DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hata wafanya kazi wake wanaofanya kazi huku mtaani wanakwambia jamaa ana maamuzi ya hasira yani kukufukuza kazi ni hapo kwa hapo,
 
Ndugu walimtetea kwa DPP, maana walijua atanyongwa. Ukoo Kama ukoo uliona hakuna haja ya kesi watalimaliza kindugu.
Hukumu za kunyongwa Tanzania zinaishiaga kwenye maandishi tu.

Tangu alipoingia Raisi Mwinyi mwaka 1985 hakuna rais aliyewahi kutia saini hukumu ya kunyonga.
 
Yule mbona ashahukumiwa kunyongwa
Hukumu za kunyongwa Tanzania zinaishiaga kwenye maandishi tu.

Tangu alipoingia Raisi Mwinyi mwaka 1985 hakuna rais aliyewahi kutia saini hukumu ya kunyonga
 
Haki itendeke
Polisi waache konakona
 
Ukiingizwa pale lock up ya Buguruni jioni jioni utakuta vibaka wote wamelala mbali Sana na lile debe la mavi. Wewe ukiingia unakuta nafasi iliyopo Ni kule kwenye mikojo na debe la mavi, vibaka wenyewe wanavidonda vimeoza yaani harufu ya mkojo, mavi na vidonda inashindana mle ndani. Ole wako Sasa uletewe chakula na ndugu, wahuni wanakila kwa nguvu unaweza usiambulie hata kipande kimoja. Ukikutwa na hela ndio kabisa.
Kuna mhindi aliwekwa mle ijumaa. mabosi wake wakaenda na 5M ili kumtoa, mkuu wa kituo akakataa Ile 5M. Wahindi wanaongeza dau jamaa haelewi. Bosi anataka jamaa akae mpaka jumatatu. Baadaye kwenye sita usiku ndio akaja polisi mmoja mzito kumshauri mwenzake achukue mshiko.
 
Mlinzi aliyeuawa hakua na silaha. Aliyekua na silaha alijificha na alikataa kufuta Ile damu ya mwenzake.
 
Haki haipotei, unaweza kuhonga Polisi unavyotaka lakini taarifa zote zitakuwa salama sehemu ili siku haki itendeke. Huwezi kukimbia jinai haifi hata uhonge vipi.
Munajifariji sana kuna mzee wangu alikuwa ni mwalimu alimuua kijana ambae alikuwa mchunga wa mbuzi kosa aliwaingiza shambani kwake,alichokakifanya mzee alimpiga mpaka akampasua bandama mwaka 1998 hiyo na huyo dogo siku ile usiku alifariki,kesi ilimalizwa kwa pesa na mzee mpaka leo yupo alishastaafu tayari
 
Unaona ni sifa?? Huyo mzee anaishije??
 
I believe that the security company is part and parcel of whole conspiracy. Death of the watchman is collateral damage. The security company may have been benefitting from whatever wrong doing happening.
 
Andron is too humble, jamaa kifedha ana hela nzuri.

But inasemakana anatabia za Ubahiri na ubinafsi,
Bilionea mshambaaaa

Mtu kama huyu unakuta anaenda kudai mpaka 10000/

Sasa kesi kama yake,iliyotokea
Kama aliweka kampuni ya ulinzi kwanini asiibane kampuni ile,kama vp awafungulie kesi
Tatizo unakuta mtu pesa ipo,lakini maarifa sifuri

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…