Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ya Chuo hicho hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuoneHuyu atafaulishwa
hakuna chuo hapoNgoja tuone
Ohoooo !!!!hakuna chuo hapo
Mpaka kufikia hapa huenda tayari.Huyu atafaulishwa
Kiukweli kwa tuliosoma Elimu ya Juu kunaHebu tutajie elimu yako na vyuo ulivyosoma.
Asante kwa taarifaKwa Utafiti nilioufanya Open University of Tanzania is a Best Univetsity kuliko vingine
Nashangaa mtu anasema OUT chuo cha kise.nge..hatari hii. Aende akasome aone joto yake.Kiukweli kwa tuliosoma Elimu ya Juu kuna
vyuo ambavyo vina jina kubwa na Mitaala
Mikubwa Lakini ili ufaulu inategemea namna ulivyo. Lakini vyuo vya Kidini kama TEKU na O.U.T hakuna degree za Chupi na za niongezee maksi usipogikisha Course Work.
Infact, kuna Wanaosoma baadhi ya vyuo sitaki kuvitaja ila acheni kuvichafulia vyuo bora kwakuwa mmesomea vyuo vya kufaulu
Kulingana na ulivyo au kipato chako kikoje.
kwahivyo kamanda unaskia uchungu sana moyoni kwa huyu mjamaa kudahiliwa kusoma chuo.....
Wewe mbona na Division zero yako hujaenda kuchukua hiyo degree hapo OUT!Hv hiki chuo ndiko wenye div 0 na iv wanaendaga kujichukulia yale makaratasi ya vyeti halafu wanapandishani vyeo maofisini ili wapate mishahara mikubwa
Kuliko vingine vipi?Kwa Utafiti nilioufanya Open University of Tanzania is a Best Univetsity kuliko vingine
Kazi yetu hapa jf ni kukuletea kila kinachoendelea ndani na nje ya mipaka ya nchi yako , hatuangalii nani wala nini .kwahivyo kamanda unaskia uchungu sana moyoni kwa huyu mjamaa kudahiliwa kusoma chuo.....
au unajiskia raha sana manung'uniko yako yameskizwa na kujibiwa au sio.....
Serikali sikivu is real!
Tena inaambatana na taasisi sikivu na makini sana kwa wadau wake kama wewe ulivyoskizwa na kujibiwa kwa niaba ya umma wa waTz...