Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Were hujapata ajali!? Wenzako wamegonga treni huko
 

Weka vipicha basi vya wale warembo na vicondom vyao bwana
 
Hivi sasa mjini Moshi baa kuuza kreti mbili za bia kwa siku ni ishu na nyamachoma ile ya Majengo siyo ile uijuayo kwishney! Marasioni angalau inawakeshesha watu wakigida, kula na kulana ili wasichelewe kuamkia marasioni, wepesiiiii kama unyoya wa kifaranga.
 
Tafuta Post ya mwaka jana baada ya Kili Marathon usome mkesha wa Majengo kuamkia uwanjani, huu ni muendelezo na hauzungumzii wanaotoka nje ya nchi.
 
Hizi Takwimu zako zinakibali cha NBS?; kumbuka sheria ya takwimu ipo na inafanya kazi na mwenye sheria yake ni shangazi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…