Wewe ndiyo msemaji wake mkuu. Kwani yeye hajui kusema. Naona Kabendera anahamasisha watu wajitokeze. Yeye akae na uonjgo na chuki yake...jizi na tapeli!Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Alingojea mwendazake aende zake ndo atoe tuhuma. Cowardice of the highest order.Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
Dah nafanyaje kuicopi hii?Mwendazake hata Shetani bado amemuweka pending kule jehanam. Kila akiangalia CV yake anamuogopa kuwa anaweza kumgeuzia kibao hata yeye mwenyewe.
Shetani anaogopa kuuliwa na Magufuli
Yaan wanaomsingizia wao ndiyo wanaonekana wana shidaMagufuli anasingiziwa kila baya ila watanzania wamegoma kumchukia
Sasa JK ajibu nini haupo, yeye angejuajeTuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
Paschal huyu wa hapa ndani au Paschal yupiPaschal akisikia jina Kabendera tu, anashtuka.😆 ubaya haulipi Ng'wanangenya.
Na kweli sometimes anaendelea kutupa taabu.Anaendelea kuwapa taabu hata katika umauti wake. Pathetic echelons!
View attachment 2389295
Shauri Ako😂
Na hicho kizazi hakikurithisha hiki kizazi cha sasa cha kupewa kofia na tisheti?Sababu za kihistoria zilizobeba CCM huko nyuma, ila tokea uchaguzi wa 2010 kizazi kilichoibeba CCM kiliisha. Kwa sasa vyombo vya dola na tume isiyo huru ya uchaguzi tu ndio nguzo yao.
Muda wanaoupoteza kumchafua magufuli wangeutumia kuwaeleza watu walichoifanyia Tanzania wakati wao wakiwa viongozi, kidogo wangeeleweka.Tuhumu nyingi ni za uongo.Ndio maana hazimalizi siku tatu.Hii inatokana kuwa Watanzania wengi wanapenda story za uongo na za kupuuzi.Hawapendi kazi .Na hata ww mleta mada unapenda story za kipuuzi na kijinga.Magufuli hayupo duniani.Lakin alifanya makubwa sana kiasi kwamba wapumbavu wote wanataka kumchafua .Wakati wao hawajawahi kufanya cha maana zaidi ya story za kihuni na kioumbavu Kama hizi.
kuhongwa pesa ili azifanyie nn?mimi bado sijamwelewa mtoa uzi.Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
Kumbe amewekwa msukule?Una hakika alichukuliwa na Mungu?
Alihakikisha yeyote anamaliza na wengine kuwahonga.Mbona hata dunia haimzungumii huo ukatili mkubwa?
Yuko Jehanam ya Moto! washtaki wake (ben saanane, Simon Kanguye na jopo kubwa la wale waliotumbukizwa baharini kwenye viroba ) wapo kule peponi wanatabasamu na baba yao ibrahim!! Jiwe anatia huruma anavyosaga meno kwa uchungu wa moto mkali!Nawahurumia sana wamsingiziao mtu wa Mungu aliyeletwa na Mungu kuitawala Tanzania kwa kusudi maalum, lilipokamilisha, Mungu akamuita kwake ili kumpangia majukumu mengine, na hivi tunavyozunguza ni siku nyingi yuko kwa Baba Yake!!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P