Tufundishane/ tueleweshane kidogo kuhusu timu kubwa barani Africa, hapa ndo tunajifunza na kuelewa

Tufundishane/ tueleweshane kidogo kuhusu timu kubwa barani Africa, hapa ndo tunajifunza na kuelewa

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Ukiondoa zile ranks zilizotolewa na CAF katika timu bora na mambo mengine

Ni sifa zipi ambazo zinasema kwamba hii timu ni TIMU KUBWA

Tuendelee kujifunza, elimu haina mwisho
 
Timu kubwa huwa inafundiswa na Kocha mwenye Degree au Profesa. Inaachana na Makocha wenye Diploma.

Timu kubwa haifanyi mizengwe ya kusingizia wachezaji muhimu wa timu pinzani kuwa wana Covid -19 huku wakijisahaulisha kuwa nao watasafiri kwenda huko ugenini.
 
Back
Top Bottom