Tufanye nini na hizi clip zinazopotosha Historia ya Tanzania?

Tufanye nini na hizi clip zinazopotosha Historia ya Tanzania?

Unazeeka vibaya Sana Dini inakuumiza kichwa sana
Tupatie mambo mazuri yasio nachembe za udini..

Dunia ya leo watu hawahadaiki na mambo ya dini.

Upo sahii lakini sio kwa kila mtu.

Wambie watanzania historia yetu inabebwa na upendo wa udugu kusaidiana na kushirikiana katika maswala mtambuka na sio kwa sababu ya dini.
 
Unazeeka vibaya Sana Dini inakuumiza kichwa sana
Tupatie mambo mazuri yasio nachembe za udini..

Dunia ya leo watu hawahadaiki na mambo ya dini.

Upo sahii lakini sio kwa kila mtu.

Wambie watanzania historia yetu inabebwa na upendo wa udugu kusaidiana na kushirikiana katika maswala mtambuka na sio kwa sababu ya dini.
Von...
Nimeeleza hapa mara nyingi kuwa hili si jambo la dini ila historia ya uhuru wa Tanganyika ilivurugwa kwa makusudi kupoteza mchango wa wazee wangu katika kupigania uhuru.

Nimekaa kitako nimeiandika na sasa ni historia mashuhuri.

Historia hii sikuiandika leo.

Nimeiandika nikiwa kijana sana katika umri wa miaka 30.

Hakika historia yetu imebebwa na udugu.

Nitakuwekea hapa picha kama ushahidi wa udugu huu na nitakuachia wewe kuweka caption ya picha hizo.

Hakika hapakuwa na hoja ya dini kwani lingekuwako suala la dini Sheikh Hassan bin Ameir Mufti wa Tanganyika katika miaka ya 1950 asingemuunga mkono Nyerere kuchukua uongozi wa TAA 1953 kisha uongozi wa TANU 1954.

Kwa kuhitimisha ningependa unieleze imekuwaje na nini kimetokea leo tuko katika hali hii?

1677619654566.jpeg

1677619723870.png

1677619791948.jpeg

1677619852687.png

Von...
Hapakuwa na sababu ya kunikejeli kuwa ''nazeeka vibaya.''

Wewe kijana lakini katika maandishi yako sikuona fikra pevu ila kejeli dhidi yangu.

Picha hizo hapo juu za historia ya maisha ya Julius Nyerere alivyoishi na wazee wetu.

Nakuachia wewe kutuweka maelezo ya picha hizo.
Ukishindwa sema mimi nitaweka maelezo.

Baadhi ya wazee hao mimi nimewafahamu nakua Dar es Salaam ya 1960s napata akili nawaona na wengine niliwadiriki katika uhai wao na nikazungumzanao wakati naandika historia ya uhuru.

Wote wazee hawa niliozungumzanao waliniombea dua njema nikamilishe historia yao katika kuligania uhuru wa Tanganyika.
 
We niwa kupuuzwa. Waislam walikuwa taasisi ipi iliyotaifishwa na serikali? Taasis zilitaifishwa ni za kanisa. Mkapa aliwapa waislamu chuo cha TANESCO Morogoro bure kabisa ndio chuo kikuu pekee cha waislamu. Waislamu hawana uwezo hata wa kujenga chuo chao. Niambie zaidi ya kile chuo kikuu chenu qameongeza nini. Hata kufungua tawi Dsm wameshindwa. Ni watu wavivu, walalamishi, wa kupenda kupendelewa.
Hiyo aloandika jamaa inaitwa "SARCASM".
 
Huyu mzia kazidiwa na uraibu wa dini yake, anahitaji msaada mkubwa.
Unaangalia kila kitu kwa miwani ya dini inakua ngumu kuKuchukulia seriously.

Kiarabu ni official language TZ? Kama ni official language Znz, kwanini hujalalamika huyo mtu kusema ni official language hadi TZ mainland?
 
Watu wote wenye akili na mapenzi mema na nchi hii watahakikisha inaendelea kubaki secular, na historia yake yote inaendelea kubaki secular.
 
Watu wote wenye akili na mapenzi mema na nchi watahakikisha inaendelea kubaki secular, na historia yake yote inaendelea kubaki secular.
Yoda,
Kitabu cha Abdul Sykes kimesahihisha historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika iliyokuwa na makosa mengi sana.

Angalia: Kimambo na Temu (1969), Olotu (1971) na Chuo Cha CCM Kivukoni (1977).

Vitabu hivi vyote havikueleza mchango mkubwa wa Waislam katika kuwasha moto wa kudai uhuru wa Tanganyika.

Historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Julius Kambarage Nyerere mwenyewe imeambatana na Waislam sana.

Ukisoma kitabu changu hili utaliona wazi kabisa.

Sikuandika kuhusu utukufu wa dini ya Kiislam au kusema kuwa Tanganyika ilikusudiwa kuwa nchi ya Kiislam.

Historia ya uhuru wa Tanganyika imebadilika baada ya kuandika kitabu hiki.

Kitabu kimependwa sana na katika miaka 25 ya kuchapwa kwake kimetolewa matoleo manne.
 
Fundi...
Hakika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ni historia ya Waislam na kitabu changu kimesema hivyo: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika."

Mimi sitaabishwi na vipi utatafsiri maneno yangu.

Naweza nikipenda nikakunyamazia kama baadhi ya watu wanavyonishauri.

Hii ni historia ya wazee wangu na nimeiandika kwa msaada wao wengine wameushi na kukiona kitabu na wengine wametangulia mbele ya haki kabla ya kazi kukamilika.

Ninachoshukuru ni kuwa Mwalimu Nyerere kakidiriki kitabu na kakisoma.

Kutokana na kitabu hiki ndipo alipomkubalia Prof. Haroub Othman atengeneze jopo waandike maisha yake.

Mazungumzo ya Mwalimu Nyerere na Prof. Haroub Othman ninayo nimeyahifadhi kama nilivyoyapokea kutoka kwake.

Nilikuwa mmoja wa watu waliochangia kitabu hicho katika kueleza historia ya Mwalimu Nyerere alivyopokelewa na wazee wangu alipofika Dar es Salaam mwaka wa 1952.

Nalishukuru jopo hili kwa kueleza kuwa Maktaba yangu ni katika maktaba tatu bora zilizohifadhi kumbukumbu nyingi za Babu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Maktaba nyingine ni ya Salim Ahmed Salim na ya Brig.General Hashim Mbita.
Picha hiyo hapo chini TBC 1 wakinihoji kuhusu Nyerere Biography

View attachment 2532175
Kulia ni Bi. Chiku bint Said Kisusa (mke wa Shariff Abdallah Attas), Bi. Titi MOhamed na kushoto ni Bi. Tatu bint Mzee, Julius Nyerere ni huyo hapo wakimuaga safari ya kwanza UNO 1955.
hivyo sasa vitabu ulivyoshika ndivyo vinafundishwa kuanzia primary mpaka chuo kikuu,na ndiyo historia rasmi ya Tanganyika.

huwezi kumdogosha Nyerere hata utumie nguvu gani mpaka unaenda mwanandani.
 
hivyo sasa vitabu ulivyoshika ndivyo vinafundishwa kuanzia primary mpaka chuo kikuu,na ndiyo historia rasmi ya Tanganyika.

huwezi kumdogosha Nyerere hata utumie nguvu gani mpaka unaenda mwanandani.
Lukubuzo...
Laiti ningeliandika kitabu changu kwa nia ya kumdogosha Mwalimu ningekiua hiki kitabu na leo wewe usingekuwa hapa unamtaja Mwalimu.

Kitabu changu kimepata umaarufu kwa kusahihisha historia ya TANU watu wakamsoma Mwalimu katika historia ya kweli.

Mfano wanaposoma mkutano wa mwaka 1953 nyumbani kwa Hamza Mwapachu yeye mwenyewe Hamza akiwepo pamoja na Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe wakimjadili Mwalimu na kukubaliana kuwa aingizwe kwenye uongozi wa juu wa TAA.

Hamza anamkabidhi jukumu hilo Abdul na Abdul akatekeleza kama alivyoelekezwa na Mwapachu.

Hivi ndivyo kitabu changu kilivyoweza kuwavutia wasomaji wengi na kuingia katika Cambridge Journal of African History na kutoka hapo historia hii ikaingizwa katika Dictionary of African Biography (DAB).

Waliofanya haya hawakufanya kwa nia ya kumdogosha Mwalimu ila kuiweka historia sawa.

1679671825926.png
 
Sawa. Imani kubwa hapa nchini ni Uislamu. Waislamu ndio waliongoza mapambano yote ya kudai uhuru. Ukoo wa Sykes ulikuwa na nafasi ya kipekee katika mapambano hayo. Kinachosikitisha ni kuwa Nyerere aliwasahau kabisa baada ya uhuru na maisha yao kama ilivyokuwa kwa waislamu wengi yalikuwa duni.

Kabla ya uhuru waislamu walikuwa na shule na hospitali nyingi ambazo Nyerere alizitaifisha ili kuwapa nafasi wakristu wenzake wafikie kiwango cha elimu na ustaarabu wa waislamu. Hakuishia hapo, alihakikisha kuwa maksi zote za vijana wa kiislamu katika mitihani zilikuwa zinabadilishwa na kupewa wakristu. Nyerere huyo huyo alitaifisha mali za waislamu na kuwapa wakristu.

Hali hiyo iliendelezwa na Mkapa ambae aliondoa mazuri yote yaliyofanywa na Mwinyi. Mkapa alifikia hatua ya kuchukua chuo kikuu cha taasisi ya serikali na kukikabidhi kwa wakristu wenzake. Hali ilikuwa nzuri kidogo wakati wa Jakaya lakini John alipoingia aliharibu tena. Sasa hivi kidogo inaenda vizuri baada ya Mheshimiwa Samia kuwa Rais. Hawa wakristu hasa wakatoliki sio watu wa kuwafanyia masihara kabisa.

Amandla...
Kila dalili ya homa ya mgunda inaonekana kwako sheikh
 
Kila dalili ya homa ya mgunda inaonekana kwako sheikh
Dudu...
Historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere katika harakati hizo ni changamoto kubwa kwa wasomi na wanahistoria wetu.

Siwalaumu.

Inahitaji mtu shujaa kweli kweli kueleza historia hii kwa ukweli wake unaostahili.

Unaelezaje mchango wa Waislam maarufu waliounda African Association 1929 lakini wamefutwa katika historia ya TANU?

Unaelezaje kupigwa marufuku na serikali EAMWS na kuundwa BAKWATA wakati ilikuwa inajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968?

Unajibu nini utakapoulizwa nini ilikuwa nafasi ya Julius Nyerere katika matatizo yote haya?

Nimeandika kitabu na yote haya nimeyaeleza kama yalivyostahili kuelezwa.

Kitabu hiki naamini unakijua au umepata kukisikia kimebadili si historia ya uhuru wa Tanganyika na TANU bali hata historia ya Julius Nyerere.

Kitabu kinakwenda toleo la tano toka kuchapwa mara ya kwanza 1989.

Haya si mambo ya maskhara, kejeli na kufanya utani.
 
Ukristo ndio ulianza

Historia ya wamisionari wa kwanza ipo wazi.

Pia hakuna haja ya kugombana na vitu vilivyo wazi.

Huko kwetu bara miaka ile nakua akisikika mtu wa dini nyingine ilikuwa ni mshangao.

Imefika miaka hii kila kitu kipo wazi, hakuna tena wa kushangaa dini ya mwingine, labda Mungu mwenyewe huko aliko ambako kuna siri kubwa.
 
Sawa. Imani kubwa hapa nchini ni Uislamu. Waislamu ndio waliongoza mapambano yote ya kudai uhuru. Ukoo wa Sykes ulikuwa na nafasi ya kipekee katika mapambano hayo. Kinachosikitisha ni kuwa Nyerere aliwasahau kabisa baada ya uhuru na maisha yao kama ilivyokuwa kwa waislamu wengi yalikuwa duni.

Kabla ya uhuru waislamu walikuwa na shule na hospitali nyingi ambazo Nyerere alizitaifisha ili kuwapa nafasi wakristu wenzake wafikie kiwango cha elimu na ustaarabu wa waislamu. Hakuishia hapo, alihakikisha kuwa maksi zote za vijana wa kiislamu katika mitihani zilikuwa zinabadilishwa na kupewa wakristu. Nyerere huyo huyo alitaifisha mali za waislamu na kuwapa wakristu.

Hali hiyo iliendelezwa na Mkapa ambae aliondoa mazuri yote yaliyofanywa na Mwinyi. Mkapa alifikia hatua ya kuchukua chuo kikuu cha taasisi ya serikali na kukikabidhi kwa wakristu wenzake. Hali ilikuwa nzuri kidogo wakati wa Jakaya lakini John alipoingia aliharibu tena. Sasa hivi kidogo inaenda vizuri baada ya Mheshimiwa Samia kuwa Rais. Hawa wakristu hasa wakatoliki sio watu wa kuwafanyia masihara kabisa.

Amandla...
Huyu mzee Mohamed Said ana maradhi mabaya sana dhidi ya wakristu. Ni full mujahidina huyu
 
Hv huwa hakuna kitu kingine significant Cha kuitambulisha TZ zaidi ya dini?,kwanini hatushabikii vitu kama sayansi,tekinolojia,
Yaani akili yetu yote imejaa upuuzi wa kidini,utafikiri ni kitu Cha kuweka ugari mezani.
Badala ya kusumbuliwa na vitu vya maana,kama,ukweli kwamba Ukraine ndio Taifa linalouza ngano nyingi duniani,Afrika na ardhi yake yote wanategemea ngano kutoka Ukraine,yaani nchi ipo vitani,lakini Bado tunaitegemea itupe ngano!,sie ambao tupo kwenye amani,hakuna kitu
 
Huyu mzee Mohamed Said ana maradhi mabaya sana dhidi ya wakristu. Ni full mujahidina huyu
Stux...
Hakika yanaweza kuwa ni maradhi.

Hakuna jamii inayoweza kukubali kufutiwa historia yake khasa inapokuwa walioifuta wamefanya hivyo kwa kutaka kufifilisha dini ya wanajamii hiyo.

Kama sijaumwa na kitendo hicho nini kitaniuma?

Maradhi yaliyoikumba historia yetu yameponyeshwa na dawa hizo.

Ikiwa utapenda kuniita Mujahid hii kwangu ni sifa nzuri ninayoitamani niwe nayo.

Nimeandika vitabu kadhaa kuhakikisha kuwa historia hii haipotezwi tena kamwe.

Na wasomi wa historia ya Afrika wakaniunga mkono.

Historia hii imo katika Cambridge Journal of African History na Dictionary of African Biography (DAB) history ambayo Tanzania ilifutika kabisa.

Maradhi yaliyoathiri historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika yameponyeshwa na dawa hizo hapo juu.
 
Hv huwa hakuna kitu kingine significant Cha kuitambulisha TZ zaidi ya dini?,kwanini hatushabikii vitu kama sayansi,tekinolojia,
Yaani akili yetu yote imejaa upuuzi wa kidini,utafikiri ni kitu Cha kuweka ugari mezani.
Badala ya kusumbuliwa na vitu vya maana,kama,ukweli kwamba Ukraine ndio Taifa linalouza ngano nyingi duniani,Afrika na ardhi yake yote wanategemea ngano kutoka Ukraine,yaani nchi ipo vitani,lakini Bado tunaitegemea itupe ngano!,sie ambao tupo kwenye amani,hakuna kitu
Juan...
Huko kwenye udini usiguse.
Mimi nakuogopa.

Waliosabisha matatizo haya si Waislam.

Soma kitabu cha Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).

Kitabu cha Njozi serikali imekipiga marufuku.

Hivyo viwili vingine vilikuwa vikiuzwa Cathedral Bookshop lakini vimetolewa katika mzunguko havitakiwi kusomwa.

Usidhani mimi naandika upuuzi hapa.
 
Mujahid hii kwangu ni sifa nzuri ninayoitamani niwe nayo.
We mzee kalale sasa, unajua nyie wavaa kobazi ni majuha kupindukia,
We kila muda unazungumzia vitabu vitabu, Udini udini, Sykes blaah blaah sijui nilikua Wapi na wapi wakati huko watu wapo kila siku.
Embu usilete upumbavu.
Mwl Julius Nyerere ni baba wa taifa hili.
Sasa hata heshima yako hapa inateketea kwa ajili ya mambo yako ya ajabu ajabu na Udini.
 
Stux...
Hakika yanaweza kuwa ni maradhi.

Hakuna jamii inayoweza kukubali kufutiwa historia yake khasa inapokuwa walioifuta wamefanya hivyo kwa kutaka kufifilisha dini ya wanajamii hiyo.

Kama sijaumwa na kitendo hicho nini kitaniuma?

Maradhi yaliyoikumba historia yetu yameponyeshwa na dawa hizo.

Ikiwa utapenda kuniita Mujahid hii kwangu ni sifa nzuri ninayoitamani niwe nayo.

Nimeandika vitabu kadhaa kuhakikisha kuwa historia hii haipotezwi tena kamwe.

Na wasomi wa historia ya Afrika wakaniunga mkono.

Historia hii imo katika Cambridge Journal of African History na Dictionary of African Biography (DAB) history ambayo Tanzania ilifutika kabisa.

Maradhi yaliyoathiri historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika yameponyeshwa na dawa hizo hapo juu.

Mzee sheikh Mohammed unazani kuna umuhimu wa familia za wapigania uhuru wa Tanzania ambao wengi ni waislam kupewa tuzo? Au wapewe zawadi yoyote kwa kuthamini mchango wao ni kuombwa samahani baada ya Nyerere kutowathamini? Au nini kifanyike maana kizazi cha sasa ndo kabisa hawajui hayo mambo na wanaenda kufutika kweli hao wadai wa uhuru OG
 
Mujahid hii kwangu ni sifa nzuri ninayoitamani niwe nayo.
We mzee kalale sasa, unajua nyie wavaa kobazi ni majuha kupindukia,
We kila muda unazungumzia vitabu vitabu, Udini udini, Sykes blaah blaah sijui nilikua Wapi na wapi wakati huko watu wapo kila siku.
Embu usilete upumbavu.
Mwl Julius Nyerere ni baba wa taifa hili.
Sasa hata heshima yako hapa inateketea kwa ajili ya mambo yako ya ajabu ajabu na Udini.
Na Chuki zako kwa dini zingine.
Im Pagan anyway
 
Back
Top Bottom