ErlangB
Member
- Feb 25, 2021
- 88
- 99
Anahisi Jeshi ni kikundi cha wanasiasa, chezea popote sio hao wanaume[emoji849]Hakuna wasichikijua hao unao washauri unapoteza muda tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahisi Jeshi ni kikundi cha wanasiasa, chezea popote sio hao wanaume[emoji849]Hakuna wasichikijua hao unao washauri unapoteza muda tu.
Nafikiri haukusoma vizuri, wewe ulipoona sehem imeandikwa jeshi ukakimbilia ku comment tu.Anahisi Jeshi ni kikundi cha wanasiasa, chezea popote sio hao wanaume[emoji849]
Kwan ilikuaje raia akaua kanali wa jeshi?
Hivi unataka kunambia hao wanajeshi wamefanya tu hiyo ishu bila amri kutoka juu???Mwanajeshi anayepiga mwananchi huyo sio mwanajeshi, ni mgambo kama mgambo wengine tu. Ni vizuri wakabainika hao wachache wakachukuliwa hatua ndani ya jeshi ili wasiendelee kulichafua jeshi letu tukufu.
Inashangaza sana raia wanapigwa hovyo, alaf vyombo vya habari vinaogopa ku report.Hivi unataka kunambia hao wanajeshi wamefanya tu hiyo ishu bila amri kutoka juu???
Na ndo maana mpaka now unapna kimya,
Lakini pia nashangaa hakuna chombo cha habari kilichoriport hilo tukio.
Ni kweli though jf nayo baadhi ya nyuzi wanazifuta.Inashangaza sana raia wanapigwa hovyo, alaf vyombo vya habari vinaogopa ku report.
Kwa sasa ni JF pekee ndio unapoweza kupata habari za uhakika, na za kila siku.
😂😂😂😂Ni kweli though jf nayo baadhi ya nyuzi wanazifuta.
Yaani badala ya kwenda mbele sisi tunarudi nyuma.
Dah we acha tu ndugu yangu.Hasira hasara
Jamaa wote hapo wamepoteza
Ova
Anzisha chako ukaripoti.Hivi unataka kunambia hao wanajeshi wamefanya tu hiyo ishu bila amri kutoka juu???
Na ndo maana mpaka now unapna kimya,
Lakini pia nashangaa hakuna chombo cha habari kilichoriport hilo tukio.
Ok nimepia pia mkuu inasemekan mlinda mipaka alitakiwa kumpisha dereva wa Bajaji, ukatokea ubishi wa apa na pale ndo dereva akamchoma mlinda mipaka na kitu chenye ncha kali.Long story mkuu. Ukisoma comments mbali mbali humu utaelewa.
Siyo kaushamba,hawa ni washamba kabisa, nakumbuka miaka ya nyuma pale Mwenge kwenye magorofa waliyokuwa wanakaa hawa washamba walikuwa wanaweka mapazia ya viroba. Hawa walitakiwa wakae porini tu kwenye makambi yao.
Mkuu sifurahii, na pia kulikuwa na sababu ya mauaji. Sio kwamba dogo alitoka huko akaja tu kumvamia na kumuua.
Kulikuwa na sababu iliyopelekea dogo kuu. Lkn pia kuna sheria na mahakama ambavyo vipo kwa ajili ya kuendesha kesi za namna hiyo na baadae kutoa hukumu.
Wewe unahalalisha watu wasiohusika na ambao hawakuwepo hata eneo la tukio kuvamiwa na kupigwa hovyo, et kwa sababu ofisa wao ameuliwa na mtu wasiomfahamu!!
Sahau kama kuna waziri au hata Rais wa nchi anayeweza kujitokeza hadharani akalikemea jeshi. Siyo Tanzania tu, dunia nzima.
Sana watakaa chini na wakuu wa jeshi, yamalizwe kidiplomasia. Usiwe na wasiwasi.
Siyo kaushamba,hawa ni washamba kabisa, nakumbuka miaka ya nyuma pale Mwenge kwenye magorofa waliyokuwa wanakaa hawa washamba walikuwa wanaweka mapazia ya viroba. Hawa walitakiwa wakae porini tu kwenye makambi yao.
Yah ni kweli jamaa hakukusudia kabisa kuuwa. Ilitokea tu kama ajali mkuu, na wala yeye hakuwa muanzilishi wa ugomvi.Ok nimepia pia mkuu inasemekan mlinda mipaka alitakiwa kumpisha dereva wa Bajaji, ukatokea ubishi wa apa na pale ndo dereva akamchoma mlinda mipaka na kitu chenye ncha kali.
RIP kwa mlinda mipaka wetu.
Pia natoa pole kwa dereva wa Bajaji, najua aliuwa bila kukusudia.
Acha ujinga dada. Wewe unaona kuwa sababu ya kichapo ipo hata kwa watu ambao hawahusiki, na wala hawakuwepo eneo la tukio!!Basi utulie kama kulikua na sababu ya kuua basi na sababu ya kichapo ipo
Tangu lini hawa wanajeshi wanatulinda? Kazi yao ni kuning'iniza poumbou tu makambini huko. Sisi wananchi inajilinda wenyewe.Uko sawa kabisa, hao mgambo wachunjwe, Mwanajeshi hajafunzwa kupiga wananchi anaowalinda.
Mimi Nilikuwa nawapiga saana wanajeshi miaka hiyo huko 24Kj kigoma nimewapiga saana askari wa hicho kikosi aise mpaka ikafikia hatuaMwanajeshi anayepiga mwananchi huyo sio mwanajeshi, ni mgambo kama mgambo wengine tu. Ni vizuri wakabainika hao wachache wakachukuliwa hatua ndani ya jeshi ili wasiendelee kulichafua jeshi letu tukufu.