Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Kwani Samia si alikuwa mgombea mwenza wa Magufuli?na walipoapishwa Magufuli kuwa Rais na Samia Makamu inamaana kipindi chao cha pili kilikuwa kiishe Oktoba 2025;baada ya Magufuli kufariki Samia anaapishwa kumalizia muda uliobaki wa Magufuli;sasa Machi 2026 umeitoa wapi?
.....Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu)........
Mambo ya awamu ni miongozo ya ccm, ambayo hayawahusu WaTz wote. Katiba inaongelea kipindi cha miaka mitano, bila ya kujali aliyechaguliwa yu hai ama mbadala wake unamalizia hicho kipindiHizo AWAMU zipo kwenye katiba? au ni vitu tu vya kujitungia, yaani hilo neno AWAMU limeandikwa kwenye katiba kuwa AWAMU ya kwanza itakuwa hivi na hivi na yapili .......
Case closed
Mkuu;Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".
Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.
Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).
Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.
Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
Usitishe watuHuwezi kujificha, kosa la maudhui yanakuhusu. Kama hujui mabadiliko ya sheria ya mtandao hili unalo hata uwe Mbinguni tutakufikia ueleze maudhui Yako. Mwenzio aliyetumia ghost account humu Leo yuko Keko. Hauko salama udhaiavyo.
Samia aligombea Uwenza ili hatimaye aje kuwa Makamu wa Rais si Rais. Samia hamalizii Awamu ya Jiwe mbona hamuelewi? Kwa nini ni AWAMU YA SITA? JPM alitawala awamu ya ngapi?
Hoja yako siipingi...unataka kusema hata wabunge na madiwani ukomo wao uwe 2026 au kutakuwa na chaguzi 2 ktk kipindi Cha mwaka 1..Endelea kusoma vizuri uelewe.!Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".
Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.
Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).
Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.
Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
Wewe katiba huijui na hujui kwamba rais akifariki makamu wa rais anashika kiti cha rais?Samia aligombea Uwenza ili hatimaye aje kuwa Makamu wa Rais si Rais. Samia hamalizii Awamu ya Jiwe mbona hamuelewi? Kwa nini ni AWAMU YA SITA? JPM alitawala awamu ya ngapi?
👍🤝👏🙏Awamu ni maneno ya kisiasa unaweza kutunga vyovyote, unaweza hata kusema awamu ya tano na nusu, si jambo la kisheria wala kikatiba.
Katiba haina neno awamu.
Alishasema kuwa Katiba sio Msaafu, so Acha kuamini upumbavuNaamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.
Hahahaha wakajipange upya kwa kweliWewe katiba huijui na hujui kwamba rais akifariki makamu wa rais anashika kiti cha rais?
Hiyo katiba unayoitajataja umeisoma?
Unaeleea mtu akiwa mgombea mwenza anakuwa makamubwa rais na makamu wa rais anakuwa rais wakati wowote rais akifariki?
Mtu anatajataja katiba katiba, katiba katiba.Hahahaha wakajipange upya kwa kweli
Soma tena vizuri katiba kwa kuangazia ibara ya 40 kifungu kidogo cha 4.Wajumbe, aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021 hapo Mzena kisha Samia Suluhu Hassan kutangaza kifo chake saa 5:57 usiku "akiwa ziarani Tanga".
Baada ya hapo aliyekuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitawazwa kuwa Rais wa JMT. Katiba yetu inaelekeza kuwa Rais atakuwa madarakani kwa miaka 5 (si minne wala sita) na kama atataka kugombea tena kwa awamu ya pili na ya mwisho basi ataomba ridhaa kwa chama chake.
Katiba imeweka bayana kuwa Rais ataacha Urais kwa (1) kufariki
(2) Kuumwa na kushindwa kutekeleza majukumu yake na (3) kwa kujiuzulu. Katiba haisemi kwamba Rais akipatwa na hayo matatu let's say ndani ya miaka minne basi atakayemrithi atamalizia awamu yake (marehemu).
Naamini hii ndiyo maana uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umetambuliwa kama Awamu ya Sita na si ya Tano. Kama ni hivyo basi, tutakuwa hatujamtendea haki Rais Samia Suluhu Hassan endapo tutafanya uchaguzi Mkuu Oktoba mwakani Jumapili ya mwisho maana haitokidhi matakwa ya Katiba ya miaka mitano madarakani.
Kwa hiyo tuheshimu Katiba na haki ya Samia tufanye uchaguzi mwezi machi 2026 siku aliyoapishwa. Ova!
Kuliko kuwa na Rais ambayo ni product ya failed CCMHii nchi Bora kusiwe na rais.
Hili sio suala la fani, bali la kusoma na kuelewa.Mkuu umevamia fani. Waachie waliolipa ada na kukaa darasani wakaisoma constitutional law