Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
unafanya vizuri sana bila gubu inapendeza zaidiKazi yetu hapa jf ni kukuletea kila kinachoendelea ndani na nje ya mipaka ya nchi yako , hatuangalii nani wala nini .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafanya vizuri sana bila gubu inapendeza zaidiKazi yetu hapa jf ni kukuletea kila kinachoendelea ndani na nje ya mipaka ya nchi yako , hatuangalii nani wala nini .
Aiseeee !!Mi nilijua tu kwa akili za Napee hawezi kuwa amesoma chuo cha maana, yule bila ubini wa Nnauye ungekuta ni dereva bodaboda fulani huko kwao Lindi mwenye watoto kama 9 hv hadi mwakani 2024!.
Mtu na akili yako unaenda kusoma OUT, ...hicho cheti ukimaliza unampekea nani?...., Majority OUT ni failures wa form 4&6, chuo cha MambululaMi nilijua tu kwa akili za Napee hawezi kuwa amesoma chuo cha maana, yule bila ubini wa Nnauye ungekuta ni dereva bodaboda fulani huko kwao Lindi mwenye watoto kama 9 hv hadi mwakani 2024!.
Hivi Simbachawene alisoma wapi ?Mtu na akili yako unaenda kusoma OUT, ...hicho cheti ukimaliza unampekea nani?...., Majority OUT ni failures wa form 4&6, chuo cha Mambulula
Out tangu leo naomba tukiite.....BUMUNDA UNIVERSITY[emoji16][emoji16]
Sasa chuo kikuu huria nacho ni chuo kile au ni kwenda kujichukulia tu degree
Hiki chuo kinajiingiza kwenye matatizo
Aiseeeeee !!Hiki chuo kinajiingiza kwenye matatizo
Ngoja wakifunue vizuri
Chuo cha hovyo sana aisee
Mi nisome chuo cha vilaza? Unachekesha sana.Wewe mbona na Division zero yako hujaenda kuchukua hiyo degree hapo OUT!
Watu wanapambana kujiendeleza wewe umekalia majungu na upuuzi miaka nenda rudi.
Wewe unajua Wakili machachari Boniface Mwabukusi ni zao la Open University of Tanzania ( OUT).
Nape Moses Nnauye anazo sifa zote za kudahiliwa na OUT kama walivyobainisha.
Tatizo CHADEMA Kumejaa vijana wapumbavu pumbavu wasiotafuta fursa! Kila kitu wao ni ligi tu!
Kwani elimu ya afrika ni Nini mkuu. Si ni vyeti tu. Nenda jeshini uone uozo wa magenerali huko. Zero brains wote wapo jeshiniMi nikadome chuo cha vilaza? Unachekesha sana.
OUT hakuna elimu mnapeana makaratasi ya degree tu hamna zaidi. Weka hapa ranks za dunia OUT ni namba ngapi. Nioneshe machapisho ya wahadhiri wa OUT waliyochapisha wakiwa hapo OUT
Aliyeandika huu ufafanuzi nae ni kihiyo tu!
Ohoooooo!!!Duh aise
Wengi huwa wanakimbia Out kwa sababu ni pagumu sana kwa kusoma.Nashangaa mtu anasema OUT chuo cha kise.nge..hatari hii. Aende akasome aone joto yake.
Uko sahihi kwa 100%Hiki chuo ndiko wenye div 0 na iv wanaendaga kujichukulia yale makaratasi ya vyeti halafu wanapandishana vyeo maofisini ili wapate mishahara mikubwa na posho hasa huko goverment.
Unakuta mtu ana Masters ya OUT hawezi hata kuandika sentensi ya kiswahili iliyonyooka
"Is a best" ndio kiingereza gani?Kwa Utafiti nilioufanya Open University of Tanzania is a Best Univetsity kuliko vingine
Mazengo sec sch Dodoma, then technical college Arusha. Kipindi kile chuo kinatoa cheti Cha fundi umeme . Sasa usiulize Ni umeme wa magari au wa majumbani.Hivi Simbachawene alisoma wapi ?