Tuheshimu Katiba. Uchaguzi Mkuu ufanyike 2026

Tuheshimu Katiba. Uchaguzi Mkuu ufanyike 2026

Kiranga ,Huo mlolongo uloweka Si Bure,

Magu to Samia

Samia to Mpango,

Mpango to konda,

Konda to Saba ya.


KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi ni muhimu mno.
Aaah, kama kawaida yetu.

Tunaacha hoja na kushikilia mfano 🤣🤣🤣.

Point yangu ni kwamba, usipokuwa na miaka fixed ya uchaguzi, unaweza kwenda miaka 100 bila uchaguzi.
 
Huwezi kujificha, kosa la maudhui yanakuhusu. Kama hujui mabadiliko ya sheria ya mtandao hili unalo hata uwe Mbinguni tutakufikia ueleze maudhui Yako. Mwenzio aliyetumia ghost account humu Leo yuko Keko. Hauko salama udhaiavyo.
Kwani wewe umeelewa Nini hapo!?
 
Unataka nawewe uwe umegundua kakitušŸ˜‚šŸ˜‚ tatizo maarifa madogo na elimu duni huwezi toboa eroo... we kaa kutulia.
 
Back
Top Bottom