Tuhuma alizozitoa Wenje na majibu aliyoyatoa K/Mkuu John Mnyika, kwa nini Wenje bado ni mwanachama wa CHADEMA?

Tuhuma alizozitoa Wenje na majibu aliyoyatoa K/Mkuu John Mnyika, kwa nini Wenje bado ni mwanachama wa CHADEMA?

Wenje ametoa tuhuma nzito kuwa pesa za Join The Chain pamoja na Chadema digital zinatumika kwa ajili ya kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA.

Katibu Mkuu wa upande wake amemjibu Wenje kuhusu ukuswaji,matumizi na ukaguzi wa CAG wa fedha hizo. Hivyo Wenje amedhihirika kutumia uswahiba wake na Abdul na mama yake kujenga misingi ya kuipasua CHADEMA. Hatua ya awali kupokea na kugawa pesa zinazodaiwa ni za rushwa kwenye chaguzi za chama, pili kusema uongo unaokituhumu chama na mifumo yake kuwa ni wabadhirifu
Tatu kwa kusema uongo dhidi ya chama

Je kwa katiba na kanuni za CHADEMA, Wenje anapaswa kuendelea kuwa mwanachama wake?
Upo sahihi, ndiyo maana hata Lemaalisema, mtu kama Dr. Slaa anastahili kurudi CHADEMA na kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, kikubwa amalizane na Wanachama, lakini mtu kama Wenje, anashangaa kwanini bado yupo CHADEMA, sababu anastahili kufukuzwa.
 
Wenje ametoa tuhuma nzito kuwa pesa za Join The Chain pamoja na Chadema digital zinatumika kwa ajili ya kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA.

Katibu Mkuu wa upande wake amemjibu Wenje kuhusu ukuswaji,matumizi na ukaguzi wa CAG wa fedha hizo. Hivyo Wenje amedhihirika kutumia uswahiba wake na Abdul na mama yake kujenga misingi ya kuipasua CHADEMA. Hatua ya awali kupokea na kugawa pesa zinazodaiwa ni za rushwa kwenye chaguzi za chama, pili kusema uongo unaokituhumu chama na mifumo yake kuwa ni wabadhirifu
Tatu kwa kusema uongo dhidi ya chama

Je kwa katiba na kanuni za CHADEMA, Wenje anapaswa kuendelea kuwa mwanachama wake?
Imekuwa ni nafasi nzuri ya kuwafahamu wanasiasa uchwara wanaoropoka bila kujua wayasemayo. Najiuliza Wenje at his rank anawezaje kuzungumza akiwa hana concrete evidence? What if FAM akibwaga manyanga na kumsuport Lisu Wenje atakuwa upande upi? Amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe!
 
Unadhani Dulla anamwamini Wenje?🐼

MTU unayeweza kumtumia dhidi ya adui Yako atatumika dhidi Yako pia, ndio kanuni Duniani kote 😂😂
Upo sahihi. Sema Wenje kichwani inaonekana amejaa makamasi tu. Yaani kichwa chake ni kopo la kuhifadhia kamasi. Yaani kila anapoongea anaharibu zaidi. Kila akiongea ni afadhali na jana.🤣 Mwenyekiti wangu ndo anapenda watu kama hawa akina Ntobi ..
 
Subiri uchaguzi upite maana tayari tumeshaambiwa yeye ni PROJECT...
Uwepo wake sasa hivi ni kiashiria cha ubakaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA.

Kusambaza pesa za Abdul na mama yake ni bonge la boriti
 
Wenje ametoa tuhuma nzito kuwa pesa za Join The Chain pamoja na Chadema digital zinatumika kwa ajili ya kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA.

Katibu Mkuu wa upande wake amemjibu Wenje kuhusu ukuswaji,matumizi na ukaguzi wa CAG wa fedha hizo. Hivyo Wenje amedhihirika kutumia uswahiba wake na Abdul na mama yake kujenga misingi ya kuipasua CHADEMA. Hatua ya awali kupokea na kugawa pesa zinazodaiwa ni za rushwa kwenye chaguzi za chama, pili kusema uongo unaokituhumu chama na mifumo yake kuwa ni wabadhirifu
Tatu kwa kusema uongo dhidi ya chama

Je kwa katiba na kanuni za CHADEMA, Wenje anapaswa kuendelea kuwa mwanachama wake?
Huyo alitumwa na chairman
 
Wenje ametoa tuhuma nzito kuwa pesa za Join The Chain pamoja na Chadema digital zinatumika kwa ajili ya kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA.

Katibu Mkuu wa upande wake amemjibu Wenje kuhusu ukuswaji,matumizi na ukaguzi wa CAG wa fedha hizo. Hivyo Wenje amedhihirika kutumia uswahiba wake na Abdul na mama yake kujenga misingi ya kuipasua CHADEMA. Hatua ya awali kupokea na kugawa pesa zinazodaiwa ni za rushwa kwenye chaguzi za chama, pili kusema uongo unaokituhumu chama na mifumo yake kuwa ni wabadhirifu
Tatu kwa kusema uongo dhidi ya chama

Je kwa katiba na kanuni za CHADEMA, Wenje anapaswa kuendelea kuwa mwanachama wake?
Lissu si ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili? Amuite amuadabishe kama yeye ni msafi!
 
Back
Top Bottom