaekitaja hapa peke yangu.
 
Mzee Mohamed Said, Wewe ni unaandika historia ya Uhuru wa Tanganyika au unaandika Historia ya Waislam katika harakati za Uhuru wa Tanganyika?
Mpasuaji...
Nimeandika kitabu kinaitwa: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika."
 
Back
Top Bottom