Tuhuma za elimu ya Nape Nnauye yakiamsha Chuo Kikuu Huria

Tuhuma za elimu ya Nape Nnauye yakiamsha Chuo Kikuu Huria

Kiukweli kwa tuliosoma Elimu ya Juu kuna
vyuo ambavyo vina jina kubwa na Mitaala
Mikubwa Lakini ili ufaulu inategemea namna ulivyo. Lakini vyuo vya Kidini kama TEKU na O.U.T hakuna degree za Chupi na za niongezee maksi usipogikisha Course Work.
Infact, kuna Wanaosoma baadhi ya vyuo sitaki kuvitaja ila acheni kuvichafulia vyuo bora kwakuwa mmesomea vyuo vya kufaulu
Kulingana na ulivyo au kipato chako kikoje.
Duh!
Mkuu 'KingMwaisa', sikutaka kuweka maoni yangu kwenye mada hii, lakini baada ya kusoma bandiko lako hili, nikashindwa kabisa kujizuia kuandika chochote humu!

Basi, inatosha, sitaendelea kusema mengine zaidi.

Aaaah! Hapana, labda nimalize kwa kuuliza swali: Hicho chuo cha O.U.T. ni cha dhehebu gani la dini?
 
Mbowe hana hata sifa ya kujiunga Diploma, Form 6 alipata Div 0…!!

Div 0 maana yake wewe ni nunga kweli kweli, yaani kihiyo haswa, sio rahisi kupata Div 0 mjue, hadi uwe punguani haswa..!!
 
Hiki chuo ndiko wenye div 0 na iv wanaendaga kujichukulia yale makaratasi ya vyeti halafu wanapandishana vyeo maofisini ili wapate mishahara mikubwa na posho hasa huko goverment.

Unakuta mtu ana Masters ya OUT hawezi hata kuandika sentensi ya kiswahili iliyonyooka
Mkuu sijawahi kufikirika kwamba Chuo Huria nacho ni Chuo.Hii ni Institution ambayo ipo kwa ajili ya kuharibu higher education.To me graduate yeyote kutoka Chuo Huria ni kihiyo tu.Chuo Huria unafuata nini kama wewe ni capable.
 
Mbowe hana hata sifa ya kujiunga Diploma, Form 6 alipata Div 0…!!

Div 0 maana yake wewe ni nunga kweli kweli, yaani kihiyo haswa, sio rahisi kupata Div 0 mjue, hadi uwe punguani haswa..!!
Uko sure na unachokisema Mkuu?.

Kama Mh. Mbowe ana elimu uliyoitaja basi serikali ya CCM iliyosimamia watenda kazi wa 2005 wakaona anayo sifa yakuwa mgombea uraisi wa taifa hili wanamatatizo makubwa sana.

Sifa ya kielimu ili kugombea uraisi inajulikana wazi, sasa ilijuwaje chama makini kama CCM kuongoza serikali iliyompitisha kuwa mgombea uraisi 2005 kwa CHADEMA?.

Ninavyofahamu ni kuwa Mh. Mbowe ana shahada mbili za chuo kikuu.
 
Uko sure na unachokisema Mkuu?.

Kama Mh. Mbowe ana elimu uliyoitaja basi serikali ya CCM iliyosimamia watenda kazi wa 2005 wakaona anayo sifa yakuwa mgombea uraisi wa taifa hili wanamatatizo makubwa sana.

Sifa ya kielimu ili kugombea uraisi inajulikana wazi, sasa ilijuwaje chama makini kama CCM kuongoza serikali iliyompitisha kuwa mgombea uraisi 2005 kwa CHADEMA?.

Ninavyofahamu ni kuwa Mh. Mbowe ana shahada mbili za chuo kikuu.
Aisee,unachekesha kweli kweli,CCM ni chama makini,duh!Chenyewe kimejaa vihiyo na ndiyo maana kilimkubali kihiyo mwenzao.
 
Mbowe hana hata sifa ya kujiunga Diploma, Form 6 alipata Div 0…!!

Div 0 maana yake wewe ni nunga kweli kweli, yaani kihiyo haswa, sio rahisi kupata Div 0 mjue, hadi uwe punguani haswa..!!
Acha ujinga wako wewe! Yani Mbowe akose hata S-2 au E-2???
 
Aisee,unachekesha kweli kweli,CCM ni chama makini,duh!Chenyewe kimejaa vihiyo na ndiyo maana kilimkubali kihiyo mwenzao.
Hoja yangu imekuzidi uwezo Mkuu. Rudi kanisome upya na unganisha na niliye m-reply.

Mbona watanzania mna uwezo mdogo sana wa kuchambua hadi mambo mepesi kiasi hichi?
 
Aliyeandika huu ufafanuzi nae ni kihiyo tu!
Ni kilaza Kama alivyo Nape....!!!
Ameshindwa vipi kuandika hizo sifa eti Hadi mtu atafute Prospectus? Wameficha nini kuitaja hiyo sifa ya tatu, huko mwanzo wa barua wameanza na mbwembwe kibao iweje washindwe kuandika kile kilichohojiwa haswa?
Jinga sana!!!
Kilicho lalamikiwa kimefichwa, wangetoa hata copy waka unganisha kwenye hiyo barua.
 
Hiki chuo ndiko wenye div 0 na iv wanaendaga kujichukulia yale makaratasi ya vyeti halafu wanapandishana vyeo maofisini ili wapate mishahara mikubwa na posho hasa huko goverment.

Unakuta mtu ana Masters ya OUT hawezi hata kuandika sentensi ya kiswahili iliyonyooka
Master graduates wengi wa bongo hamna kitu kichwani bila kujali chuo alichosoma maana thesis zinaandikwa na watu wengine wao wananua tu.
Hata PhD zingine unashangaa mtu kapataje wakati page moja tu inamshinda kuandika lazima adese kazi ya mtu mwingine no starting from the scratch, no originality.
Elimu yetu bado sana! Vilaza ni wengi kila kona.
 
Hoja yangu imekuzidi uwezo Mkuu. Rudi kanisome upya na unganisha na niliye m-reply.

Mbona watanzania mna uwezo mdogo sana wa kuchambua hadi mambo mepesi kiasi hichi?
Wewe si umesema Mbowe alikubaliwa kugombea uraisi na CCM kwa kuwa ana sifa za kugombea urais,na sifa za kugombea urais ni ka-degree kamoja hata ka Chuo Huria.Ndio mimi nikasemaa,kakubaliwa na vihiyo wenzie wala si kwamba ana sifa za ka-degree kamoja,lakini kwa kuwa CCM nao hawana hako ka-degree ni kama yeye.Si unajua ndege wanao fanana wana ruka pamoja.
 
Wewe si umesema Mbowe alikubaliwa kugombea uraisi na CCM kwa kuwa ana sifa za kugombea urais,na sifa za kugombea urais ni ka-degree kamoja hata ka Chuo Huria.Ndio mimi nikasemaa,kakubaliwa na vihiyo wenzie wala si kwamba ana sifa za ka-degree kamoja,lakini kwa kuwa CCM nao hawana hako ka-degree ni kama yeye.Si unajua ndege wanao fanana wana ruka pamoja.
Usiishi kwa propaganda Mkuu.
 
Nashangaa mtu anasema OUT chuo cha kise.nge..hatari hii. Aende akasome aone joto yake.
uko sahihi,hata mimi kabla ya kuanza kusoma OUT nilikuwa naona chuo chepesi na marks nitapata kirahisi,ila baada ya kuanza kusoma aise mziki wake acheni kabisa, unapambana kutafuta marks kwa hali zote na hupati ,na kuna watu wanafeli pia,hivyo nafikiri mitazamo yetu inabidi kubadilika kwani wengi tumezoea vyuo vya kawaida lakini elimu ya masafa iko vizuri na yenye ubora uleule ambao vyuo vya kawaida vinavyo.
 
Back
Top Bottom