Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #141
Umemjibu vizuri san mkuu.Usingeandika huu ujinga wako kama hao wajinga wangevamia kwenu ,wakaanza kumpa kisago baba yako na mama yako na kuwajeruhi na wewe wakakupasua bila kosa lolote mlilofanya .
Unaandika huu upuuzi kwa vile sio wewe uliyekutwa na hili .
Jaribu kutumia akili badala ya makalio kabla ya kuandika comment
Kinasaidia kuleta heshima kwa kupiga watu wasiohusika wala kuwepo katika tukio mkuu?SIdhani kama wanaweza wakakemewa hadharani...
Ila kuna situations ambazo kichapo kinasaidia kuleta heshima.
Bado hujasemaHabari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, nafikiri wengi wetu hapa JF tumesikia, tumesoma na wengine kuona kile kinachosemekana kufanywa na jeshi letu, ambalo tumelipa jina la "Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Jeshi hilo tulilipa jina hilo kwa kuamini kwamba, jeshi hilo limeundwa kwa ajili ya kumlinda, na kumpigania mwananchi wa Tanzania.
Lakini pia liliundwa kwa ajili ya kuilinda mipaka ya Tanzania, pamoja na viongozi wa Tanzania akiwemo raisi wa nchi (ambae ni amiri jeshi wao mkuu) mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine mbali mbali. Hilo ndio lilikuwa lengo la kuundwa kwa jeshi hilo, lkn pia kupewa jina hilo (JWTZ)
Sasa inashangaza sana jeshi ambalo lingewalinda na kuwapigania wananchi, ndio linageuka kuwa jeshi la kuwapiga hovyo wananchi, kuwatesa wananchi na hata wengine kuwauwa wananchi bila sababu za msingi.
Yes tunajua kwamba kila binadamu ana mapungufu yake, hivyo wapo wananchi wanaofanya makosa, au mambo mabaya kwa jeshi letu. Lakini kuna sheria na mahakama ambavyo vinaweza kutumika kuwaadhifu wale wanaofanya mambo mabaya kwa jeshi letu, na sio jeshi hilo kukimbilia tu kujichukulia sheria mkononi mpaka kupelekea maafa kama yaliotokea Kawe na kwengineko.
Malalamiko ya wananchi au raia dhidi ya jeshi hayakuanza leo, ila cha kushangaza badala ya kumalizwa kwa njia ya amani, ndio yanazidi kuongezeka kwa njia za kuchochewa na jeshi hilo hilo lililopewa dhamana ya kutulinda.
Kwa kilichotokea juzi huko Kawe, nafikiri viongozi wengi wa kiserikali wanalifahamu, lkn kwa vile pengine sio wahusika wakuu wa maswala ya kiusalama ndio maana hawahitaji kuliingilia swala hili.
Hivyo sisi wananchi tunamuomba waziri husika wa ulinzi mama yetu Stergomena Tax, pamoja na waziri wa mambo ya ndani brother Masauni waingilie kati swala hili kwa kuonya, kulaani na kutolea maelezo swala husika.
Msingoje mpaka raisi aje kulizungumzia mwenyewe, na wakati nyinyi kama mawaziri mmepewa dhamana ya kutulinda.
Kwa niaba ya wananchi wanyonge, ni mimi mpigania haki zao Mr Dudumizi wa somewhere in Kawe.
Inategemea.Kinasaidia kuleta heshima kwa kupiga watu wasiohusika wala kuwepo katika tukio mkuu?
MmhInategemea.
we kenge mkaiheshimu jeshi, kaa mbali na wanajeshi. Mmezidi kuwawajuaji, hata hapa umeandika utumbo we hujui majukumu ya jeshi. Mnapimana nguvu na wanajeshi. Mbona wapumbavu hivyo? Au ulifikiri jeshi km hicho chama chenu ambapo mmezoea malamishi na uwongo? Mi naona hao wanajeshi wa Kawe ni wastaarabu sana, ingekuwa makambi mengine leo hii kusingelikuwa na kijana wa kiume hapo kawe. Mnamwua mwanajeshi? Kweli halafu unakuja kuandika humu bila hata haya? Nyie ni vile vitoto vya single mothers, Pumbav kabisaHabari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, nafikiri wengi wetu hapa JF tumesikia, tumesoma na wengine kuona kile kinachosemekana kufanywa na jeshi letu, ambalo tumelipa jina la "Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Jeshi hilo tulilipa jina hilo kwa kuamini kwamba, jeshi hilo limeundwa kwa ajili ya kumlinda, na kumpigania mwananchi wa Tanzania.
Lakini pia liliundwa kwa ajili ya kuilinda mipaka ya Tanzania, pamoja na viongozi wa Tanzania akiwemo raisi wa nchi (ambae ni amiri jeshi wao mkuu) mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine mbali mbali. Hilo ndio lilikuwa lengo la kuundwa kwa jeshi hilo, lkn pia kupewa jina hilo (JWTZ)
Sasa inashangaza sana jeshi ambalo lingewalinda na kuwapigania wananchi, ndio linageuka kuwa jeshi la kuwapiga hovyo wananchi, kuwatesa wananchi na hata wengine kuwauwa wananchi bila sababu za msingi.
Yes tunajua kwamba kila binadamu ana mapungufu yake, hivyo wapo wananchi wanaofanya makosa, au mambo mabaya kwa jeshi letu. Lakini kuna sheria na mahakama ambavyo vinaweza kutumika kuwaadhifu wale wanaofanya mambo mabaya kwa jeshi letu, na sio jeshi hilo kukimbilia tu kujichukulia sheria mkononi mpaka kupelekea maafa kama yaliotokea Kawe na kwengineko.
Malalamiko ya wananchi au raia dhidi ya jeshi hayakuanza leo, ila cha kushangaza badala ya kumalizwa kwa njia ya amani, ndio yanazidi kuongezeka kwa njia za kuchochewa na jeshi hilo hilo lililopewa dhamana ya kutulinda.
Kwa kilichotokea juzi huko Kawe, nafikiri viongozi wengi wa kiserikali wanalifahamu, lkn kwa vile pengine sio wahusika wakuu wa maswala ya kiusalama ndio maana hawahitaji kuliingilia swala hili.
Hivyo sisi wananchi tunamuomba waziri husika wa ulinzi mama yetu Stergomena Tax, pamoja na waziri wa mambo ya ndani brother Masauni waingilie kati swala hili kwa kuonya, kulaani na kutolea maelezo swala husika.
Msingoje mpaka raisi aje kulizungumzia mwenyewe, na wakati nyinyi kama mawaziri mmepewa dhamana ya kutulinda.
Kwa niaba ya wananchi wanyonge, ni mimi mpigania haki zao Mr Dudumizi wa somewhere in Kawe.
Mwanajeshi anayepiga mwananchi huyo sio mwanajeshi, ni mgambo kama mgambo wengine tu. Ni vizuri wakabainika hao wachache wakachukuliwa hatua ndani ya jeshi ili wasiendelee kulichafua jeshi letu tukufu.
Gen. Mkunda alisema anataka jeshi ambalo wananchi watalikimbilia na sio kulikimbia.Tutawanyoosha hao viherehere alafu majeruhi tutwapeleka hospitali za jeshi mbona kazi mtakuwa nayo, kikubwa ni heshima kabla hujauponza
nyie wapumbavu hamjui hata maana ya jeshi, Monduli pale duka bovu walivunjaga mpaka vinyumba vya wamasai baada ya kumpiga mwanajeshi na sime. Huko tena wameua? Vijana wa Dsm ni washamba sana na wapumbavu. Lazima aliyeua apatikane na bado mtapigwa sana mpaka mshike adabu. Heshimu wanajeshi hivyo visiasa vyenu uchwara kafanyieni huko vijiweni kwenu.Pa1 mkuu, ifike mahala kila mmoja wetu apaze sauti yake.
Maana leo kwa wana Kawe hatujui kesho itakuwa kwa kina nani.
Sasa ndo wanalikimbilia kuumuua kiongoziGen. Mkunda alisema anataka jeshi ambalo wananchi watalikimbilia na sio kulikimbia.
"Mike" combat ni vazi la kuazima ukishalijua hili umeshinda.
Mwangalie mpuuzi mwingine,Sio Mgambo,ni Askari wasio na nidhamu Wananchi wanatakiwa wapewe elimu kuwa lazima warikodi namba na Insignia za vikosi hivyo na kambi wanayotoka kisha kuripoti Polisi.
Mkuu yalikukuta nini?Umemjibu vizuri san mkuu.
Huyo jamaa anatakiwa ajaribu kujiweka katika nafasi ya wale waliopigwa bila sababu, kabla ya kukimbilia ku comment.
Uchunguzi ufanyike, lazima kuna sababu nyuma ya hilo tukio, siungi mkono mauaji lakini ni vyema kuhusiana vyema na raia.Sasa ndo wanalikimbilia kuumuua kiongozi
Nini hoja yako?Mwangalie mpuuzi mwingine,
Hakuna dhulma na uonevu unaoweza kuishi kwa muda mrefu zaidi ya haki.Bado hujasema
Kweli kbs mkuu. Japo huko nako kuna watu ambao wana haki ya kuishi kwa amani kama wengine.Hii mambo iende Palestine au Sudan na Congo
Mfano mtu atoke Kinondoni aelekee zake Magomeni. Kufika pale mapipa itokee ajali kati ya gari yake na ya mwanajeshi.Inategemea.
Kwahiyo leo hii ukipata tetesi kuwa Zuchu alitembea na mumeo, wewe hasira zako zote utazimalizia kwa kila msanii wa kike utakaekutana nae njiani, si ndio.... ?we kenge mkaiheshimu jeshi, kaa mbali na wanajeshi. Mmezidi kuwawajuaji, hata hapa umeandika utumbo we hujui majukumu ya jeshi. Mnapimana nguvu na wanajeshi. Mbona wapumbavu hivyo? Au ulifikiri jeshi km hicho chama chenu ambapo mmezoea malamishi na uwongo? Mi naona hao wanajeshi wa Kawe ni wastaarabu sana, ingekuwa makambi mengine leo hii kusingelikuwa na kijana wa kiume hapo kawe. Mnamwua mwanajeshi? Kweli halafu unakuja kuandika humu bila hata haya? Nyie ni vile vitoto vya single mothers, Pumbav kabisa